Home






MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
DARASA LA NNE
MWAKA WA 2026
MUHULA WA I

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA SHUGHULI ZA UFUNZAJI MASWALI DADISI NYENZO TATHMINI MAONI
1 3
NYUMBANI

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusikiliza na Kuzungumza
Matamshi Bora: Sauti p/b
Matamshi Bora: Sauti t/d
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
- Kutambua silabi zinazotokana na sauti p/b katika maneno.
- Kutamka silabi zinazotokana na sauti p/b kwa usahihi.
- Kutamka vitanzandimi vinavyoundwa kwa silabi za sauti p/b.
- Kuunda vitanzandimi kutokana na sauti p/b.
- Kuchangamkia kukariri vitanzandimi vinavyoundwa kwa silabi za sauti p/b katika kuboresha matamshi yake.
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua silabi za sauti p/b kutokana na maneno kwenye vitabu, ubaoni au kwa kutumia vifaa vya kidijitali.
- Kusikiliza silabi za sauti p/b zikitamkwa na mwalimu, mgeni mwalikwa au kutoka kwa vifaa vya kidijitali.
- Kutamka silabi za sauti p/b na vitanzandimi akiwa na wenzake.
- Kusikiliza vitanzandimi vilivyoundwa kutokana na maneno yenye sauti p/b vikikaririwa na mwalimu, mgeni mwalikwa au katika vifaa vya kidijitali.
- Kuunda vitanzandimi vyepesi vinavyotokana na sauti p/b akiwa na wenzake.
- Kuunda vitanzandimi kwenye vifaa vya kidijitali na kushirikiana na wenzake mitamboni kuvirekebisha.
Matamshi bora yana umuhimu gani katika mawasiliano?
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 2
Michoro
Picha
Kadi za maneno
Kapu maneno
Chati
Vifaa vya kidijitali
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 3
Kutambua silabi za sauti p/b katika maneno Kutamka silabi kwa usahihi Kutamka vitanzandimi kwa ufasaha Kuunda vitanzandimi vyepesi Tathmini ya wanafunzi wenyewe
1 4
Kusoma
Kusoma kwa Ufahamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
- Kutambua msamiati wa mada lengwa uliotumika katika kifungu cha hadithi.
- Kutumia msamiati lengwa kwa usahihi katika sentensi.
- Kutoa muhtasari wa ujumbe wa kifungu cha hadithi.
- Kujibu maswali ya ufahamu kutokana na kifungu alichosoma.
- Kujenga mazoea ya usomaji bora katika maisha ya kila siku.
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua msamiati wa nyumbani (k.v. meza, sebule, balbu, kizingiti, fremu, neti, tendegu, mtoto wa meza, mvungu, figa, kinu, tumbuu, kochi, kupiga deki) uliotumiwa katika kifungu.
- Kushirikiana na wenzake kujadili maana na matumizi ya msamiati lengwa katika sentensi.
- Kuimba nyimbo zinazolenga msamiati lengwa.
- Kusoma kifungu kinachohusiana na suala lengwa kwenye kitabu au kwenye tarakilishi akiwa na wenzake.
- Kujibu maswali kutokana na kifungu alichosoma.
- Kutoa muhtasari wa ujumbe wa kifungu alichokisoma.
Unazingatia nini ili kupata ujumbe katika kifungu cha hadithi?
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 10
Kadi za msamiati
Picha
Michoro
Vifaa vya kidijitali
Kutambua msamiati wa mada lengwa katika kifungu Kutoa maana ya msamiati lengwa Kutunga sentensi kwa kutumia msamiati lengwa Kujibu maswali ya ufahamu Kutoa muhtasari wa ujumbe wa kifungu
2 1
Sarufi
Nomino
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
- Kueleza maana ya nomino ili kuitofautisha na aina nyingine za maneno.
- Kutambua nomino katika kundi la maneno na sentensi.
- Kutumia nomino kwa njia sahihi katika sentensi.
- Kuonea fahari matumizi ya nomino katika mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kushirikiana na wenzake kueleza maana ya nomino.
- Kutambua nomino katika matini mbalimbali.
- Kushirikiana na wenzake kutoa mifano ya nomino.
- Kuchagua nomino kwenye tarakilishi, kuziburura na kuzitia kapuni akiwa na wenzake.
- Kutumia nomino kujaza nafasi katika sentensi.
- Kutumia nomino kutunga sentensi kwenye daftari na mtandaoni ili wenzake wazisome na kuzisahihisha.
Je, ni vitu gani unavyoweza kupata katika mazingira yako?
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 15
Kadi za nomino
Mti maneno
Vifaa vya kidijitali
Chati
Kueleza maana ya nomino Kutambua nomino katika matini Kutumia nomino kujaza nafasi katika sentensi Kutunga sentensi sahihi kwa kutumia nomino Kufanya tathmini ya wanafunzi wenyewe
2 2
Sarufi
Nomino
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
- Kueleza maana ya nomino ili kuitofautisha na aina nyingine za maneno.
- Kutambua nomino katika kundi la maneno na sentensi.
- Kutumia nomino kwa njia sahihi katika sentensi.
- Kuonea fahari matumizi ya nomino katika mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua nomino katika kundi la maneno alilopewa.
- Kupigia mstari nomino katika sentensi mbalimbali.
- Kufanya zoezi la kutambua nomino katika kifungu.
- Kutumia nomino kutunga sentensi kuhusu nyumbani.
- Kutumia kifaa cha kidijitali kupiga chapa sentensi alizotunga.
- Wanafunzi kutathimiana kazi zao kuhusu matumizi ya nomino.
Ni nomino zipi zinazopatikana katika mazingira ya nyumbani?
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 16
Vifaa vya kidijitali
Kadi za nomino
Kupigia mstari nomino katika sentensi Kutunga sentensi kwa kutumia nomino Kutumia nomino kwenye maandishi Kupiga chapa sentensi kwa kutumia kidijitali Kufanya tathmini ya kazi za wenzao
2 3
Sarufi
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
- Kueleza maana ya vitenzi ili kuvitofautisha na aina nyingine za maneno.
- Kutambua vitenzi katika kundi la maneno na sentensi.
- Kutumia vitenzi ipasavyo katika mawasiliano.
- Kuonea fahari matumizi ya vitenzi katika mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kushirikiana na wenzake kwa amani kueleza maana ya vitenzi.
- Kushirikiana na wenzake kutoa mifano ya vitenzi (k.v. soma, andika, keti, simama, cheka).
- Kutambua vitendo vinavyofanyika katika picha au michoro.
- Kuigiza vitenzi mbalimbali akishirikiana na wenzake.
- Kutumia vitenzi kujaza nafasi kwenye sentensi na kifungu kifupi.
- Kutumia vitenzi mbalimbali kutunga sentensi daftarini au mtandaoni.
Ni shughuli gani unazofanya kila siku?
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 17
Picha
Michoro
Kadi za vitenzi
Vifaa vya kidijitali
Kueleza maana ya vitenzi Kutambua vitenzi katika kundi la maneno Kutumia vitenzi kujaza nafasi katika sentensi Kutunga sentensi kwa kutumia vitenzi Kuigiza vitenzi
2 4
Kuandika
Kuandika Insha ya Wasifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
- Kutambua insha ya wasifu kwa kuzingatia muundo.
- Kuandika insha ya wasifu kwa kuzingatia ujumbe, mtindo na muundo ufaao.
- Kutumia msamiati wa nyumbani katika insha yake.
- Kuchangamkia utunzi mzuri wa insha ya wasifu ili kujenga ubunifu wake.
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kujadili na wenzake maana ya insha ya wasifu.
- Kutambua insha ya wasifu kwa kurejelea vielelezo vya insha vilivyoandikwa kwenye matini mbalimbali au tarakilishi.
- Kujadili na wenzake mada ya insha na muundo wa insha ya wasifu.
- Kuandaa vidokezo vitakavyomwongoza kuandika insha yake.
- Kuandika insha inayoeleza sifa za mtu kama vile mzazi, mlezi, rafiki, mwalimu au kiongozi.
- Kuzingatia anwani, mpangilio mzuri wa mawazo, hati nadhifu, tahajia, kanuni za kisarufi, uakifishaji mwafaka na kwa ubunifu.
Je, unazingatia mambo gani unapoandika insha nzuri ya wasifu?
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 12
Vielelezo vya insha ya wasifu
Vifaa vya kidijitali
Chati
Kutambua sifa za insha ya wasifu Kuandaa vidokezo vya insha ya wasifu Kuandika insha ya wasifu Kutathmini insha zilizoundwa Kutumia msamiati wa nyumbani ipasavyo
3 1
Kusikiliza na Kuzungumza
Matamshi Bora: Sauti k/g
Matamshi Bora: Sauti ch/j
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
- Kutambua silabi zinazotokana na sauti k/g katika maneno.
- Kutamka silabi zinazotokana na sauti k/g kwa usahihi.
- Kutamka vitanzandimi vinavyoundwa kwa silabi za sauti k/g.
- Kuunda vitanzandimi kutokana na sauti k/g.
- Kuchangamkia kukariri vitanzandimi vinavyoundwa kwa silabi za sauti k/g katika kuboresha matamshi yake.
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua silabi za sauti k/g kutokana na maneno kwenye vitabu, ubaoni au kwa kutumia vifaa vya kidijitali.
- Kusikiliza silabi za sauti k/g zikitamkwa na mwalimu, mgeni mwalikwa au kutoka kwa vifaa vya kidijitali.
- Kutamka silabi za sauti k/g na vitanzandimi akiwa na wenzake.
- Kusikiliza vitanzandimi vilivyoundwa kutokana na maneno yenye sauti k/g vikikaririwa na mwalimu.
- Kuunda vitanzandimi vyepesi vinavyotokana na sauti k/g akiwa na wenzake.
- Kuwasomea wenzake vitanzandimi walivyounda katika vikundi.
Kwa nini ni muhimu kukariri vitanzandimi vyenye sauti k na g?
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 5
Picha
Chati
Vifaa vya kidijitali
Kadi za maneno
Kapu maneno
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 7
Michoro
Mti maneno
Kutambua silabi za sauti k/g katika maneno Kutamka silabi kwa usahihi Kutamka vitanzandimi kwa ufasaha Kuunda vitanzandimi vyepesi Kutathmini matamshi ya wanafunzi wengine
3 2
Kusoma
Kusoma kwa Ufahamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
- Kutambua msamiati wa mada lengwa uliotumika katika kifungu cha hadithi.
- Kutumia msamiati lengwa kwa usahihi katika sentensi.
- Kutoa muhtasari wa ujumbe wa kifungu cha hadithi.
- Kujibu maswali ya ufahamu kutokana na kifungu alichosoma.
- Kujenga mazoea ya usomaji bora katika maisha ya kila siku.
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kushirikiana na wenzake kujadili maana na matumizi ya msamiati lengwa katika sentensi.
- Kutumia kamusi kutafuta maana ya maneno mapya katika kifungu.
- Kusoma kifungu tena na kujibu maswali yote ya ufahamu.
- Kutoa muhtasari wa ujumbe wa kifungu alichokisoma.
- Kumweleza mzazi au mlezi wake ujumbe wa kifungu alichokisoma.
- Kujadiliana na wenzake kuhusu matumizi ya vitu vinavyopatikana nyumbani.
Je, utatumiaje msamiati mpya wa nyumbani katika mawasiliano ya kila siku?
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 11
Kamusi
Vifaa vya kidijitali
Michoro ya vitu vya nyumbani
Kutumia msamiati lengwa katika sentensi Kujibu maswali kutokana na kifungu alichosoma Kutoa muhtasari wa ujumbe wa kifungu Kueleza msamiati wa nyumbani kwa kutumia mifano halisi
3 3
Sarufi
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
- Kueleza maana ya vitenzi ili kuvitofautisha na aina nyingine za maneno.
- Kutambua vitenzi katika kundi la maneno na sentensi.
- Kutumia vitenzi ipasavyo katika mawasiliano.
- Kuonea fahari matumizi ya vitenzi katika mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua vitenzi kwenye mraba wa maneno.
- Kutoa vitenzi badala ya maelezo.
- Kujaza nafasi katika sentensi kwa kutumia vitenzi.
- Kukamilisha kifungu kwa kutumia vitenzi vifaavyo.
- Kutunga sentensi akitumia vitenzi aliyojifunza.
- Kuwasomea wenzake sentensi alizozitunga ili wazitathmini.
Kwa nini vitenzi ni muhimu katika mawasiliano?
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 19
Mraba wa maneno
Vifaa vya kidijitali
Kapu maneno
Kutambua vitenzi kwenye mraba wa maneno Kutumia vitenzi kujaza nafasi katika sentensi Kukamilisha kifungu kwa kutumia vitenzi Kutunga sentensi kwa kutumia vitenzi Kufanya tathmini ya kazi za wanafunzi wengine
3 4
Sarufi
Vivumishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
- Kueleza maana ya kivumishi ili kukitofautisha na aina nyingine za maneno.
- Kutambua vivumishi katika kundi la maneno na sentensi.
- Kutumia vivumishi ipasavyo katika sentensi.
- Kuonea fahari matumizi ya vivumishi katika sentensi.
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kushirikiana na wenzake kueleza maana ya kivumishi.
- Kutambua vivumishi katika kundi la maneno aliyopewa (k.m. -zuri, -baya, -refu, -fupi, -eusi, -eupe).
- Kuchagua vivumishi kwenye tarakilishi, kuviburura na kuvitia kapuni akiwa na wenzake.
- Kutumia vivumishi kujaza nafasi katika sentensi.
- Kutumia vivumishi kutunga sentensi daftarini na mtandaoni.
- Kuandika aya fupi akitumia vivumishi mbalimbali.
Ni sifa zipi unazoweza kutambua katika nomino mbalimbali?
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 20
Kadi za vivumishi
Vifaa vya kidijitali
Kapu maneno
Kueleza maana ya kivumishi Kutambua vivumishi katika kundi la maneno Kutumia vivumishi kujaza nafasi katika sentensi Kutunga sentensi kwa kutumia vivumishi Kuandika aya fupi akitumia vivumishi
4 1
Sarufi
Vivumishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
- Kueleza maana ya kivumishi ili kukitofautisha na aina nyingine za maneno.
- Kutambua vivumishi katika kundi la maneno na sentensi.
- Kutumia vivumishi ipasavyo katika sentensi.
- Kuonea fahari matumizi ya vivumishi katika sentensi.
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kupigia mstari vivumishi katika sentensi alizonakili.
- Kujaza nafasi katika sentensi kwa kutumia vivumishi vifaavyo.
- Kujaza nafasi katika kifungu kwa kutumia vivumishi alivyopewa.
- Kupanga maneno kwenye jedwali: Nomino, Vivumishi na Vitenzi.
- Kuwasomea au kuwasambazia wenzake kazi yake ili kuitolea maoni kwa heshima na upendo.
- Kutumia kifaa cha kidijitali kuandika aya fupi akitumia vivumishi mbalimbali.
Je, vivumishi husaidia vipi katika kuwasilisha mawazo kwa ufasaha?
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 21
Vifaa vya kidijitali
Jedwali la kupanga maneno
Kupigia mstari vivumishi katika sentensi Kujaza nafasi kwa kutumia vivumishi Kupanga maneno katika jedwali: Nomino, Vivumishi na Vitenzi Kuandika aya fupi akitumia vivumishi Kuwasilisha na kutathmini kazi
4 2
Sarufi
Vivumishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
- Kueleza maana ya kivumishi ili kukitofautisha na aina nyingine za maneno.
- Kutambua vivumishi katika kundi la maneno na sentensi.
- Kutumia vivumishi ipasavyo katika sentensi.
- Kuonea fahari matumizi ya vivumishi katika sentensi.
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kupigia mstari vivumishi katika sentensi alizonakili.
- Kujaza nafasi katika sentensi kwa kutumia vivumishi vifaavyo.
- Kujaza nafasi katika kifungu kwa kutumia vivumishi alivyopewa.
- Kupanga maneno kwenye jedwali: Nomino, Vivumishi na Vitenzi.
- Kuwasomea au kuwasambazia wenzake kazi yake ili kuitolea maoni kwa heshima na upendo.
- Kutumia kifaa cha kidijitali kuandika aya fupi akitumia vivumishi mbalimbali.
Je, vivumishi husaidia vipi katika kuwasilisha mawazo kwa ufasaha?
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 21
Vifaa vya kidijitali
Jedwali la kupanga maneno
Kupigia mstari vivumishi katika sentensi Kujaza nafasi kwa kutumia vivumishi Kupanga maneno katika jedwali: Nomino, Vivumishi na Vitenzi Kuandika aya fupi akitumia vivumishi Kuwasilisha na kutathmini kazi
4 3
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza
Kuandika Insha ya Wasifu
Maamkuzi na Maagano
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
- Kutambua insha ya wasifu kwa kuzingatia muundo.
- Kuandika insha ya wasifu kwa kuzingatia ujumbe, mtindo na muundo ufaao.
- Kutumia msamiati wa nyumbani katika insha yake.
- Kuchangamkia utunzi mzuri wa insha ya wasifu ili kujenga ubunifu wake.
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kukamilisha kuandika insha ya wasifu aliyoanza kuandika.
- Kuwasomea wenzake insha yake ili waitathmini.
- Kufanya marekebisho ya insha yake kulingana na maoni ya wenzake.
- Kuandika insha ya wasifu mtandaoni na kuisambaza kwa wenzake na mwalimu ili waisome na kuitathmini.
- Kujadiliana na wenzake kuhusu namna ya kuboresha insha yake zaidi.
Ni kwa vipi unaweza kuboresha insha yako ya wasifu?
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 12
Vifaa vya kidijitali
Orodha hakiki ya vigezo vya insha nzuri
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 24
Chati ya maamkuzi
Kapu maneno
Kadi za maamkuzi
Kuandika insha ya wasifu iliyokamilika Kusoma insha ya wasifu kwa ufasaha Kutathmini insha ya wasifu Kurekebisha insha ya wasifu kulingana na maoni
4 4
NIDHAMU MEZANI

Kusoma
Matumizi ya Kamusi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
- Kueleza maana ya kamusi ili kuitofautisha na vitabu vingine.
- Kutumia kamusi ipasavyo kutafuta maana za maneno asiyoyajua ili kukuza msamiati wake.
- Kuchangamkia umuhimu wa kamusi katika kukuza msamiati wake.
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kujadiliana na wenzake kuhusu maana na matumizi ya kamusi.
- Kujadiliana na wenzake kuhusu mpangilio wa maneno katika kamusi.
- Kutumia kamusi kutafuta maana za maneno mbalimbali akiwa na wenzake.
- Kutumia mtandao kusikiliza na kusoma maelezo kuhusu msamiati anaotafutia maana.
- Kutambua tofauti kati ya matini ya kawaida na matini ya kamusi.
Unazingatia nini unapotafuta maneno katika kamusi?
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 29
Kamusi
Vifaa vya kidijitali
Matini tofauti
Kueleza maana ya kamusi Kutumia kamusi kutafuta maana za maneno mbalimbali Kupanga maneno kufuata mpangilio wa kamusi Kufanya tathmini ya kutumia kamusi
5 1
Sarufi
Viwakilishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
- Kueleza maana ya kiwakilishi ili kukibainisha.
- Kutambua viwakilishi katika kundi la maneno na sentensi.
- Kutumia viwakilishi ipasavyo katika sentensi.
- Kuonea fahari matumizi ya viwakilishi katika mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kushirikiana na wenzake kueleza maana ya viwakilishi.
- Kutambua viwakilishi katika kundi la maneno aliyopewa.
- Kuchagua viwakilishi kwenye tarakilishi, kuviburura na kuvitia kapuni akiwa na wenzake.
- Kujaza nafasi katika sentensi kwa kutumia viwakilishi mwafaka.
- Kutumia viwakilishi kutunga sentensi daftarini au mtandaoni kwa kuzingatia suala lengwa.
Ni maneno gani yanayoweza kutumika badala ya nomino?
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 35
Kapu maneno
Vifaa vya kidijitali
Kadi za viwakilishi
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 36
Mifano ya sentensi zenye viwakilishi
Kueleza maana ya kiwakilishi Kutambua viwakilishi katika maneno Kujaza nafasi katika sentensi kwa kutumia viwakilishi Kutunga sentensi kwa kutumia viwakilishi Kufanya tathmini ya wanafunzi wenyewe
5 2
Kuandika
Insha ya Masimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
- Kutambua insha ya masimulizi kwa kuzingatia muundo.
- Kuandika insha ya masimulizi kwa kufuata kanuni zifaazo.
- Kuchangamkia utunzi mzuri wa insha ya masimulizi ili kujenga ubunifu wake.
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua insha ya masimulizi kwa kurejelea vielelezo vya insha zilizoandikwa kwenye matini mbalimbali au tarakilishi.
- Kujadili na wenzake vipengele vya insha ya masimulizi.
- Kubainisha insha ya masimulizi kutoka kwa vielelezo mbalimbali vya insha.
- Kusoma kielelezo cha insha ya masimulizi.
- Kujadili na wenzake vipengele vya uandishi wa insha ya masimulizi.
Insha ya masimulizi inahusu nini?
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 32
Vielelezo vya insha
Chati
Vifaa vya kidijitali
Kutambua insha ya masimulizi Kutofautisha insha ya masimulizi na insha nyingine Kueleza vipengele vya insha ya masimulizi Kujadili sifa za insha ya masimulizi
5 3
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Maamkuzi na Maagano
Matumizi ya Kamusi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
- Kutambua aina mbalimbali za maamkuzi na maagano katika mawasiliano.
- Kueleza maamkuzi na maagano yanayotumika katika miktadha mbalimbali.
- Kutumia aina mbalimbali za maamkuzi na maagano katika mawasiliano.
- Kuchangamkia maamkuzi na maagano katika mahusiano.
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua maagano (k.v. Kwaheri, Usiku mwema, Safari njema) kutoka kwenye chati au vifaa vya kidijitali.
- Kujaza jedwali la maamkuzi, majibu yake na wakati zitumiwapo.
- Kujadiliana na wenzake kuhusu maagano yanayotumiwa katika jamii yao.
- Kushiriki katika mchezo wa kuambatanisha maamkuzi na maagano na majibu yake.
- Kushiriki katika kuigiza mazungumzo yanayojumuisha maamkuzi na maagano.
- Kujadiliana na mzazi au mlezi kuhusu maamkuzi na maagano yanayotumiwa katika jamii yao.
Kuamkua na kuaga watu kuna umuhimu gani?
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 26
Chati za maagano
Jedwali la maamkuzi na maagano
Vifaa vya kidijitali
Picha
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 31
Kamusi
Kifungu cha hadithi
Kutaja maamkuzi na maagano yanayofaa katika miktadha mbalimbali Kuambatanisha maamkuzi na maagano na majibu yake Kuigiza mazungumzo yanayojumuisha maamkuzi na maagano Kujaza jedwali la maamkuzi na maagano
5 4
Sarufi
Vielezi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
- Kueleza maana ya kielezi ili kukibainisha.
- Kutambua vielezi katika kundi la maneno na sentensi.
- Kutumia vielezi ipasavyo katika mawasiliano.
- Kuonea fahari matumizi ya vielezi katika sentensi.
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kushirikiana na wenzake kueleza maana ya vielezi (k.v. polepole, haraka, sana, vizuri, kisheria, jana, shuleni, uwanjani).
- Kutambua vielezi katika kundi la maneno aliyopewa katika kadi za maneno, chati, mti maneno, ubao, vifaa vya kidijitali n.k.
- Kuchagua vielezi kutoka kwenye kundi la maneno kwa kutumia tarakilishi kwa kuviburura na kuvitia kapuni akiwa na wenzake.
- Kuigiza vielezi mbalimbali panapofaa akishirikiana na wenzake.
Unafanyaje shughuli zako za kila siku?
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 37
Kadi za maneno
Mti maneno
Vifaa vya kidijitali
Kapu maneno
Kueleza maana ya kielezi Kutambua vielezi katika kundi la maneno Kuchagua vielezi kutoka kwenye kundi la maneno Kuigiza vielezi mbalimbali
6 1
Sarufi
Vielezi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
- Kueleza maana ya kielezi ili kukibainisha.
- Kutambua vielezi katika kundi la maneno na sentensi.
- Kutumia vielezi ipasavyo katika mawasiliano.
- Kuonea fahari matumizi ya vielezi katika sentensi.
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutumia vielezi mwafaka kujaza nafasi katika sentensi.
- Kutumia vielezi kutunga sentensi daftarini au kwenye kifaa cha kidijitali akizingatia suala lengwa na masuala mtambuko mbalimbali.
- Kuwasomea au kuwasambazia wenzake na mwalimu sentensi zake ili kuzitolea maoni.
- Kutumia vielezi kueleza jinsi ya kuonyesha nidhamu mezani.
Ni vielezi vipi vinaweza kutumika kuelezea tabia nzuri mezani?
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 38
Chati ya vielezi
Vifaa vya kidijitali
Kujaza nafasi kwa kutumia vielezi Kutunga sentensi kwa kutumia vielezi Kutumia vielezi kuelezea nidhamu mezani Kushirikishana maoni kuhusu matumizi ya vielezi Kufanya tathmini ya kazi za wanafunzi
6 2
Kuandika
Insha ya Masimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
- Kutambua insha ya masimulizi kwa kuzingatia muundo.
- Kuandika insha ya masimulizi kwa kufuata kanuni zifaazo.
- Kuchangamkia utunzi mzuri wa insha ya masimulizi ili kujenga ubunifu wake.
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kuandaa vidokezo vitakavyomwongoza kuandika insha yake.
- Kuandika insha inayosimulia kisa kinachohusu nidhamu mezani kwa kuzingatia anwani, mpangilio mzuri wa mawazo, hati safi, tahajia, kanuni za kisarufi, uakifishaji mwafaka na kwa lugha ya kiubunifu.
- Kushiriki na wenzake kujadili mada ya insha na muundo wa insha ya masimulizi.
- Kuwasomea wenzake insha aliyoandika ili waitathmini.
Je, unazingatia nini ili kuandika insha nzuri ya masimulizi?
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 33
Vifaa vya kidijitali
Vidokezo vya insha
Picha kuhusu nidhamu mezani
Kuandaa vidokezo vya insha ya masimulizi Kuandika insha ya masimulizi Kuwasilisha insha kwa kuzingatia ujumbe na muundo wake Kutathmini insha za wanafunzi Kufanya marekebisho ya insha kulingana na maoni ya wenzake
6 3
MAVAZI

Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Matamshi Bora: Vitendawili
Kusoma kwa Ufasaha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
- Kutambua vitendawili kwenye matini mbalimbali.
- Kutega na kutegua vitendawili ili kujenga matamshi bora.
- Kuchangamkia matumizi ya vitendawili katika mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutafiti maana ya kitendawili kwenye kamusi, vitabuni au mtandaoni akiwa na wenzake.
- Kutambua vitendawili katika chati, ubao au katika vifaa vya kidijitali.
- Kusikiliza vitendawili vikitegwa na kuteguliwa kupitia vyombo vya kidijitali.
- Kushiriki katika kutega na kutegua vitendawili akiwa na wenzake.
- Kuunda vitendawili vyepesi kuhusu mavazi.
Je, unazingatia nini unapotega na kutegua vitendawili?
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 41
Orodha ya vitendawili
Vifaa vya kidijitali
Kamusi
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 43
Kifungu cha hadithi kuhusu mavazi
Kutega vitendawili Kutegua vitendawili Kutoa majibu sahihi ya vitendawili Kuunda vitendawili vyepesi Kufanya tathmini ya vitendawili vilivyotegwa
6 4
Sarufi
Viunganishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
- Kueleza maana ya kiunganishi ili kukibainisha.
- Kutambua viunganishi katika kundi la maneno na sentensi.
- Kutumia viunganishi kwa njia sahihi katika mawasiliano.
- Kuonea fahari matumizi ya viunganishi katika mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kushirikiana na wenzake kueleza maana ya viunganishi.
- Kutambua viunganishi katika kundi la maneno aliyopewa (k.v. na, pia, kwa sababu, lakini).
- Kutafiti vitabuni au mtandaoni ili kutoa mifano mbalimbali ya viunganishi.
- Kutumia viunganishi kujaza nafasi katika sentensi.
- Kutumia viunganishi kutunga sentensi daftarini au mtandaoni kwa kuzingatia suala lengwa na masuala mtambuko mbalimbali.
Je, kwa nini ni muhimu kutumia viunganishi katika mawasiliano?
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 48
Kapu maneno
Vifaa vya kidijitali
Kadi maneno
Kueleza maana ya kiunganishi Kutambua viunganishi katika kundi la maneno Kutumia viunganishi kujaza nafasi katika sentensi Kutunga sentensi kwa kutumia viunganishi
7 1
Sarufi
Kuandika
Vihusishi
Kuandika kwa kutumia tarakilishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
- Kueleza maana ya kihusishi ili kukibainisha.
- Kutambua vihusishi katika kundi la maneno na sentensi.
- Kutumia vihusishi ipasavyo katika sentensi.
- Kuonea fahari matumizi ya vihusishi katika mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kushirikiana na wenzake kueleza maana ya vihusishi na kuvitolea mifano (k.m. karibu na, mbali na, juu ya, chini ya, nje ya na ndani ya).
- Kutambua vihusishi katika kundi la maneno aliyopewa.
- Kuchagua vihusishi kwenye kundi la maneno katika tarakilishi, kuviburura na kuvitia kapuni akiwa peke yake au kwenye vikundi.
- Kutumia vihusishi kutunga sentensi daftarini au mtandaoni kwa kuzingatia suala lengwa na masuala mtambuko mbalimbali.
Vihusishi vina umuhimu gani katika mawasiliano?
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 50
Kapu maneno
Vifaa vya kidijitali
Chati ya vihusishi
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 45
Tarakilishi
Kipakatalishi
Picha za sehemu za tarakilishi
Kueleza maana ya kihusishi Kutambua vihusishi katika kundi la maneno Kutumia vihusishi kutunga sentensi Kujaza nafasi kwa kutumia vihusishi Tathmini ya matumizi ya vihusishi
7 2
Kusikiliza na Kuzungumza
Matamshi Bora: Vitendawili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
- Kutambua vitendawili kwenye matini mbalimbali.
- Kutega na kutegua vitendawili ili kujenga matamshi bora.
- Kuchangamkia matumizi ya vitendawili katika mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutaja majina ya vitu kwenye picha na kuviambatanisha na vitendawili vinavyovielezea.
- Kushiriki katika mchezo wa kutega na kutegua vitendawili mbalimbali.
- Kujadiliana na mzazi au mlezi wake kuhusu vitendawili vinavyotegwa katika jamii yao.
- Kuwasilisha vitendawili walivyojadili.
- Kutega na kutegua vitendawili mbalimbali akiwa na wenzake.
Vitendawili vina manufaa gani katika jamii?
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 42
Picha
Orodha ya vitendawili
Vifaa vya kidijitali
Kutega vitendawili Kutegua vitendawili Kutunga vitendawili vipya Kutathmini vitendawili vilivyotegwa Kuthamini matumizi ya vitendawili katika jamii
7 3
Kusoma
Sarufi
Kusoma kwa Ufasaha
Vihisishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
- Kujadili vipengele vya kuzingatia katika kusoma kwa ufasaha.
- Kusoma kifungu cha hadithi kwa kuzingatia matamshi bora.
- Kusoma kifungu cha hadithi kwa kuzingatia kiwango kifaacho cha sauti.
- Kusoma kifungu cha hadithi kwa kuzingatia kasi ifaayo.
- Kusoma kifungu cha hadithi kwa kuambatanisha ishara zifaazo.
- Kuchangamkia kusoma kwa ufasaha ili kufanikisha mawasiliano.
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kusoma kifungu cha hadithi kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia kiwango kifaacho cha sauti.
- Kusoma kifungu cha hadithi kuhusu suala lengwa kwa kuzingatia kasi ifaayo (maneno yasiyopungua 70 kwa dakika).
- Kusoma kifungu kwa kuambatanisha ishara zifaazo panapofaa anaposoma.
- Kusoma hadithi kuhusu masuala mtambuko mbalimbali kutoka kwenye vitabu, vifaa vya kidijtali, nk akizingatia matamshi bora, kasi ifaayo na kiwango kifaacho cha sauti.
Kusoma kwa ufasaha kuna umuhimu gani?
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 44
Kadi za kuhesabia maneno
Vifaa vya kidijitali
Hadithi mbalimbali
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 53
Kapu maneno
Kadi maneno
Kusoma kifungu kwa ufasaha Kusoma maneno yasiyopungua 70 kwa dakika Kutumia ishara za mwili zifaazo wakati wa kusoma Kufanya tathmini ya usomaji wa wanafunzi wengine
7 4
Sarufi
Vihisishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
- Kueleza maana ya kihisishi ili kukibainisha.
- Kutambua vihisishi katika kundi la maneno na sentensi.
- Kutumia vihisishi ipasavyo katika sentensi.
- Kuonea fahari matumizi ya vihisishi katika miktadha mbalimbali.
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutumia vihisishi kutunga kifungu kifupi daftarini au mtandaoni ili wenzake wakisome na kukitathmini.
- Kutumia vihisishi katika kuonyesha hisia mbalimbali kama kushukuru, kufurahi, kushangaa, kushtuka na huruma.
- Kutunga sentensi akitumia vihisishi kukaribisha watu wanaotembelea nyumbani kwao.
- Kutunga kifungu kifupi kuhusu mavazi akitumia vihisishi alivyojifunza.
Ni vihisishi vipi hutumika kuonyesha hisia mbalimbali?
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 54
Vifaa vya kidijitali
Kifungu chenye vihisishi
Kutumia vihisishi kuonyesha hisia mbalimbali Kutunga sentensi kwa kutumia vihisishi Kutunga kifungu kifupi akitumia vihisishi Kutathmini matumizi ya vihisishi katika maandishi ya wenzake
8 1
Kuandika
Kuandika kwa kutumia tarakilishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Mwisho wa funzo,
- Kutambua sehemu mbalimbali za tarakilishi zinazotumika kupigia chapa.
- Kufungua na kufunga tarakilishi ili kuandika kazi na kuihifadhi.
- Kuandika mada lengwa kwa kutumia tarakilishi.
- Kuhariri kazi yake kwa kuzingatia uakifishaji ufaao.
- Kuhifadhi kazi aliyoiandika kwenye tarakilishi.
- Kujenga mazoea ya kuandika kwa kutumia tarakilishi na kuhifadhi kazi yake ya maandishi.
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutumia mtandao kusambaza kazi aliyoandika ili wenzake na mwalimu waitathmini.
- Kuhifadhi kazi yake kwenye faili ya tarakilishi.
- Kuwasambazie wenzake na mwalimu kazi aliyoiandika ili waisome na kuitathmini.
- Kuandika kifungu cha aya moja kuhusu 'Vazi ninalopendelea' akitumia tarakilishi.
- Kusoma kifungu chake ili kukisahihisha.
Tarakilishi inaweza kutumiwa vipi kufanikisha mawasiliano?
Oxford Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Darasa la 4 uk. 46
Tarakilishi
Kielelezo cha kuandika kifungu kwenye tarakilishi
Kuandika kifungu kwa kutumia tarakilishi Kuhifadhi kazi kwenye tarakilishi Kusambaza kazi iliyoandikwa kwa njia ya kidijitali Kufanya tathmini ya kazi iliyoandikwa
8 2
DIRA

Kusikiliza na Kuzungumza
Maneno ya Upole
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- Kutambua maneno ya upole yanayotumiwa katika mawasiliano
- Kutumia maneno ya upole katika mawasiliano
- Kuthamini matumizi ya maneno ya upole katika mawasiliano
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua na kueleza maana ya maneno ya upole (k.m. kwenda msalani, kwenda haja kubwa, kwenda haja ndogo, kuendesha na kujifungua) katika chati, mti maneno, kapu maneno, ubao, vyombo vya kidijitali
- Kushiriki katika kujadili maneno ya upole akiwa na wenzake
- Kutazama maigizo kuhusu matumizi ya maneno ya upole katika video na mitandaoni
Kutumia maneno ya upole kuna umuhimu gani katika mawasiliano?
Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 56
Chati maneno
Kapu maneno
Mti maneno
Vifaa vya kidijitali
Kutambua maneno ya upole Kutunga sentensi kwa kutumia maneno ya upole Kuigiza mazungumzo yanayojumuisha maneno ya upole
8 3
Kusoma
Sarufi
Kusoma kwa Mapana
Ngeli ya A-WA
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- Kutambua na kuzingatia hatua za kiusalama katika matumizi ya vifaa vya kidijitali
- Kutambua na kufungua faili iliyo na kifungu cha kusoma
- Kutambua na kuzingatia hatua za kiusalama katika matumizi ya vifaa vya kidijitali
- Kusakura matini kwenye tovuti salama ili kupata vifungu vya kusoma vyenye mada lengwa
- Kuchangamkia matumizi ya vifaa vya kidijitali katika kutafuta na kusoma ujumbe ili kuimarisha maarifa yake
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua na kuzingatia hatua za kiusalama (k.m. kutowasiliana na watu asiowajua, kuwajibika anaposakura tovuti mbalimbali) kutoka kwenye chati au kwenye tarakilishi na mitandao
- Kutambua jina la faili lengwa kwenye tarakilishi na kufanya mazoezi ya kufungua na kufunga
- Kutambua mitandao salama yenye matini inayoafiki kiwango na mahitaji yake
Ni hatua zipi za kiusalama unazofaa kuzingatia unapotumia mtandao?
Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 60
Tarakilishi/vipakatalishi
Projekta
Chati za hatua za usalama mtandaoni
Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 66
Picha za viumbe
Kadi za sentensi
Mti maneno
Vifaa vya kidijitali
Kutambua hatua za kiusalama za kuzingatia wakati wa kutumia mtandao Kufungua na kufunga faili ipasavyo Kusakura tovuti salama
8 4
Sarufi
Ngeli ya A-WA
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- Kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi wa ngeli ya A-WA
- Kutambua nomino katika ngeli ya A-WA ili kuzitofautisha na nomino katika ngeli nyingine
- Kuunda sentensi akitumia nomino za ngeli ya A-WA katika umoja na wingi akizingatia upatanisho wa kisarufi
- Kuchangamkia kutumia nomino za ngeli ya A-WA katika mawasiliano
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kushiriki katika mchezo wa kuchopoa kadi za sentensi zenye nomino za ngeli ya A-WA kutoka kwenye kikapu au boksi na kisha kuzisoma
- Kutambua nomino za ngeli ya A-WA katika umoja na wingi katika matini
- Kujaza nafasi katika sentensi kwa kutumia viambishi vya umoja na wingi wa nomino katika ngeli ya A-WA
Unatumia viambishi gani kuonyesha upatanisho wa kisarufi katika ngeli ya A-WA?
Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 68
Kadi za sentensi
Kikapu/boksi
Orodha ya nomino za ngeli ya A-WA
Tarakilishi/vipakatalishi
Kutumia viambishi vya upatanisho wa kisarufi vya ngeli ya A-WA Jaza pengo kwa kutumia kiambishi sahihi cha ngeli ya A-WA Kuunda sentensi sahihi kwa kutumia viambishi vya ngeli ya A-WA
9

MIDTERM

10 1
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza
Kuandika Barua ya Kirafiki
Maneno ya Upole
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- Kutambua barua ya kirafiki kwa kuzingatia muundo wake
- Kujadili umuhimu wa barua ya kirafiki katika mawasiliano
- Kuandika barua ya kirafiki inayozingatia mada kwa kufuata kanuni zifaazo
- Kuchangamkia utunzi wa barua ya kirafiki katika mawasiliano
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua barua ya kirafiki kwa kurejelea vielelezo vya barua za kirafiki zilizoandikwa kwenye matini mbalimbali au tarakilishi
- Kujadiliana na wenzake kuhusu umuhimu wa barua za kirafiki katika mawasiliano
- Kujadili na wenzake mada ya barua ya kirafiki na vipengele vyake/yale yanayofaa kujumuishwa
Je, unazingatia nini ili kuandika barua nzuri ya kirafiki?
Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 63
Vielelezo vya barua za kirafiki
Chati kuhusu muundo wa barua
Tarakilishi/vipakatalishi
Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 57
Video za maigizo
Kadi za maneno
Picha
Kutambua vipengele vya barua ya kirafiki Kufafanua muundo wa barua ya kirafiki Kutaja umuhimu wa barua ya kirafiki katika mawasiliano
10 2
Kusoma
Kusoma kwa Mapana
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- Kutambua na kuzingatia hatua za kiusalama katika matumizi ya vifaa vya kidijitali
- Kutambua na kufungua faili iliyo na kifungu cha kusoma
- Kusakura matini kwenye tovuti salama ili kupata vifungu vya kusoma vyenye mada lengwa
- Kusoma matini lengwa ili kupata ujumbe
- Kuchangamkia matumizi ya vifaa vya kidijitali katika kutafuta na kusoma ujumbe ili kuimarisha maarifa yake
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua umuhimu wa kutoa habari kwa mwalimu, mzazi au mlezi wake endapo atapata ujumbe kutoka kwa watu asiowajua mtandaoni na kutowasiliana nao
- Kutafuta maana za maneno kuhusu mada lengwa (k.m. kaskazini, kusini, magharibi, mashariki, kaskazini mashariki, kaskazini magharibi, kusini mashariki na kusini magharibi) kwenye kamusi au mtandaoni
- Kusikiliza matamshi na maelezo kuhusu anachokisoma mtandaoni panapowezekana
- Kutoa habari kuhusu matini aliyosoma kwa muhtasari na kujibu maswali katika maandishi au mazungumzo na wenzake
Ni nini unazingatia unaposoma matini ya kidijitali?
Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 62
Kamusi
Tarakilishi/vipakatalishi
Tovuti salama zenye matini za kusoma
Kusoma matini ya kidijitali Kutoa muhtasari wa matini iliyosomwa Kujibu maswali ya ufahamu Kutambua msamiati mpya
10 3
Sarufi
Ngeli ya A-WA
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- Kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi wa ngeli ya A-WA
- Kutambua nomino katika ngeli ya A-WA ili kuzitofautisha na nomino katika ngeli nyingine
- Kuunda sentensi akitumia nomino za ngeli ya A-WA katika umoja na wingi akizingatia upatanisho wa kisarufi
- Kuchangamkia kutumia nomino za ngeli ya A-WA katika mawasiliano
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kuunda sentensi sahihi daftarini au kwenye kifaa cha kidijitali akitumia nomino za ngeli ya A-WA katika umoja na wingi akizingatia upatanisho wa kisarufi
- Kuwasomea au kuwazambazia wenzake na mwalimu sentensi alizozitunga ili kuzitathmini
Ni kwa nini ni muhimu kuzingatia upatanisho wa kisarufi wa nomino za ngeli ya A-WA?
Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 69
Tarakilishi/vipakatalishi
Daftari
Kalamu/penseli
Kutunga sentensi zenye nomino za ngeli ya A-WA Kuzingatia upatanisho wa kisarufi katika sentensi Kufanyiana tathmini ya sentensi zilizotungwa
10 4
Sarufi
Ngeli ya A-WA
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- Kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi wa ngeli ya A-WA
- Kutambua nomino katika ngeli ya A-WA ili kuzitofautisha na nomino katika ngeli nyingine
- Kuunda sentensi akitumia nomino za ngeli ya A-WA katika umoja na wingi akizingatia upatanisho wa kisarufi
- Kuchangamkia kutumia nomino za ngeli ya A-WA katika mawasiliano
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua nomino za ngeli ya A-WA katika mazingira yake
- Kutunga sentensi katika umoja na wingi akitumia nomino za ngeli ya A-WA
- Kutathmini sentensi zilizotungwa kwa kuzingatia upatanisho sahihi wa kisarufi
Nomino zipi katika mazingira yetu zimo katika ngeli ya A-WA?
Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 70
Picha za viumbe vya ngeli ya A-WA
Kadi za nomino
Vifaa vya kidijitali
Kutambua nomino za ngeli ya A-WA katika mazingira Geuza sentensi kutoka umoja hadi wingi na kinyume chake Kutunga hadithi fupi ukitumia nomino za ngeli ya A-WA
11 1
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza
Kuandika Barua ya Kirafiki
Methali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- Kutambua barua ya kirafiki kwa kuzingatia muundo wake
- Kujadili umuhimu wa barua ya kirafiki katika mawasiliano
- Kuandika barua ya kirafiki inayozingatia mada kwa kufuata kanuni zifaazo
- Kuchangamkia utunzi wa barua ya kirafiki katika mawasiliano
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kuandaa vidokezo vitakavyomwongoza kuandika insha yake
- Kuandika barua ya kirafiki kwa rafiki, ndugu, mzazi, n.k. kwa kuzingatia anwani, mpangilio mzuri wa mawazo, hati safi, tahajia, kanuni za kisarufi, uakifishaji mwafaka na kwa lugha ya kiubunifu
- Kuwasomea wenzake barua yake ili waitathmini
Barua za kirafiki zinashughulikia masuala gani?
Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 65
Kielelezo cha barua ya kirafiki
Karatasi
Kalamu na penseli
Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 71
Chati zenye methali
Vifaa vya kidijitali
Orodha ya methali
Kuandika barua ya kirafiki Kuzingatia muundo ufaao wa barua ya kirafiki Kusahihisha barua ya kirafiki
11 2
USHAURI-NASAHA

Kusoma
Kusoma kwa Ufahamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- Kueleza maana ya shairi, ubeti na mshororo ili kuvibainisha
- Kusoma shairi kwa ufasaha kwa kuzingatia ujumbe
- Kutambua beti na mishororo katika shairi
- Kutambua shairi kutokana na umbo lake
- Kufurahia kutumia lugha ya ushairi anapozungumzia ushairi
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua shairi, beti na mishororo katika matini mbalimbali kama vile vitabu, chati na vilevile kwa kutumia tarakilishi
- Kushiriki katika majadiliano kuhusu maana za shairi, ubeti na mishororo
- Kusoma akizingatia msamiati wa mada lengwa
Unaufahamu msamiati gani wa ushairi?
Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 74
Matini za mashairi
Chati za maana ya sifa za ushairi
Vifaa vya kidijitali
Kutambua sifa za shairi Kutambua shairi kutokana na umbo lake Kutambua beti na mishororo katika shairi
11 3
Sarufi
Ngeli ya U-I
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- Kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi wa ngeli ya U-I
- Kutambua nomino katika ngeli ya U-I ili kuzitofautisha na nomino katika ngeli nyingine
- Kuunda sentensi akitumia nomino za ngeli ya U-I katika umoja na wingi akizingatia upatanisho wa kisarufi
- Kuchangamkia kutumia nomino za ngeli ya U-I katika mawasiliano
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kusoma sentensi zilizoundwa kutokana na nomino za ngeli ya U-I katika umoja na wingi
- Kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi wa ngeli ya U-I kwenye sentensi alizosoma
- Kushiriki katika mchezo wa kuchopoa kadi za sentensi zenye nomino za ngeli ya U-I kutoka kwenye kikapu au boksi na kisha kuzisoma
Unazingatia nini ili kuweza kutambua nomino katika ngeli ya U-I?
Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 80
Picha za nomino za ngeli ya U-I
Kadi za sentensi
Kikapu/boksi
Vifaa vya kidijitali
Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 82
Kadi za nomino za ngeli ya U-I
Mti maneno
Kapu maneno
Kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi wa ngeli ya U-I Kupigia mstari nomino za ngeli ya U-I katika kifungu Kutofautisha kati ya nomino za ngeli ya U-I na za ngeli nyingine
11 4
Kuandika
Insha ya Maelezo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- Kutambua insha ya maelezo katika matini
- Kuandika insha ya maelezo kwa kufuata kanuni zifaazo
- Kuchangamkia utunzi mzuri wa insha ya maelezo ili kukuza ubunifu
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutambua vifungu vya maelezo vilivyoandikwa kwenye matini mbalimbali au tarakilishi
- Kushiriki na wenzake kujadili mada ya insha na muundo wa insha ya maelezo
- Kuandaa vidokezo vitakavyomwongoza kuandika insha yake
Insha ya maelezo inahusu nini?
Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 78
Vielelezo vya insha ya maelezo
Kielelezo cha muundo wa insha ya maelezo
Vifaa vya kidijitali
Kutambua insha ya maelezo Kutambua muundo wa insha ya maelezo Kufafanua ujumbe wa insha ya maelezo
12 1
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Methali
Kusoma kwa Ufahamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- Kutambua methali zinazohusu malezi katika matini tofauti-tofauti
- Kueleza maana za methali kuhusu malezi
- Kutumia methali zinazohusu malezi katika mawasiliano
- Kuchangamkia matumizi ya methali katika miktadha mbalimbali
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutumia methali kuhusu malezi katika kifungu kifupi na masimulizi akiwa na wenzake
- Kushirikiana na mzazi au mlezi wake kutambua methali kuhusu malezi katika jamii yao
Methali hutumiwa kufanya nini?
Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 72
Video zenye methali
Kadi za methali
Maigizo
Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 76
Nakala ya shairi
Tarakilishi/vipakatalishi
Rununu
Projekta
Kutumia methali katika masimulizi Kutega na kutegua methali Kueleza maana za methali
12 2
Sarufi
Ngeli ya U-I
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- Kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi wa ngeli ya U-I
- Kutambua nomino katika ngeli ya U-I ili kuzitofautisha na nomino katika ngeli nyingine
- Kuunda sentensi akitumia nomino za ngeli ya U-I katika umoja na wingi akizingatia upatanisho wa kisarufi
- Kuchangamkia kutumia nomino za ngeli ya U-I katika mawasiliano
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kuunda sentensi sahihi daftarini au kwenye kifaa cha kidijitali akitumia nomino za ngeli ya U-I katika umoja na wingi akizingatia upatanisho wa kisarufi
- Kuwasomea au kuwazambazia wenzake na mwalimu sentensi alizozitunga ili kuzitathmini
Nomino zinazorejelea mimea na vitu vya kimaumbile ni zipi?
Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 83
Tarakilishi/vipakatalishi
Daftari
Kalamu/penseli
Orodha ya nomino za ngeli ya U-I
Kutunga sentensi zenye nomino za ngeli ya U-I Kugeuza sentensi kutoka umoja hadi wingi na kinyume chake Kufanyiana tathmini
12 3
Sarufi
Ngeli ya U-I
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- Kutambua viambishi vya upatanisho wa kisarufi wa ngeli ya U-I
- Kutambua nomino katika ngeli ya U-I ili kuzitofautisha na nomino katika ngeli nyingine
- Kuunda sentensi akitumia nomino za ngeli ya U-I katika umoja na wingi akizingatia upatanisho wa kisarufi
- Kuchangamkia kutumia nomino za ngeli ya U-I katika mawasiliano
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kutunga sentensi mbalimbali akitumia nomino za ngeli ya U-I kutoka kwa mazingira yake
- Kuwasomea wenzake sentensi alizozitunga ili wazitathimini
- Kutunga kifungu kifupi akitumia nomino za ngeli ya U-I
Kwa nini ni muhimu kuzingatia upatanisho wa kisarufi unaofaa wa ngeli ya U-I?
Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 83
Picha za nomino za ngeli ya U-I
Orodha ya nomino za ngeli ya U-I
Vifaa vya kidijitali
Kutunga sentensi sahihi akitumia nomino za ngeli ya U-I Kutunga kifungu kifupi akitumia nomino za ngeli ya U-I Kufanyiana tathmini
12 4
Kuandika
Insha ya Maelezo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

- Kutambua insha ya maelezo katika matini
- Kuandika insha ya maelezo kwa kufuata kanuni zifaazo
- Kuchangamkia utunzi mzuri wa insha ya maelezo ili kukuza ubunifu
Mwanafunzi aelekezwe:
- Kuandika insha ya maelezo akizingatia mada lengwa (ushauri-nasaha) akitumia vivumishi na vielezi vifaavyo kutoa picha dhahiri kuhusu anachokielezea
- Kuandika insha ya maelezo akizingatia anwani, mpangilio mzuri wa mawazo, hati safi, tahajia, kanuni za kisarufi, uakifishaji mwafaka na kwa lugha ya kiubunifu
Je, unazingatia nini unapoandika insha ya maelezo?
Kiswahili Dadisi Gredi 4 uk. 79
Kielelezo cha insha ya maelezo
Karatasi
Kalamu/penseli
Tarakilishi/vipakatalishi
Kuandika insha ya maelezo Kuzingatia muundo ufaao wa insha ya maelezo Kujitathimini na kufanya marekebisho

Your Name Comes Here


Download

Feedback