If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | MBINU | VIFAA | ASILIA | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
1 |
KUFUNGUA SHULE NA KUDURUSU MTIHANI WA MUHULA 2 |
|||||||
2 | 1 |
Sarufi
Kusikiliza na kuzungumza |
Sentensi ya kiswahili
Ushairi simulizi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutaja na kujadili aina tofauti ya sentensi. Kutoa mifano ya aina mbali mbali ya sentensi. Kutunga sentensi tofauti kotaka kwa maneno waliyopewa. Kujibu maswali kuhusu aina ya sentensi |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk209-211) |
|
2 | 2 |
Kusoma kwa ufahamu
|
Taarifa
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma tarifa kwenye kitabu cha mwanafunzi Kueleza mtiririko wa matukio katika kisa hicho. Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema. Kujibu maswali kuhusu ufahamu ipasavyo. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 214-215) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
2 | 3 |
Sarufi
Kusoma kwa mapana |
Mnyambuliko wa vitenzi
Afya |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Taja njia mbalimbali jinsi vitenzi vinanyambuliwa. Nyambua vitenzi ipasavyo. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 215-217) |
|
2 | 4 |
Kusoma kwa mapana
Kuandika |
Fasihi Andishi
Utungaji wa kiuamilifu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
2 | 5 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Majadiliano
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya majadiliano. Kusoma majadiliano katika kitabu cha mwanafunzi. Kutaja sifa za majadiliano. Kueleza maana ya muhtasari. Kutambua umuhimu wa muhtasari. |
Majadiliano
Kuandika Maswali na majibu Mazungumzo Maelezo |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 221-224) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
3 | 1 |
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi |
Nidhamu
Uakifishaji |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi kichwa Nidhamu . Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema. Kujibu maswali kuhusu shairi ipasavyo. Kueleza mtindo wa shairi hilo |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 224-226) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
3 | 2 |
Kusoma kwa mapana
|
Maadili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya maadili. Kusoma taarifa kwenye kitabu cha mwanafunzi kwa mapana. Kutambua mambo muhimu yaliyozungumziwa katika taarifa. Kujibu maswali kuhusu taarifa ipasavyo. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 227-230) |
|
3 | 3 |
Kusoma kwa mapana
Kuandika |
Fasihi Andishi
Uandishi wa Insha - Methali |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
3 | 4 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu |
Redio/Kanda za kunasia sauti
Shairi-Njaa nipishe na kando |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutaja umuhimu wa redio. Kutambua vipindi tofauti vya redio na runinga. Kujadili ujumbe yanayojadiliwa katika vipindi hivi. |
Majadiliano
Kuandika Maswali na majibu Mazungumzo Maelezo |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 231) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
3 | 5 |
Sarufi
|
Usemi halisi na usemi wa taarifa
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Eleza maana ya usemi halisi. Kutaja matumizi ya usemu halisi katika sentensi. Eleza maana ya usemi wa taarifa. Kutambua matumizi ya usemi wa taarifa. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 233-235) |
|
4 | 1 |
Kusoma kwa mapana
|
Jana si leo
Fasihi Andishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma taarifa katika kitabu cha mwanafunzi ..Jana si leo. Kueleza alichojifunza kutoka kwa taarifa. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 235-236) |
|
4 | 2 |
Kuandika
|
Utungaji wa kiuamilifu-Barua ;mialiko
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya mualiko. Kutambua sifa za mialiko. Kutaja na kujadili aina tofauti ya mialiko. Kuandika barua ya mualiko. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 237-240) |
|
4 | 3 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu |
Maamkizi na mazungumzo;Hotuba
Safari yenye hatari |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya hotuba. Kujadili umuhimu wa hotuba. Kutambua na kujadili sehemu mbalimbali ya hotuba. Kusoma hotuba kwenye kitabu cha mwanafunzi. |
Majadiliano
Kuandika Maswali na majibu Mazungumzo Maelezo |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 241-242) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
4 | 4 |
Sarufi
Kusoma kwa mapana |
Uundaji wa maneno
Matumizi ya tarakilishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kujadili uundaji wa nomino kutokana na kitenzi. Kuunda nomino kutokana na nomino. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 245-246) |
|
4 | 5 |
Kusoma kwa mapana
|
Fasihi Andishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
5 | 1 |
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza |
Imla
Daktari na mgonjwa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya Imla. Kuandika kwa usahihi kifungu isomwayo na mwalimu. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 248) |
|
5 | 2 |
Kusoma kwa ufahamu
|
Shairi-Kwaheri tunakuaga
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi . Kujadili mtindo wa shairi hilo. Kueleza dhamira ya mwandishi wa shairi. Kujibu maswali kuhusu shairi ipasavyo. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 250-251) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
5 | 3 |
Sarufi
Kusoma kwa mapana |
Ukubwa na udogo
Matumizi ya kamusi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutambua umoja na wingi wa nomino. Kutumia umoja na wingi vyema katika sentensi. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 251-256) |
|
5 | 4 |
Kusoma kwa mapana
Kuandika |
Fasihi Andishi
Uandishi wa kawaida |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
5 | 5 |
Kusikiliza na kuzungumza (Marudio0
|
Majadiliano
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya majadiliano. Kusoma majadiliano katika kitabu cha mwanafunzi. Kutaja sifa za majadiliano. Kueleza maana ya muhtasari. Kutambua umuhimu wa muhtasari. |
Majadiliano
Kuandika Maswali na majibu Mazungumzo Maelezo |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 221-224) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
6 | 1 |
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi |
Nidhamu
Uakifishaji |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi kichwa Nidhamu . Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema. Kujibu maswali kuhusu shairi ipasavyo. Kueleza mtindo wa shairi hilo |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 224-226) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
6 | 2 |
Kusoma kwa mapana
|
Maadili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya maadili. Kusoma taarifa kwenye kitabu cha mwanafunzi kwa mapana. Kutambua mambo muhimu yaliyozungumziwa katika taarifa. Kujibu maswali kuhusu taarifa ipasavyo. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 227-230) |
|
6 | 3 |
Kusoma kwa mapana
Kuandika |
Fasihi Andishi
Uandishi wa Insha - Methali |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
6 | 4 |
SURA YA KWANZA
Kusikiliza na Kuzungumza Sarufi |
Isimu jamii - Sajili ya Dini
Viulizi - "pi" na "ngapi" |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya sajili Kutambua sifa za sajili ya dini Kuigiza mazungumzo katika maabadi Kutumia msamiati wa kidini |
Kuuliza maswali ya utangulizi kuhusu lugha mbalimbali Kueleza dhana ya sajili na aina zake Kusoma na kujadili sifa za sajili ya dini Kuigiza mazungumzo ya Wakristo na Waislamu Kujibu maswali ya uelewa |
Kitabu cha mwanafunzi
Mwongozo wa mwalimu Chati za sajili Kanda za sauti (ikiwa zinapatikana) Jedwali la ngeli Kadi za mazoezi Ubao mweusi |
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 1-3
|
|
6 | 5 |
Kuandika
|
Utungaji wa Kiuamilifu: Barua Rasmi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza muundo wa barua rasmi Kutofautisha mitindo ya barua rasmi Kuandika barua rasmi kwa usahihi Kutumia lugha rasmi ipasavyo |
Kuuliza maswali kuhusu aina za barua wanayozifahamu Kueleza sifa na muundo wa barua rasmi Kuonyesha mitindo: mshazari na wima Kuandika barua ya kuomba ruhusa ya ziara Kusahihisha na kukarabati barua zao |
Kitabu cha mwanafunzi Mwongozo wa mwalimu Mifano ya barua rasmi Karatasi za kuandikia Kalamu na penseli |
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 14-16
|
|
7 | 1 |
SURA YA KWANZA
Sarufi |
kusoma-fasihi andishi
Sentensi ya Kiswahili: Virai |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthiliaKufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika
|
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
- Kitabu Cha Mwanafunzi - Mwongozo wa Mwalimu - Vipande vya sentensi kwa ajili ya uchambuzi - Makaratasi ya mazoezi - Chati za kurejelea sarufi - Kalamu za rangi za kuangazia |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
7 | 2 |
SURA YA KUMI NATATU
Sarufi |
Sentensi ya Kiswahili: Kikundi Nomino, Kikundi Tenzi, Shamirisho na Chagizo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kueleza miundo ya kikundi nomino na kikundi tenzi - Kutofautisha aina za shamirisho (kipozi, kitondo, kitumizi) - Kufafanua utendakazi wa chagizo katika sentensi - Kuchanganua sentensi kwa kutumia vipengele hivi - Kutunga sentensi zenye vipengele mbalimbali |
- Kurejea misingi ya uchambuzi wa sentensi
- Mwalimu aonyeshe miundo ya vikundi vya sentensi - Mazoezi ya kubainisha vipengele katika sentensi - Kazi ya vikundi kuchanganua sentensi ngumu - Zoezi la kutunga sentensi kwa kutumia vipengele mbalimbali |
- Kitabu Cha Mwanafunzi
- Mwongozo wa Mwalimu - Chati za michoro ya uchambuzi - Vipande vya sentensi kwa mazoezi - Karatasi za kazi |
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Kurasa 142-146
|
|
7 | 3 |
SURA YA KUMI NA NNE
Sarufi |
Aina za Sentensi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kutofautisha kati ya sentensi sahili, ambatano na changamano - Kutambua vishazi huru na tegemezi - Kuchunguza viunganishi vinavyotumiwa - Kutunga sentensi za aina mbalimbali - Kuchambua sentensi ngumu kwa makini |
- Kurejea misingi ya uchambuzi wa sentensi
- Mwalimu aeleze aina za sentensi kwa mifano - Wanafunzi wabainishe aina za sentensi zilizotolewa - Zoezi la kutunga sentensi za aina mbalimbali - Kazi ya makundi kuchambua sentensi ngumu |
- Kitabu Cha Mwanafunzi
- Mwongozo wa Mwalimu - Chati za aina za sentensi - Vipande vya sentensi kwa uchambuzi - Makaratasi ya mazoezi |
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Kurasa 153-155
|
|
7 | 4 |
SURA YA KUMI NA TANO
Sarufi Sarufi |
Uchanganuzi wa Sentensi
Vivumishi vya Pekee na Matumizi yake |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kueleza namna ya kuchanganua sentensi - Kutumia njia za mistari, jedwali na matawi - Kuchambua sentensi sahili, ambatano na changamano - Kubainisha vipengele vya sentensi - Kutunga sentensi na kuzichambua |
- Kurejea misingi ya uchambuzi wa sentensi
- Mwalimu aonyeshe njia za uchanganuzi - Wanafunzi wajaribu kuchanganua sentensi rahisi - Kazi ya vikundi kuchambua sentensi ngumu - Zoezi la kutunga na kuchambua sentensi |
- Kitabu Cha Mwanafunzi
- Mwongozo wa Mwalimu - Chati za michoro ya matawi - Jedwali za uchambuzi - Vipande vya sentensi kwa mazoezi Kitabu cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu Jedwali la vivumishi Kadi za mifano Majaribio ya mazoezi Ubao mweupe |
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Kurasa 165-170
|
|
7 | 5 |
SURA YA ISHIRINI NA MBILI
Fasihi Andishi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
8 |
MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA 3. 2025 |
Your Name Comes Here