If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | SHUGHULI ZA UFUNZAJI | MASWALI DADISI | NYENZO | TATHMINI | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
1 | 1 |
Kusikiliza na
kuzungumza
|
Kusililiza na kujibu
(Mahajiano)
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua vipengele vya kuzingatia katika kusikiliza mahojiano - Jutambua vipengele vya Kutambua katika kujibu mahojiano -Kutambua vipengele vifaavyo katila kusikiliza na kujibu mahojiano -Kuchangamkia kushiriki mahojiano |
-Kutambua vipengele vya kuzingatia katika kusikiliaza mahojiano
- Kutambua vipengele vya kuzingatia katika kujibu mahojiano - Kusilikiza mahojiano katika swala lengwa katika kifaa cha kidijitari - Ashiriki mahojiano kuhusu swala lengwa akiwa na wenzake mzazi au mlezi |
Je vipengele vipi vinavyo faa kuzingatiwa katika kusikiliza mahojiano
|
KLB TOP SCHOLAR KISWAHILI
Gredi ya 8 UK wa: 1-3 |
Kutambua vipengele katika kusikiliza na kujibu maswali katika swala lengwa
|
|
1 | 2 |
Kusikiliza na
kuzungumza
|
Kusililiza na kujibu
(Mahajiano)
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua vipengele vya kuzingatia katika kusikiliza mahojiano - Jutambua vipengele vya Kutambua katika kujibu mahojiano -Kutambua vipengele vifaavyo katila kusikiliza na kujibu mahojiano -Kuchangamkia kushiriki mahojiano |
-Kutambua vipengele vya kuzingatia katika kusikiliaza mahojiano
- Kutambua vipengele vya kuzingatia katika kujibu mahojiano - Kusilikiza mahojiano katika swala lengwa katika kifaa cha kidijitari - Ashiriki mahojiano kuhusu swala lengwa akiwa na wenzake mzazi au mlezi |
Je vipengele vipi vinavyo faa kuzingatiwa katika kusikiliza mahojiano
|
KLB TOP SCHOLAR KISWAHILI
Gredi ya 8 UK wa: 1-3 |
Kutambua vipengele katika kusikiliza na kujibu maswali katika swala lengwa
|
|
1 | 3 |
Kusoma
|
Kusoma kwa ufahamu
(Kifungu cha simulizi)
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kudondoa habari muhimu katika kifungu cha simulizi -Kupanga matukio Yanavyo fuatana katika kifungu cha simulizi -Kufanya utabiri na ufasari kutokan na kifungu cha simulizi - Kuelezea maana ya msmiati katika kifungu cha simulizi - Kuchangamkia kujibu maswali ya ufahamu ili kukuza uelewa wa habari |
-Kusoma kifungu cha simulizi kwenye kitabu au kifaa cha kidijitari
-Kudondo habari mahususi (KV nani? nini? wapi? lini?) katika kifungu cha simulizi -Kupanga matukio Yanavyo fuatana katika kifungu cha simuliz -Kufanya utabiri na ufasai kutokana na kifungu cha simulizi alichosoma -Kutambua msamiati (K.V maneno na nahau) katika kifungu cha simulizi na Kuelezea kwa kutumia kamusi. -Kusoma vifungu vya simulize mtangaoni au kwenue vitabu kuhusu suala lengwa -Kutambua na juleleze maana ya msamiati wa usafi wa sehem za umma kulingana na muktadha wa matumizi katika vifungu vya simulize alivyosooma mtandaoni - Kumsomea mzazi au mlezi sentence kuhusu usafi sehemu za umma kisha wajadiliane umuhimu wa kudumisha usafi wa mazingira ya umma. |
-Je tunapata aje habari muhimu
-Je, tunapataje mahususi katika kifungu cha simulizi
- Je ni mambo gani yanayoweza kukusaidia kuelewa kifungu cha simulizi
|
KLB TOP SCHOLAR KWAHILI GREDI YA 8
4-7 |
-Kudondoa habari mahususi katika kifungu cha ufahamu
-Kupanga matukio yanavyofuatana katika kifungu cha ufahamu
-Kupanga matukion yanavyofuatana katika kifungu cha ufahamu
-Kufanya utabiti na ufasiri kutokana na kifungu cha ufahamu
|
|
1 | 4 |
Kusoma
|
Kusoma kwa ufahamu
(Kifungu cha simulizi)
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kudondoa habari muhimu katika kifungu cha simulizi -Kupanga matukio Yanavyo fuatana katika kifungu cha simulizi -Kufanya utabiri na ufasari kutokan na kifungu cha simulizi - Kuelezea maana ya msmiati katika kifungu cha simulizi - Kuchangamkia kujibu maswali ya ufahamu ili kukuza uelewa wa habari |
-Kusoma kifungu cha simulizi kwenye kitabu au kifaa cha kidijitari
-Kudondo habari mahususi (KV nani? nini? wapi? lini?) katika kifungu cha simulizi -Kupanga matukio Yanavyo fuatana katika kifungu cha simuliz -Kufanya utabiri na ufasai kutokana na kifungu cha simulizi alichosoma -Kutambua msamiati (K.V maneno na nahau) katika kifungu cha simulizi na Kuelezea kwa kutumia kamusi. -Kusoma vifungu vya simulize mtangaoni au kwenue vitabu kuhusu suala lengwa -Kutambua na juleleze maana ya msamiati wa usafi wa sehem za umma kulingana na muktadha wa matumizi katika vifungu vya simulize alivyosooma mtandaoni - Kumsomea mzazi au mlezi sentence kuhusu usafi sehemu za umma kisha wajadiliane umuhimu wa kudumisha usafi wa mazingira ya umma. |
-Je tunapata aje habari muhimu
-Je, tunapataje mahususi katika kifungu cha simulizi
- Je ni mambo gani yanayoweza kukusaidia kuelewa kifungu cha simulizi
|
KLB TOP SCHOLAR KWAHILI GREDI YA 8
4-7 |
-Kudondoa habari mahususi katika kifungu cha ufahamu
-Kupanga matukio yanavyofuatana katika kifungu cha ufahamu
-Kupanga matukion yanavyofuatana katika kifungu cha ufahamu
-Kufanya utabiti na ufasiri kutokana na kifungu cha ufahamu
|
|
2 | 1 |
Kuandika
|
-Viafikishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua matumizi ya Alama ya hisi na Ritifaa kaitak matini -kutumia Alama ya hisi na Ritifaa ipasavyo katika matini -Kuonea fahari matumizi yafavyo ya Alama hisi na Ritifaa |
- Kutambu Alama ya hisi na Ritifaa katika maneno, sentensi au vifungu vya maneno kwenye matini andishi na za kidijitari
-Kuandika maneno, sentence au vifungu vya maneno kuhusu kwa kutumia lama ya hisi na Ritifaa ipasavyo kwenye kitabu au kifaa cha kidijitari. -Kuandika kwenye tarakilishi, kifungu kifupi kuhusu kwa kutumia Alama ya hisi na Ritifaa ipasavyo na kuwasambazia wenzake kwenye matandao ili wakutolee maoni -Kusahihisha kifungu kuhusu suala lengwa ambacho hakijatumia alala ya hisi na Ritifaa ipasavyo -Kuwasomea wenzake kifungu alichoandika na kuwataka waandkie maneno, sentensi au vifungu vinavyo faa kutumia Alama ya hisi na ritifa -Kumwonyesha mzazi, mllezi au mwenzake maneno, vifungu vya maneno au sentensi zenye Alama za hisi na Ritifaa alizotunga ilia toe maoni yake |
-Je, Alama ya hisi huonyesha hisia zipi?
-Je, Alama ya Ritifaa hutumia vii katika maandishi?
|
KLB TOP SCHOLAR
KISWAHILI Gredi ya 8 8-10 |
Tamka maneno
Tunga sentensi ukizingatia alama ya hisi maneno matano yaliyo na alama ya ritifaa
|
|
2 | 2 |
Kuandika
|
-Viafikishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua matumizi ya Alama ya hisi na Ritifaa kaitak matini -kutumia Alama ya hisi na Ritifaa ipasavyo katika matini -Kuonea fahari matumizi yafavyo ya Alama hisi na Ritifaa |
- Kutambu Alama ya hisi na Ritifaa katika maneno, sentensi au vifungu vya maneno kwenye matini andishi na za kidijitari
-Kuandika maneno, sentence au vifungu vya maneno kuhusu kwa kutumia lama ya hisi na Ritifaa ipasavyo kwenye kitabu au kifaa cha kidijitari. -Kuandika kwenye tarakilishi, kifungu kifupi kuhusu kwa kutumia Alama ya hisi na Ritifaa ipasavyo na kuwasambazia wenzake kwenye matandao ili wakutolee maoni -Kusahihisha kifungu kuhusu suala lengwa ambacho hakijatumia alala ya hisi na Ritifaa ipasavyo -Kuwasomea wenzake kifungu alichoandika na kuwataka waandkie maneno, sentensi au vifungu vinavyo faa kutumia Alama ya hisi na ritifa -Kumwonyesha mzazi, mllezi au mwenzake maneno, vifungu vya maneno au sentensi zenye Alama za hisi na Ritifaa alizotunga ilia toe maoni yake |
-Je, Alama ya hisi huonyesha hisia zipi?
-Je, Alama ya Ritifaa hutumia vii katika maandishi?
|
KLB TOP SCHOLAR
KISWAHILI Gredi ya 8 8-10 |
Tamka maneno
Tunga sentensi ukizingatia alama ya hisi maneno matano yaliyo na alama ya ritifaa
|
|
2 | 3 |
Sarufi
|
-Viwakilishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
_Kutambua viwakilishi vya nafasi, vionyeshi viashiria na vya idadi katika matini -Kutumia viwakilishi vya nafasi vionyeshi viashiria na vya idadi ipasavyo katika matini -Kuchangamkia matumizi yafaavyo ya vionyeshi, viashiria n vya idadi ili kufanikisha mawasiliano. |
_Kuchopoa viwakilishi vy nafsi, vionyeshi/ viashirio na vya idadi katika kapu maneno,chati, mti, maneno au katika tarakilishi
-Kutaja vieskilishi vya nafsi, vioneshi viashiria na vy ikdai katika sentence au kifungu kwenye vitabu au tarakilishi kwa kupigia mistari au kuvikolezea wino. -Kujaza nafasi katika sentensi au vifungu akitumia viwakilishi vya nafsi, vionyeshi, viashiria na vya idadi ipasavyo. -Kutunga senstense au vifungo vifui kwa kutumia viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi akizingatia masuala matambuko mbali mbali likiwemo sualala usafi wa sehemu za umma. -Kumsomea mzazi au mlezi wote sentensi au kifungu alivyotunga ili amtolee maoni |
|
|
|
|
2 | 4 |
Sarufi
|
-Viwakilishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
_Kutambua viwakilishi vya nafasi, vionyeshi viashiria na vya idadi katika matini -Kutumia viwakilishi vya nafasi vionyeshi viashiria na vya idadi ipasavyo katika matini -Kuchangamkia matumizi yafaavyo ya vionyeshi, viashiria n vya idadi ili kufanikisha mawasiliano. |
_Kuchopoa viwakilishi vy nafsi, vionyeshi/ viashirio na vya idadi katika kapu maneno,chati, mti, maneno au katika tarakilishi
-Kutaja vieskilishi vya nafsi, vioneshi viashiria na vy ikdai katika sentence au kifungu kwenye vitabu au tarakilishi kwa kupigia mistari au kuvikolezea wino. -Kujaza nafasi katika sentensi au vifungu akitumia viwakilishi vya nafsi, vionyeshi, viashiria na vya idadi ipasavyo. -Kutunga senstense au vifungo vifui kwa kutumia viwakilishi vya nafsi, vionyeshi/viashiria na vya idadi akizingatia masuala matambuko mbali mbali likiwemo sualala usafi wa sehemu za umma. -Kumsomea mzazi au mlezi wote sentensi au kifungu alivyotunga ili amtolee maoni |
|
|
|
|
3 | 1 |
Kusikiliza na Kuongea
Kuzungumza
|
Kusikiliza kwa akina sauti /g/ na /gh/
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua sauti /g/ na /gh/ ipasavyo katika silabi na maneno -Kutamka sauti /g/ ipasavyo katika silabi na maneno -kutumia maneno yenye sauti /g/ na /gh/ ipasavyo katika matini ili kuyatofautisha kimatamshi -Kuchangamkia matamsji bora ya sauti /g/ na /gh/ katika mazungumzo ya kawaida |
- Kutambua sauti /g/ na /gh/ katika maneo na silabi
-kusikiliza maneno, sentensi silabi _ kusikiliza maneno, sentensi au vitanza ndimi vinavyohusisha sauti /g/ na /gh/ katikakifaa cha kidijitari na Kutambua sauti hizo -Kutafura maneno yenye sauti /g/ na |
Ni maneno yapi yalio na sauti /g/ na /gh/
|
KLB TOP SCHOLAR KISWAHILI GREDI YA 8
Uk; wa 15- 17 Au Kifaa cha Kidijitari |
-Sikilizeni silabi zikitajwa na mwalimu au ilivyorekodiwa
-Mtamkie mwenzako naye akutamkie
-Tafuteni maneno yenye sauti /g/ na /gh/
|
|
3 | 2 |
Kusikiliza na Kuongea
Kuzungumza
|
Kusikiliza kwa akina sauti /g/ na /gh/
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua sauti /g/ na /gh/ ipasavyo katika silabi na maneno -Kutamka sauti /g/ ipasavyo katika silabi na maneno -kutumia maneno yenye sauti /g/ na /gh/ ipasavyo katika matini ili kuyatofautisha kimatamshi -Kuchangamkia matamsji bora ya sauti /g/ na /gh/ katika mazungumzo ya kawaida |
- Kutambua sauti /g/ na /gh/ katika maneo na silabi
-kusikiliza maneno, sentensi silabi _ kusikiliza maneno, sentensi au vitanza ndimi vinavyohusisha sauti /g/ na /gh/ katikakifaa cha kidijitari na Kutambua sauti hizo -Kutafura maneno yenye sauti /g/ na |
Ni maneno yapi yalio na sauti /g/ na /gh/
|
KLB TOP SCHOLAR KISWAHILI GREDI YA 8
Uk; wa 15- 17 Au Kifaa cha Kidijitari |
-Sikilizeni silabi zikitajwa na mwalimu au ilivyorekodiwa
-Mtamkie mwenzako naye akutamkie
-Tafuteni maneno yenye sauti /g/ na /gh/
|
|
3 | 3 |
Kusikiliza na Kuongea
Kuzungumza
|
Kusikiliza kwa akina sauti /g/ na /gh/
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua sauti /g/ na /gh/ ipasavyo katika silabi na maneno -Kutamka sauti /g/ ipasavyo katika silabi na maneno -kutumia maneno yenye sauti /g/ na /gh/ ipasavyo katika matini ili kuyatofautisha kimatamshi -Kuchangamkia matamsji bora ya sauti /g/ na /gh/ katika mazungumzo ya kawaida |
- Kutambua sauti /g/ na /gh/ katika maneo na silabi
-kusikiliza maneno, sentensi silabi _ kusikiliza maneno, sentensi au vitanza ndimi vinavyohusisha sauti /g/ na /gh/ katikakifaa cha kidijitari na Kutambua sauti hizo -Kutafura maneno yenye sauti /g/ na |
Ni maneno yapi yalio na sauti /g/ na /gh/
|
KLB TOP SCHOLAR KISWAHILI GREDI YA 8
Uk; wa 15- 17 Au Kifaa cha Kidijitari |
-Sikilizeni silabi zikitajwa na mwalimu au ilivyorekodiwa
-Mtamkie mwenzako naye akutamkie
-Tafuteni maneno yenye sauti /g/ na /gh/
|
|
3 | 4 |
Kusoma
|
Kusoma kwa mapema
Matini ya kijichagua
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
_Kueleza ujumbe wa matini aliyosoma -Kutambua msamiati uliotumiwa katika matini ya kujichagulia -Kutumia ipasavyo msamiati unaotokana na matini aliyosoma -Kujenha mazoezi ya kusoma matini za miktadha mbali mbali ya fikra |
- Kuteua matini kuhusu suala linaomvutia
- Kusoma matini aliyosichagulia na kutambua vipengle vyake muhimu - Kueleza ujume wa matini aliyoisoma . -Kuweka rekodi ya aliyosma kwa kuyanakili katika kijitabu. -Kutambua msamiati uliumiwa katika matini ya kuji |
-Unazingatia nini unapochagua matini ya Kusoma
-Unapata aje ujumbe katika matini ulioisoma
|
KLB TOP SCHOLAR KISWAHILI
Gredi ya 8 UK : wa 17-20 |
-Chagua matini kuhusu mada inayokuvutia kutoka maktabani au mtandaoni
-Zingatia:
- Madala lengwa
- Kisa cha kusisismua
-Matini yenye maadili
|
|
4 | 1 |
Kuandika
|
Barua ya kirafiki
Barua ya kirafiki ya kutoa shukurani
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza umuhimu wa barua ya kirafike ya kytoa shukurani -Ktambua viengele vya kimuundo vya barua ya kirafiki ya kutoa shukrani kwa kuzingatia ujumbe, lugha na maaundo ipasavyo -Kukuz masoea ya kuandkika barua ya kirafiki ya kytoa shukrani katika maisa ya kila siku |
-Kueleza umuhimu wa Kuandika barua ya kirafiki ya kutoa shukurani, kuhusu masuala mbali mbali
-Kutambua ujumbe unaofiki barua ya kirafiki ya kutoa shukrani - Kutambua lugha inayofaa kwa uandishi wa barua ya kirafiki ya kyutoa shukrani - Kujadili vipengele vya kimuundo vya barua ya kirafiki ya kutoa shukurani (KV anwani ya mwandishi, tarehe) -Kuandika barua ya kirafiki ya kutoa shukrani daftarini au kwenye tarakilishi - Kuwasilisha insha yake darasani au kusambazia wenzake kupiyia mtandaoni ili aitolee maoni kumwandikia mzazi au mlezi au mwenzake barua ya kirafiki ya kutoa shukrani au kuiwasilisha darasani |
-Je, ni mambo gani yanayoweza kukufanya uadnkike barua ya kirafiki ya kutoa shukrani
-barua ya kirafiki ya kutoa shukrani huwa na vipengele gani?
|
KLB TOP SCHOLAR KISWAHILI
Gred 8 20-23 |
-Soma na mwenzako barua ya kirafiki
-Chora muundo w barua ya kirfiki daftarini
-katika vikundi jadili matumizi ya lugha katika barua mliosoma
|
|
4 | 2 |
Kuandika
|
Barua ya kirafiki
Barua ya kirafiki ya kutoa shukurani
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza umuhimu wa barua ya kirafike ya kytoa shukurani -Ktambua viengele vya kimuundo vya barua ya kirafiki ya kutoa shukrani kwa kuzingatia ujumbe, lugha na maaundo ipasavyo -Kukuz masoea ya kuandkika barua ya kirafiki ya kytoa shukrani katika maisa ya kila siku |
-Kueleza umuhimu wa Kuandika barua ya kirafiki ya kutoa shukurani, kuhusu masuala mbali mbali
-Kutambua ujumbe unaofiki barua ya kirafiki ya kutoa shukrani - Kutambua lugha inayofaa kwa uandishi wa barua ya kirafiki ya kyutoa shukrani - Kujadili vipengele vya kimuundo vya barua ya kirafiki ya kutoa shukurani (KV anwani ya mwandishi, tarehe) -Kuandika barua ya kirafiki ya kutoa shukrani daftarini au kwenye tarakilishi - Kuwasilisha insha yake darasani au kusambazia wenzake kupiyia mtandaoni ili aitolee maoni kumwandikia mzazi au mlezi au mwenzake barua ya kirafiki ya kutoa shukrani au kuiwasilisha darasani |
-Je, ni mambo gani yanayoweza kukufanya uadnkike barua ya kirafiki ya kutoa shukrani
-barua ya kirafiki ya kutoa shukrani huwa na vipengele gani?
|
KLB TOP SCHOLAR KISWAHILI
Gred 8 20-23 |
-Soma na mwenzako barua ya kirafiki
-Chora muundo w barua ya kirfiki daftarini
-katika vikundi jadili matumizi ya lugha katika barua mliosoma
|
|
4 | 3 |
Kuandika
|
Barua ya kirafiki
Barua ya kirafiki ya kutoa shukurani
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza umuhimu wa barua ya kirafike ya kytoa shukurani -Ktambua viengele vya kimuundo vya barua ya kirafiki ya kutoa shukrani kwa kuzingatia ujumbe, lugha na maaundo ipasavyo -Kukuz masoea ya kuandkika barua ya kirafiki ya kytoa shukrani katika maisa ya kila siku |
-Kueleza umuhimu wa Kuandika barua ya kirafiki ya kutoa shukurani, kuhusu masuala mbali mbali
-Kutambua ujumbe unaofiki barua ya kirafiki ya kutoa shukrani - Kutambua lugha inayofaa kwa uandishi wa barua ya kirafiki ya kyutoa shukrani - Kujadili vipengele vya kimuundo vya barua ya kirafiki ya kutoa shukurani (KV anwani ya mwandishi, tarehe) -Kuandika barua ya kirafiki ya kutoa shukrani daftarini au kwenye tarakilishi - Kuwasilisha insha yake darasani au kusambazia wenzake kupiyia mtandaoni ili aitolee maoni kumwandikia mzazi au mlezi au mwenzake barua ya kirafiki ya kutoa shukrani au kuiwasilisha darasani |
-Je, ni mambo gani yanayoweza kukufanya uadnkike barua ya kirafiki ya kutoa shukrani
-barua ya kirafiki ya kutoa shukrani huwa na vipengele gani?
|
KLB TOP SCHOLAR KISWAHILI
Gred 8 20-23 |
-Soma na mwenzako barua ya kirafiki
-Chora muundo w barua ya kirfiki daftarini
-katika vikundi jadili matumizi ya lugha katika barua mliosoma
|
|
4 | 4 |
Sarufi
|
2.4.1 Viwakilishi
-Viwakilishi vya sifa
-Viwakilishi vya pekee
-Viwakilishi viulizi
(Vivindi 2)
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
_ Kutambua viwakilishi vya sifa, vya pekee and viulizi katika matini -Kjutumia wiwakilishi vya sifa, vya pekee na viulizi ifaavyo katika matini -Kuchangamkia kutumia viwakilishi vya sifa, vya pekee na viulizi katika mawasiliano |
-Mwanafunzi aelekezwe kuchopoa Viwakilishi vya sifa, vya pekee na viulize katika kapu maneno, kadi maneno, chti au katika tarakilishi kutaja viwakilish vya sifa, vya pekee na viulizi
- Kutambua Viwakilishi vya sifa, vya pekee na viulizi katika sentensi au vifungu kwenye vitabu vitabu au tarakilishi kwa kuvipigia mistari au kuvikolezea wino -Kujaza nafasi zilizoachwa katikati sentensi na vifungu kwa kutumia Viwakilishi vya sifa vya pekee na viulizi vifaavyo -Kutunga sentensi vifungu kuhusu suala lengwa kwakutumia Viwakilishi vya sifa vya kipekee na viulizia -kuzingatia masuala mtambuko mbalimbali suala la matumizi yafaayo ya dawa -Kumtungia mzazi, mlezi au mwenzake sentensi zinazotumia Viwakilishi vya sifa pekee na viulizia na kuzituma mtandaoni ili wenzake na mwalimu wazitolee maoni |
-Kuna tofauti gani kati ya Viwakilishi vya sifa na vivumishi vya sifa
-Viwakilishi vya pekee hutumiwa kwa namna gani
|
KLB TOP
SCHOlAR KISWAHILI Fredi ya 8 23 - 27 |
-kuchopoa Viwakilishi
-kutaja Viwakilishi
-Kutambua
-Kujaza nafasi
-Kutunga sentensi
|
|
5 | 1 |
Kuzikiliza na Kuzungumza
|
3.1.1 Hadithi
Mighani
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kuelezea dhana ya mighani ili kuipambanua -Kujadili vipengele vya kuzingatia katikati uwasilishaji wa mighani -Kujadili ujumbe na lugha katika mighan |
-Kutafiti na Kueleza sifa za mighani
-Kujadili na wenzake vipengele vya kuzingatia katlika uwasilishaki wa mighani. -kushiriki na wenzako Kujadili ujumbe na lugha katika mighani aliyosikiliza ikitambwa na wenzake, mgeni mwalkwa au katika kifaa cha kidijitali kama vile kinasa sauti -kusikiliza mighani ikisimuliwa katika vifaa vya kidigitali au kutoka kwa mgeni mwalikwa na kubainisha sifa na vipengele vya uwasilishaji vilivyozingatiwa -Kusimulia mighani kwa kuzingatia vipengele vifaavyo vya uwasilishaji -Kuwasilisha mzazi, mlezi au mwenzake mighani aliyotafitia katika jamii yake na Kujadili ujumbe husika |
Je, unaposimulia mighani unafaa kuzingatia vipengele gani?
|
KLB
TOP SCHOLA KISWAHILI Gredi ya 8 UK 28-31 |
-Sikilizeni mwalimy akisimulia kuhusu mighani
-Someni kwa sauti mighani
-Jadili vipengle vilivyozingatiwa katika kusimulia mighani ukizingatia ,
-Kutumia lugha kulingana na hadhira
-Kuwahushisha wanaosikilia hadithi
-Wasimulie wenzako mighani
|
|
5 | 2 |
Kuzikiliza na Kuzungumza
|
3.1.1 Hadithi
Mighani
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kuelezea dhana ya mighani ili kuipambanua -Kujadili vipengele vya kuzingatia katikati uwasilishaji wa mighani -Kujadili ujumbe na lugha katika mighan |
-Kutafiti na Kueleza sifa za mighani
-Kujadili na wenzake vipengele vya kuzingatia katlika uwasilishaki wa mighani. -kushiriki na wenzako Kujadili ujumbe na lugha katika mighani aliyosikiliza ikitambwa na wenzake, mgeni mwalkwa au katika kifaa cha kidijitali kama vile kinasa sauti -kusikiliza mighani ikisimuliwa katika vifaa vya kidigitali au kutoka kwa mgeni mwalikwa na kubainisha sifa na vipengele vya uwasilishaji vilivyozingatiwa -Kusimulia mighani kwa kuzingatia vipengele vifaavyo vya uwasilishaji -Kuwasilisha mzazi, mlezi au mwenzake mighani aliyotafitia katika jamii yake na Kujadili ujumbe husika |
Je, unaposimulia mighani unafaa kuzingatia vipengele gani?
|
KLB
TOP SCHOLA KISWAHILI Gredi ya 8 UK 28-31 |
-Sikilizeni mwalimy akisimulia kuhusu mighani
-Someni kwa sauti mighani
-Jadili vipengle vilivyozingatiwa katika kusimulia mighani ukizingatia ,
-Kutumia lugha kulingana na hadhira
-Kuwahushisha wanaosikilia hadithi
-Wasimulie wenzako mighani
|
|
5 | 3 |
Kuzikiliza na Kuzungumza
|
3.1.1 Hadithi
Mighani
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kuelezea dhana ya mighani ili kuipambanua -Kujadili vipengele vya kuzingatia katikati uwasilishaji wa mighani -Kujadili ujumbe na lugha katika mighan |
-Kutafiti na Kueleza sifa za mighani
-Kujadili na wenzake vipengele vya kuzingatia katlika uwasilishaki wa mighani. -kushiriki na wenzako Kujadili ujumbe na lugha katika mighani aliyosikiliza ikitambwa na wenzake, mgeni mwalkwa au katika kifaa cha kidijitali kama vile kinasa sauti -kusikiliza mighani ikisimuliwa katika vifaa vya kidigitali au kutoka kwa mgeni mwalikwa na kubainisha sifa na vipengele vya uwasilishaji vilivyozingatiwa -Kusimulia mighani kwa kuzingatia vipengele vifaavyo vya uwasilishaji -Kuwasilisha mzazi, mlezi au mwenzake mighani aliyotafitia katika jamii yake na Kujadili ujumbe husika |
Je, unaposimulia mighani unafaa kuzingatia vipengele gani?
|
KLB
TOP SCHOLA KISWAHILI Gredi ya 8 UK 28-31 |
-Sikilizeni mwalimy akisimulia kuhusu mighani
-Someni kwa sauti mighani
-Jadili vipengle vilivyozingatiwa katika kusimulia mighani ukizingatia ,
-Kutumia lugha kulingana na hadhira
-Kuwahushisha wanaosikilia hadithi
-Wasimulie wenzako mighani
|
|
5 | 4 |
Kusoma
|
3.2.1 Kusoma kwa kina tamthilia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia ili kuipambanua -Kujadili sifa za thamthilia kama utanzu wa fasihi andishi -Kuchangamkia usomaji wa tamthilia ili kukuza stadi ya kusoma |
-Kutafiti na Kueleza maana ya tamthilia
-Kutafiti maktabani au mtandaoni kuhusu sifa za tamthilia -Kuwasilishia wenzake utafiti wake darasani au kuwasambazia mtandaoni ili wautolee maoni-Kusoma tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu na Kutambua sifa zake -Kuwasilishia mzazi, mlezi au mwenzake sifa za tamthilia aliyosoma ili azitolee maoni |
|
8
UK 31-34 |
-Eleza tamthilia ni nini?
-Soma kurasa chache za tamthilia iliyoteuliwa na mwalimu
|
|
6 | 1 |
Kuandika
|
3.3.1 Insha za kubuni
Insha ya masimulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kubaini wazo moja kuu la insha ya masimulize atakayoandika -Kuandika insha ya masimulizi inayoendeleza wazo moja kuu katika kila aya -Kufurahia Kuandika insha za masimulizi katika maisah ya kila siku akizingatia ujumbe uliotengenezwa kwenye wazo moja kuu |
-Kutambua mazo moja kuu la simulizi kwenye mahini andishi na za kidijitali au insha za kubuni
-Kuandika insha za masimulizi kuhusu suala lengwa akizingatia wazo moja kuu -Kuliendeleza wazo moja kuu katika kila aya kupitia kwa wahusika katika simulizi -Kuandika kwenye tarakilishi insha ya kubuni kuhusu suala lengwa akizingatia wazo moja kuu na kuwasambazia wenzake kwenye mtandao ili waitolee maoni _Kuwasomea wenzake insha ilioandikwa na kuwataka Kutambua wazo moja kuu |
Je, ni vipengele vipi vya kimsingi utakavyozingatia unapoandika insha ya kubuni?
|
KLB TOP
SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK 34-36 |
-jadili wazo kuu katika kielezo cha insha ya masimulizi
-jadili mawazo makuu mnayoweza kuandikia insha ya masimulizi
|
|
6 | 2 |
Kuandika
|
3.3.1 Insha za kubuni
Insha ya masimulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kubaini wazo moja kuu la insha ya masimulize atakayoandika -Kuandika insha ya masimulizi inayoendeleza wazo moja kuu katika kila aya -Kufurahia Kuandika insha za masimulizi katika maisah ya kila siku akizingatia ujumbe uliotengenezwa kwenye wazo moja kuu |
-Kutambua mazo moja kuu la simulizi kwenye mahini andishi na za kidijitali au insha za kubuni
-Kuandika insha za masimulizi kuhusu suala lengwa akizingatia wazo moja kuu -Kuliendeleza wazo moja kuu katika kila aya kupitia kwa wahusika katika simulizi -Kuandika kwenye tarakilishi insha ya kubuni kuhusu suala lengwa akizingatia wazo moja kuu na kuwasambazia wenzake kwenye mtandao ili waitolee maoni _Kuwasomea wenzake insha ilioandikwa na kuwataka Kutambua wazo moja kuu |
Je, ni vipengele vipi vya kimsingi utakavyozingatia unapoandika insha ya kubuni?
|
KLB TOP
SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK 34-36 |
-jadili wazo kuu katika kielezo cha insha ya masimulizi
-jadili mawazo makuu mnayoweza kuandikia insha ya masimulizi
|
|
6 | 3 |
Kuandika
|
3.3.1 Insha za kubuni
Insha ya masimulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kubaini wazo moja kuu la insha ya masimulize atakayoandika -Kuandika insha ya masimulizi inayoendeleza wazo moja kuu katika kila aya -Kufurahia Kuandika insha za masimulizi katika maisah ya kila siku akizingatia ujumbe uliotengenezwa kwenye wazo moja kuu |
-Kutambua mazo moja kuu la simulizi kwenye mahini andishi na za kidijitali au insha za kubuni
-Kuandika insha za masimulizi kuhusu suala lengwa akizingatia wazo moja kuu -Kuliendeleza wazo moja kuu katika kila aya kupitia kwa wahusika katika simulizi -Kuandika kwenye tarakilishi insha ya kubuni kuhusu suala lengwa akizingatia wazo moja kuu na kuwasambazia wenzake kwenye mtandao ili waitolee maoni _Kuwasomea wenzake insha ilioandikwa na kuwataka Kutambua wazo moja kuu |
Je, ni vipengele vipi vya kimsingi utakavyozingatia unapoandika insha ya kubuni?
|
KLB TOP
SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK 34-36 |
-jadili wazo kuu katika kielezo cha insha ya masimulizi
-jadili mawazo makuu mnayoweza kuandikia insha ya masimulizi
|
|
6 | 4 |
Kuandika
|
3.3.1 Insha za kubuni
Insha ya masimulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kubaini wazo moja kuu la insha ya masimulize atakayoandika -Kuandika insha ya masimulizi inayoendeleza wazo moja kuu katika kila aya -Kufurahia Kuandika insha za masimulizi katika maisah ya kila siku akizingatia ujumbe uliotengenezwa kwenye wazo moja kuu |
-Kutambua mazo moja kuu la simulizi kwenye mahini andishi na za kidijitali au insha za kubuni
-Kuandika insha za masimulizi kuhusu suala lengwa akizingatia wazo moja kuu -Kuliendeleza wazo moja kuu katika kila aya kupitia kwa wahusika katika simulizi -Kuandika kwenye tarakilishi insha ya kubuni kuhusu suala lengwa akizingatia wazo moja kuu na kuwasambazia wenzake kwenye mtandao ili waitolee maoni _Kuwasomea wenzake insha ilioandikwa na kuwataka Kutambua wazo moja kuu |
Je, ni vipengele vipi vya kimsingi utakavyozingatia unapoandika insha ya kubuni?
|
KLB TOP
SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK 34-36 |
-jadili wazo kuu katika kielezo cha insha ya masimulizi
-jadili mawazo makuu mnayoweza kuandikia insha ya masimulizi
|
|
7 | 1 |
Sarufi
|
3.4.1
Viwakilishi
-Viwakilishi vimilikishi
-Viwakilishi visisilizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua Viwakilishi vimilikishi na visisitizi katika matini -kutumia Viwakilishi vimilikishi na visisitizi ipasavyokatika matini -Kuchangamkia kutumia Viwakilishi vimilikishi na visisilizi katika sentensi na vifungu |
Mwafunzi aelekezwe
-Kuchopoa viwakilishi vimilikishi na visisitizi katika kapu la maneno, orodha ya maneno, sentensi, vifungu au katika tarakilishi -Kutaja viwakilishe vimilikishi na visisitizi katika orodha ya maneno, sentensi, vifungu kwenye vitabu au tarakilishi kwa kuvipigia mstari au kuvikolezea wino -Kutunga sentensi au vifungu kuhusu suala lengwa kwa kutumia viwakilishi vimilikishi na visisitizi akizingatia masuala mtambuko mbalmbali likiwemo suala la dhiki zinazokumba wanyama -Kumsomea mzazi, mlezi au mwenzake sentensi zinazotumia viwakilishi vimilikishi na visisitizi ili azitolee maoni |
-Unazingatia nini unapotumia viwakilishi?
-Je, Viwakilishi visisitizi vina muhimu gani katika mawasiliano?
|
KLB TOP
SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK 36-39 |
-Tunga sentensi ukitumia Viwakilishi vimilikishi
-Andika aya moja ukitumia Viwakilishi vimilikishi ipasvyo
-Tumia Viwakilishi visisitizi kukamilisha sentensi
-Tunga kifungu cha aya moja kwa kujumuisha Viwakilishi
|
|
7 | 2 |
Sarufi
|
3.4.1
Viwakilishi
-Viwakilishi vimilikishi
-Viwakilishi visisilizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua Viwakilishi vimilikishi na visisitizi katika matini -kutumia Viwakilishi vimilikishi na visisitizi ipasavyokatika matini -Kuchangamkia kutumia Viwakilishi vimilikishi na visisilizi katika sentensi na vifungu |
Mwafunzi aelekezwe
-Kuchopoa viwakilishi vimilikishi na visisitizi katika kapu la maneno, orodha ya maneno, sentensi, vifungu au katika tarakilishi -Kutaja viwakilishe vimilikishi na visisitizi katika orodha ya maneno, sentensi, vifungu kwenye vitabu au tarakilishi kwa kuvipigia mstari au kuvikolezea wino -Kutunga sentensi au vifungu kuhusu suala lengwa kwa kutumia viwakilishi vimilikishi na visisitizi akizingatia masuala mtambuko mbalmbali likiwemo suala la dhiki zinazokumba wanyama -Kumsomea mzazi, mlezi au mwenzake sentensi zinazotumia viwakilishi vimilikishi na visisitizi ili azitolee maoni |
-Unazingatia nini unapotumia viwakilishi?
-Je, Viwakilishi visisitizi vina muhimu gani katika mawasiliano?
|
KLB TOP
SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK 36-39 |
-Tunga sentensi ukitumia Viwakilishi vimilikishi
-Andika aya moja ukitumia Viwakilishi vimilikishi ipasvyo
-Tumia Viwakilishi visisitizi kukamilisha sentensi
-Tunga kifungu cha aya moja kwa kujumuisha Viwakilishi
|
|
7 | 3 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
4.1.1
Hadithi
Visasili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza dhana ya visasili ili kuibanisha -Kujadili vipengele vya kimsingi katika uwasilishaji wa visasili -Kuwasilisha visasili kwa kuzingatia uwasilishaji ufaao -Kufurahia uchambuzi na uwasilishji wa visasili ili kujenga umahiri katika fasihi simulizi |
Mwanfuzi aelekezwe”
-Kufanya utafiti maktabani na mtandaoni kuhus sifa za visasili -Kuwawasilishia wenzake matokeo ya utafiti wake wa sifa za visasili ili wazijafili -Kujadili vipengele vya kimsing katika uwasilishaji wa visasili (K.V ujumbe, wahusika na mbinu za lugha -Kusiliza visasili katika vifaa vya kidijitari au kutoka kwa mgeni mwalikwa na kubainisha vipengele vya kimsingi vya uwasilishaji wa visasili -Kujadili na mzazi, mlezi kuhusu visasili katika jamii yake . -Kusimulia visasili akiwa na mzazi, mlezi mwenzake akizingatia vipengele vy kimsingi vya uwasilishaji |
-Je, uwasilishaji wa hadithi ya visasili huzingatia vipengelee gani?
-visasili vina sifa gani?
|
KLB TOP
SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK 40-42 |
-Sikilizeni mwalimu akisimulia kisasili
-Mwelezee mwenzalo sifa za kisasili
-jadili vipengel vya kuzingatia katika Kusimulia visasili
|
|
7 | 4 |
Kusikiliza na Kuzungumza
|
4.1.1
Hadithi
Visasili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza dhana ya visasili ili kuibanisha -Kujadili vipengele vya kimsingi katika uwasilishaji wa visasili -Kuwasilisha visasili kwa kuzingatia uwasilishaji ufaao -Kufurahia uchambuzi na uwasilishji wa visasili ili kujenga umahiri katika fasihi simulizi |
Mwanfuzi aelekezwe”
-Kufanya utafiti maktabani na mtandaoni kuhus sifa za visasili -Kuwawasilishia wenzake matokeo ya utafiti wake wa sifa za visasili ili wazijafili -Kujadili vipengele vya kimsing katika uwasilishaji wa visasili (K.V ujumbe, wahusika na mbinu za lugha -Kusiliza visasili katika vifaa vya kidijitari au kutoka kwa mgeni mwalikwa na kubainisha vipengele vya kimsingi vya uwasilishaji wa visasili -Kujadili na mzazi, mlezi kuhusu visasili katika jamii yake . -Kusimulia visasili akiwa na mzazi, mlezi mwenzake akizingatia vipengele vy kimsingi vya uwasilishaji |
-Je, uwasilishaji wa hadithi ya visasili huzingatia vipengelee gani?
-visasili vina sifa gani?
|
KLB TOP
SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK 40-42 |
-Sikilizeni mwalimu akisimulia kisasili
-Mwelezee mwenzalo sifa za kisasili
-jadili vipengel vya kuzingatia katika Kusimulia visasili
|
|
8 | 1 |
Kusoma
|
4.2.1
Kusoma kwa ufasaha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua vipengele vya Kusoma kwa ufasaha ili kuvibainisha -Kusoma kifungu kwa kasi ifaayo -Kusoma kifungu kwa kutumia sauti ipasavyo -Kusoma kifungu kwa kuambatanisha ishara zifaazo -Kuchangamkia Kusoma kifungu kwa kuzingatia vipengele vya usomaji |
Mwanafunzi aelekezwe :
-Kujadiliana na wenzake vipengele vya kuzingatia katika kusoma makala kwa ufasaha -Kutazama na kusikiliza video inayoonyesha usomaji fasaha wa Makala (K.V hotuba, habari) -Kusoma kifungu kuhusu suala lengwa katika matini andishi au ya kidijitali akizingatia matamshi bora -Kusoma kifungu kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo (maneno sahihi yasiyopungua 100 kwa dakika) -Kusoma kifungu akizingatia sauti ifaayo -Kusoma kifungu kwa kuambatanisha ishara zifaazo panapo faa -Kushirikiana na mzazi au mlezi kusoma makala akizingatia vipengele vya usomaji bora |
-Je, Kusoma kwa ufasaha Kuna umuhimu gani?
-Unaposoma kifungu ni mambo yapi unayozingatia ili kufanikisha usomajikwa ufasaha?
|
KLB TOP
SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK 42 - 44 |
|
|
8 |
Mid term break |
||||||||
9 | 1 |
Kuandika
|
4.3.1 Insha za kubuni
Insha ya masimulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua mbinu za lugha katika insha ya masimulizi -Kujadili umuhimu wa mbinu za lugha katika insah za lugha katikainsah za masimuliszi -Kujadili wahusika namandari katika insha ya masimulizi akizingatia mbinu za lugha wahusika wanaobainika na mandhari ifaavyo -Kufurahia Kuandika insah ya masimulizi akizingatia lugha, wahusika na mandhari ifaavyo ili kukuza ubunifu. |
Mwanafunzi aelekezwe
-Kutambua mbinu za lugha (K.V tashbihi, sitiari;, nahau) katika vieleezo vya insha ya masimulizi -Kushivikiana na wenzako kujadili umuhimu wa lugha ya kiubunifu katika vielelezo vya insha za masimulizi. -Kuwasilisha utafiti wake darasani ili kujidiliana na wenzake -Kujadili na wenzake wahusika na mandhari katika vielelezo vya insah za masimulizi kutoka kwenye maandishi au vifaa vya kidijitari. -Kuandika insha ya masimulinzi akitumia lugha kiubunifu na kuwabainisha wanahusika na maandhari akizingatia suala lengwa. -Kuwasomea wenzake insha aliyoandkika ili waitathmini -Kumsomea mzazi, mlezi au mwenzake kielelezo cha insha ya masimulizi ili aitolee maoni |
-Je, ni vipengele vipi vya kimsingi utakavyozingatia unapoandika insha ya masimulizi
-mbinu za lugha zina umuhimu gani katika uandishi wa insha ya masimulizi
|
KLB TOP
SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK: 45 -47 |
|
|
9 | 2 |
Kuandika
|
4.3.1 Insha za kubuni
Insha ya masimulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua mbinu za lugha katika insha ya masimulizi -Kujadili umuhimu wa mbinu za lugha katika insah za lugha katikainsah za masimuliszi -Kujadili wahusika namandari katika insha ya masimulizi akizingatia mbinu za lugha wahusika wanaobainika na mandhari ifaavyo -Kufurahia Kuandika insah ya masimulizi akizingatia lugha, wahusika na mandhari ifaavyo ili kukuza ubunifu. |
Mwanafunzi aelekezwe
-Kutambua mbinu za lugha (K.V tashbihi, sitiari;, nahau) katika vieleezo vya insha ya masimulizi -Kushivikiana na wenzako kujadili umuhimu wa lugha ya kiubunifu katika vielelezo vya insha za masimulizi. -Kuwasilisha utafiti wake darasani ili kujidiliana na wenzake -Kujadili na wenzake wahusika na mandhari katika vielelezo vya insah za masimulizi kutoka kwenye maandishi au vifaa vya kidijitari. -Kuandika insha ya masimulinzi akitumia lugha kiubunifu na kuwabainisha wanahusika na maandhari akizingatia suala lengwa. -Kuwasomea wenzake insha aliyoandkika ili waitathmini -Kumsomea mzazi, mlezi au mwenzake kielelezo cha insha ya masimulizi ili aitolee maoni |
-Je, ni vipengele vipi vya kimsingi utakavyozingatia unapoandika insha ya masimulizi
-mbinu za lugha zina umuhimu gani katika uandishi wa insha ya masimulizi
|
KLB TOP
SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK: 45 -47 |
|
|
9 | 3 |
Kuandika
|
4.3.1 Insha za kubuni
Insha ya masimulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua mbinu za lugha katika insha ya masimulizi -Kujadili umuhimu wa mbinu za lugha katika insah za lugha katikainsah za masimuliszi -Kujadili wahusika namandari katika insha ya masimulizi akizingatia mbinu za lugha wahusika wanaobainika na mandhari ifaavyo -Kufurahia Kuandika insah ya masimulizi akizingatia lugha, wahusika na mandhari ifaavyo ili kukuza ubunifu. |
Mwanafunzi aelekezwe
-Kutambua mbinu za lugha (K.V tashbihi, sitiari;, nahau) katika vieleezo vya insha ya masimulizi -Kushivikiana na wenzako kujadili umuhimu wa lugha ya kiubunifu katika vielelezo vya insha za masimulizi. -Kuwasilisha utafiti wake darasani ili kujidiliana na wenzake -Kujadili na wenzake wahusika na mandhari katika vielelezo vya insah za masimulizi kutoka kwenye maandishi au vifaa vya kidijitari. -Kuandika insha ya masimulinzi akitumia lugha kiubunifu na kuwabainisha wanahusika na maandhari akizingatia suala lengwa. -Kuwasomea wenzake insha aliyoandkika ili waitathmini -Kumsomea mzazi, mlezi au mwenzake kielelezo cha insha ya masimulizi ili aitolee maoni |
-Je, ni vipengele vipi vya kimsingi utakavyozingatia unapoandika insha ya masimulizi
-mbinu za lugha zina umuhimu gani katika uandishi wa insha ya masimulizi
|
KLB TOP
SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK: 45 -47 |
|
|
9 | 4 |
Sarufi
|
4.4.1 Nyakati na Hali
-Hali ya mazoea
-Hali timilifu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya hali ya mazoea na timilifu -kubainisha vitenzi vilivyo katika matini -kutumia hali ya masoea na timilifu ipasavyo ili kufanikisha mawasiliano |
Mwanafunzi aelekeze
-Kueleza maana ya hali ya mazoea na timilifu -Kusoma kifungu na kutambua hali iliyotumiwa -Kuchagua vitenze vinavyoashria hali ya mazoea na timilifu katika chati, sentensi, vifungu na tarakilishi -Kujaza nafasi katika sentensiau vifungu kwa kutumia hali ya mazoea na timilifu ipasavyo - Kutunga sentensi au vifungu vifupi daftarini mwake au katika kifaa cha kidijitali kwa kutumia hali ya mazoea na timilifu akizingatia masuala mtambuko mbali mbali, likiwemo suala la matumizi bora ya maliasili -Kuwasomea wenzake au kuwasambazia mtandaoni kazi yake ile waitolee maoni |
-Je, unapotaka kuonyesha kwamba jambo hutokea mara kwa mara utatumia viambishi vipi?-Je, unapotaka kuonyesha kwamba jambo limefanika na kukamilika utatumia viambishi vipi?
|
KLB TOP
SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK 47-50 |
|
|
10 | 1 |
Kusikilliza na Kuzungumza
|
5.1.1 Kusikiliza maagizo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
_Kueleza maana ya maagizo ili kuyapambanua -Kutambua maagizo katika miktadha mbalimbali -Kujadili sifa zakimsingi za maagizo yafaayo -Kutoa na kupokea maagizo ipasavyo -Kuchangamkia kutoa na kufuata maagizo ifaavyo katika miktadha mbali mbali |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kueleza maana ya maagizo ili kuipambanua -Kubainisha maagizo miongoni mw kauli zilizoaandikwa katika kadi, kapu maneno au vifaavya kidijitali -Kutambua maagizo kutoka kwenye kitabu, chati au vifaa vya kidijitali -Kujadili na wenzake sifa za kimsingi za maagizo yafaayo -Kutafiti maktabani au mtandaoni kuhusu sifa za maagizo na kuwawasilishia wenzake darasani wazi tathmini -Kuigiza utoaji na uitikiaji wa maagizo mbalimbali kwa uwazi -Kujadiliana na wenzake kuhusu aina mbalimbali za maagizo kulingana na kwa ufupi |
-Je, kwanini mtu hupewa maagizo?
-Maagizo ambayo umewahi kupewa yalikusaidia vipi?
|
Kifaa cha kidigitari
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 51-54 |
|
|
10 | 2 |
Kusikilliza na Kuzungumza
|
5.1.1 Kusikiliza maagizo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
_Kueleza maana ya maagizo ili kuyapambanua -Kutambua maagizo katika miktadha mbalimbali -Kujadili sifa zakimsingi za maagizo yafaayo -Kutoa na kupokea maagizo ipasavyo -Kuchangamkia kutoa na kufuata maagizo ifaavyo katika miktadha mbali mbali |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kueleza maana ya maagizo ili kuipambanua -Kubainisha maagizo miongoni mw kauli zilizoaandikwa katika kadi, kapu maneno au vifaavya kidijitali -Kutambua maagizo kutoka kwenye kitabu, chati au vifaa vya kidijitali -Kujadili na wenzake sifa za kimsingi za maagizo yafaayo -Kutafiti maktabani au mtandaoni kuhusu sifa za maagizo na kuwawasilishia wenzake darasani wazi tathmini -Kuigiza utoaji na uitikiaji wa maagizo mbalimbali kwa uwazi -Kujadiliana na wenzake kuhusu aina mbalimbali za maagizo kulingana na kwa ufupi |
-Je, kwanini mtu hupewa maagizo?
-Maagizo ambayo umewahi kupewa yalikusaidia vipi?
|
Kifaa cha kidigitari
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 51-54 |
|
|
10 | 3 |
Kusikilliza na Kuzungumza
|
5.1.1 Kusikiliza maagizo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
_Kueleza maana ya maagizo ili kuyapambanua -Kutambua maagizo katika miktadha mbalimbali -Kujadili sifa zakimsingi za maagizo yafaayo -Kutoa na kupokea maagizo ipasavyo -Kuchangamkia kutoa na kufuata maagizo ifaavyo katika miktadha mbali mbali |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kueleza maana ya maagizo ili kuipambanua -Kubainisha maagizo miongoni mw kauli zilizoaandikwa katika kadi, kapu maneno au vifaavya kidijitali -Kutambua maagizo kutoka kwenye kitabu, chati au vifaa vya kidijitali -Kujadili na wenzake sifa za kimsingi za maagizo yafaayo -Kutafiti maktabani au mtandaoni kuhusu sifa za maagizo na kuwawasilishia wenzake darasani wazi tathmini -Kuigiza utoaji na uitikiaji wa maagizo mbalimbali kwa uwazi -Kujadiliana na wenzake kuhusu aina mbalimbali za maagizo kulingana na kwa ufupi |
-Je, kwanini mtu hupewa maagizo?
-Maagizo ambayo umewahi kupewa yalikusaidia vipi?
|
Kifaa cha kidigitari
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 51-54 |
|
|
10 | 4 |
Kuandika
|
5.3.1 Insha ya maelekezo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua insha ya maelekezo katika matini -Kujadili sifa za insha ya maelekezo -kuandkika insha ya maelekezo -Kuandika insha ya maelekezo akizingatia anwani na mpangilio ufaao -Kufurahia Kuandika insha za maelekezo maishani |
Mwannafunzi aelekezwe’
-Kutafitili na kueleza maana ya insha ya maelekezo. -Kusoma kwenye kamusi au kifaa cha kidijitali maana ya insha ya maelekezo -Kutambua aina za insha za maelekezo kwenye maandishi au vifaa vya kidijitali -Kubainisha sifa za insah ya maelekkezo kwenye maandishi au vifaa vya kidijitali -Kubainisha sifa za insha ya maelekezo kwa kuzingatia vielelezovya insha kwenye matini za kimaandishi au za za kidijitali (K.V ussahihi wa habari, mpangilio uffao wa hatua za insha ya maelekezo -Kuandika insha ya maelekezo akizingatia vipengele vya lugha miktadha ya jamii zao -Kusikiliza maagizo ya aina mbalimbali yanayotolea na mwalimu, mgeni, mwalikwa au katika kifaa cha kidigitali na kutaja maagizo yaliyomo -Kuandaa maagizo na kisha kuyawasilisha darasani ili yajadiliwe na wenzake |
-Je ni mambo gani unayozingatia unapoandika insha maelekezo?
|
Kifaa cha kidijitali
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK 56-59 |
-Kutafiti na Kueleza
-Kusoma
-Kubanisha
-Kutambua
|
|
11 | 1 |
Kusoma
|
5.2.1 Kusoma kwa ufahamu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kodondoa habari mahususi katika kifungu cha ufahamu -Kuelezea maana ya msamiati kulingana na muktadha wa kifungu cha ufahamu -Kuchangamkia Kusoma kwa ufahamu ili kukuza uelewa wa habari |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusoma kifungu kuhusu suala lengwa katika matini andishi au ya kidijitali -Kueleza habari za kifungu kwa ufupi -Kuchopoa msamiati wa suala lengwa na kuuitia kwenye kapu la maneno -Kueleza maana za maneno kulingana na muktadha wa matumizi katika matini -Kusakura vifungu vya ufahamu kuhusu suala lengwa kwenye vifaa vya kijiditali -Kumsomea mzazi au mlezi kifungu kifupi kwa sauti na kuelezea habarri husika |
Ni kwa njia gani tunaweza judondoa habari mahususi kutokana kifungu cha ufahamu?
|
KLB TOP
SCHOLAR KISWAHILI Gredi ya 8 UK:54-56 |
-Kusoma kifungu
-Kueleza habari
-kuchopoa msamiati
-Kusakura vifungu
|
|
11 | 2 |
Kusoma
|
5.2.1 Kusoma kwa ufahamu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kodondoa habari mahususi katika kifungu cha ufahamu -Kuelezea maana ya msamiati kulingana na muktadha wa kifungu cha ufahamu -Kuchangamkia Kusoma kwa ufahamu ili kukuza uelewa wa habari |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusoma kifungu kuhusu suala lengwa katika matini andishi au ya kidijitali -Kueleza habari za kifungu kwa ufupi -Kuchopoa msamiati wa suala lengwa na kuuitia kwenye kapu la maneno -Kueleza maana za maneno kulingana na muktadha wa matumizi katika matini -Kusakura vifungu vya ufahamu kuhusu suala lengwa kwenye vifaa vya kijiditali -Kumsomea mzazi au mlezi kifungu kifupi kwa sauti na kuelezea habarri husika |
Ni kwa njia gani tunaweza judondoa habari mahususi kutokana kifungu cha ufahamu?
|
KLB TOP
SCHOLAR KISWAHILI Gredi ya 8 UK:54-56 |
-Kusoma kifungu
-Kueleza habari
-kuchopoa msamiati
-Kusakura vifungu
|
|
11 | 3 |
Kusoma
|
5.2.1 Kusoma kwa ufahamu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kodondoa habari mahususi katika kifungu cha ufahamu -Kuelezea maana ya msamiati kulingana na muktadha wa kifungu cha ufahamu -Kuchangamkia Kusoma kwa ufahamu ili kukuza uelewa wa habari |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusoma kifungu kuhusu suala lengwa katika matini andishi au ya kidijitali -Kueleza habari za kifungu kwa ufupi -Kuchopoa msamiati wa suala lengwa na kuuitia kwenye kapu la maneno -Kueleza maana za maneno kulingana na muktadha wa matumizi katika matini -Kusakura vifungu vya ufahamu kuhusu suala lengwa kwenye vifaa vya kijiditali -Kumsomea mzazi au mlezi kifungu kifupi kwa sauti na kuelezea habarri husika |
Ni kwa njia gani tunaweza judondoa habari mahususi kutokana kifungu cha ufahamu?
|
KLB TOP
SCHOLAR KISWAHILI Gredi ya 8 UK:54-56 |
-Kusoma kifungu
-Kueleza habari
-kuchopoa msamiati
-Kusakura vifungu
|
|
11 | 4 |
Kusoma
|
5.2.1 Kusoma kwa ufahamu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kodondoa habari mahususi katika kifungu cha ufahamu -Kuelezea maana ya msamiati kulingana na muktadha wa kifungu cha ufahamu -Kuchangamkia Kusoma kwa ufahamu ili kukuza uelewa wa habari |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kusoma kifungu kuhusu suala lengwa katika matini andishi au ya kidijitali -Kueleza habari za kifungu kwa ufupi -Kuchopoa msamiati wa suala lengwa na kuuitia kwenye kapu la maneno -Kueleza maana za maneno kulingana na muktadha wa matumizi katika matini -Kusakura vifungu vya ufahamu kuhusu suala lengwa kwenye vifaa vya kijiditali -Kumsomea mzazi au mlezi kifungu kifupi kwa sauti na kuelezea habarri husika |
Ni kwa njia gani tunaweza judondoa habari mahususi kutokana kifungu cha ufahamu?
|
KLB TOP
SCHOLAR KISWAHILI Gredi ya 8 UK:54-56 |
-Kusoma kifungu
-Kueleza habari
-kuchopoa msamiati
-Kusakura vifungu
|
|
12 | 1 |
Sarufi
|
5.4.1 Nyakati na Hali
i) Wakati uliopita hali timilifu
ii) Wakati ujao hali timilifu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya wakati uliopita hali hali timilifu na wakati ujao hali timilifu ili kuzipambanua -Kutambua viambishi vya wakati uliopita hali timilifu ujao hali timilifu katika matini -kutumia wakati uliopita hali timilifu ipasavyo katika matini -Kuchangamkia kutumia wakati ujao hali timilifu na wakaati ujao hali timilifu ipasavyo ili kufanikisha mawasiliano |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kueleza maana ya wakati uliopita hali timilifu na wakti ujao hali timilifu -Kutambua viambishi vya wakti uliopita hali timilifu (Ii, me) na wakti ujao hali timilifu (Ea, me) -Kutenga vitenzi vilivyo katika wakati uliopita hali timilifu na kutoka kwenye chati au mli maneno -Kujaza nafasi katika sentensi au vifung kwa kutumia wakati uliopita hali timilifu na wakati ujao hali timilifu ipasavyo -Kutunga sentence au vifungu vifupi kwa kutumia wakati uliopita hali timilifu na wakati ujao li timilfu akizingatia masuala mtambuko mbali mbali likiwemo suala la majukumuya kijinsia -Kuandika kifungu kifupi kwenya kifaa cha kidijitali ana kuwasambazia wenzake matandaoni ili wakibadilishe katika nyakati na hali lengwa |
Kwa nini ni muhimu kujifunza nyakati na hali?
|
Kifaa cha kidijitali
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi 8 UK 59-61 |
-Kuelekeza maana
-Kutambua viambishi
-Kutenga vilenzi
-Kujaza nafasi
-Kutunga sentensi
-Kuandika kifungu
|
|
12 | 2 |
Sarufi
|
5.4.1 Nyakati na Hali
i) Wakati uliopita hali timilifu
ii) Wakati ujao hali timilifu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya wakati uliopita hali hali timilifu na wakati ujao hali timilifu ili kuzipambanua -Kutambua viambishi vya wakati uliopita hali timilifu ujao hali timilifu katika matini -kutumia wakati uliopita hali timilifu ipasavyo katika matini -Kuchangamkia kutumia wakati ujao hali timilifu na wakaati ujao hali timilifu ipasavyo ili kufanikisha mawasiliano |
Mwanafunzi aelekezwe:
-Kueleza maana ya wakati uliopita hali timilifu na wakti ujao hali timilifu -Kutambua viambishi vya wakti uliopita hali timilifu (Ii, me) na wakti ujao hali timilifu (Ea, me) -Kutenga vitenzi vilivyo katika wakati uliopita hali timilifu na kutoka kwenye chati au mli maneno -Kujaza nafasi katika sentensi au vifung kwa kutumia wakati uliopita hali timilifu na wakati ujao hali timilifu ipasavyo -Kutunga sentence au vifungu vifupi kwa kutumia wakati uliopita hali timilifu na wakati ujao li timilfu akizingatia masuala mtambuko mbali mbali likiwemo suala la majukumuya kijinsia -Kuandika kifungu kifupi kwenya kifaa cha kidijitali ana kuwasambazia wenzake matandaoni ili wakibadilishe katika nyakati na hali lengwa |
Kwa nini ni muhimu kujifunza nyakati na hali?
|
Kifaa cha kidijitali
KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi 8 UK 59-61 |
-Kuelekeza maana
-Kutambua viambishi
-Kutenga vilenzi
-Kujaza nafasi
-Kutunga sentensi
-Kuandika kifungu
|
|
12 | 3 |
Kusikilza na Kuzungumza
|
6.1.1 Kusililiza kwa kufasiri
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua ujumbe katika matini ya kusikiliza -Kueleza uhusiano kati ya ujumbe wa matini na maisha ya kila siku -Kujadili mafunzo yanayotokana na ujumbe wa matini -kujenga mazoea ya kuhusisha ujumbe katika matini na hali ya maisha ya kila siku |
Mwanafunzi alekezwe;
-Kueleza masuala yanayo zungumziwa katika matini aliyosikiliza kutoka kwa mwalimu, mgeni, mwalikwa au kifaa cha kidijitali -Kusikiliza matini katika vifaa vya kidijitali, kutoka kwa mwalimu, au mgeni, mwalikwa na kueleza uhusiano wa ujumbe wa matini hiyo na maisha ya kila siku -Kujadili na wenzake mafunzo yanayotokana na ujumbe wa matini -Kushirikiana na mzazi au mlezi kusikiliza na kuchanganua habari katika matini za aina mbali mbali kuhusu suala lengwa |
|
Kifaa cha kidijitali
Tarakilishi KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK 62-63 |
-Kueleza masuala
-kusikiliza matini
-Kujadili
-Kushirikiana
|
|
12 | 4 |
Kusikilza na Kuzungumza
|
6.1.1 Kusililiza kwa kufasiri
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua ujumbe katika matini ya kusikiliza -Kueleza uhusiano kati ya ujumbe wa matini na maisha ya kila siku -Kujadili mafunzo yanayotokana na ujumbe wa matini -kujenga mazoea ya kuhusisha ujumbe katika matini na hali ya maisha ya kila siku |
Mwanafunzi alekezwe;
-Kueleza masuala yanayo zungumziwa katika matini aliyosikiliza kutoka kwa mwalimu, mgeni, mwalikwa au kifaa cha kidijitali -Kusikiliza matini katika vifaa vya kidijitali, kutoka kwa mwalimu, au mgeni, mwalikwa na kueleza uhusiano wa ujumbe wa matini hiyo na maisha ya kila siku -Kujadili na wenzake mafunzo yanayotokana na ujumbe wa matini -Kushirikiana na mzazi au mlezi kusikiliza na kuchanganua habari katika matini za aina mbali mbali kuhusu suala lengwa |
|
Kifaa cha kidijitali
Tarakilishi KLB TOP SCHOLAR Kiswahili Gredi ya 8 UK 62-63 |
-Kueleza masuala
-kusikiliza matini
-Kujadili
-Kushirikiana
|
Your Name Comes Here