Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA PILI
MWAKA WA 2025
MUHULA WA III

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
1

KUFUNGUA SHULE NA KUDURUSU MTIHANI WA MUHULA 2

2 1
Sarufi
Kusikiliza na kuzungumza
Sentensi ya kiswahili
Ushairi simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutaja na kujadili aina tofauti ya sentensi.
Kutoa mifano ya aina mbali mbali ya sentensi.
Kutunga sentensi tofauti kotaka kwa maneno waliyopewa.
Kujibu maswali kuhusu aina ya sentensi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk209-211)
2 2
Kusoma kwa ufahamu
Taarifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma tarifa kwenye kitabu cha mwanafunzi
Kueleza mtiririko wa matukio katika kisa hicho.
Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema.
Kujibu maswali kuhusu ufahamu ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 214-215)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
2 3
Sarufi
Kusoma kwa mapana
Mnyambuliko wa vitenzi
Afya
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Taja njia mbalimbali jinsi vitenzi vinanyambuliwa.
Nyambua vitenzi ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 215-217)
2 4
Kusoma kwa mapana
Kuandika
Fasihi Andishi
Utungaji wa kiuamilifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
2 5
Kusikiliza na kuzungumza
Majadiliano
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya majadiliano.
Kusoma majadiliano katika kitabu cha mwanafunzi.
Kutaja sifa za majadiliano.
Kueleza maana ya muhtasari.
Kutambua umuhimu wa muhtasari.
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 221-224)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
3 1
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Nidhamu
Uakifishaji
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi kichwa Nidhamu
.
Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema.
Kujibu maswali kuhusu shairi ipasavyo.
Kueleza mtindo wa shairi hilo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 224-226)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
3 2
Kusoma kwa mapana
Maadili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya maadili.
Kusoma taarifa kwenye kitabu cha mwanafunzi kwa mapana.
Kutambua mambo muhimu yaliyozungumziwa katika taarifa.
Kujibu maswali kuhusu taarifa ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 227-230)
3 3
Kusoma kwa mapana
Kuandika
Fasihi Andishi
Uandishi wa Insha - Methali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
3 4
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Redio/Kanda za kunasia sauti
Shairi-Njaa nipishe na kando
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutaja umuhimu wa redio.
Kutambua vipindi tofauti vya redio na runinga.
Kujadili ujumbe yanayojadiliwa katika vipindi hivi.
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 231)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
3 5
Sarufi
Usemi halisi na usemi wa taarifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Eleza maana ya usemi halisi.
Kutaja matumizi ya usemu halisi katika sentensi.
Eleza maana ya usemi wa taarifa.
Kutambua matumizi ya usemi wa taarifa.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 233-235)
4 1
Kusoma kwa mapana
Jana si leo
Fasihi Andishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma taarifa katika kitabu cha mwanafunzi ..Jana si leo.
Kueleza alichojifunza kutoka kwa taarifa.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 235-236)
4 2
Kuandika
Utungaji wa kiuamilifu-Barua ;mialiko
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya mualiko.
Kutambua sifa za mialiko.
Kutaja na kujadili aina tofauti ya mialiko.
Kuandika barua ya mualiko.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 237-240)
4 3
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Maamkizi na mazungumzo;Hotuba
Safari yenye hatari
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya hotuba.
Kujadili umuhimu wa hotuba.
Kutambua na kujadili sehemu mbalimbali ya hotuba.
Kusoma hotuba kwenye kitabu cha mwanafunzi.
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 241-242)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
4 4
Sarufi
Kusoma kwa mapana
Uundaji wa maneno
Matumizi ya tarakilishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kujadili uundaji wa nomino kutokana na kitenzi.
Kuunda nomino kutokana na nomino.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 245-246)
4 5
Kusoma kwa mapana
Fasihi Andishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
5 1
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Imla
Daktari na mgonjwa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya Imla.
Kuandika kwa usahihi kifungu isomwayo na mwalimu.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 248)
5 2
Kusoma kwa ufahamu
Shairi-Kwaheri tunakuaga
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi .
Kujadili mtindo wa shairi hilo.
Kueleza dhamira ya mwandishi wa shairi.
Kujibu maswali kuhusu shairi ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 250-251)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
5 3
Sarufi
Kusoma kwa mapana
Ukubwa na udogo
Matumizi ya kamusi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua umoja na wingi wa nomino.
Kutumia umoja na wingi vyema katika sentensi.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 251-256)
5 4
Kusoma kwa mapana
Kuandika
Fasihi Andishi
Uandishi wa kawaida
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
5 5
Kusikiliza na kuzungumza (Marudio0
Majadiliano
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya majadiliano.
Kusoma majadiliano katika kitabu cha mwanafunzi.
Kutaja sifa za majadiliano.
Kueleza maana ya muhtasari.
Kutambua umuhimu wa muhtasari.
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 221-224)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
6 1
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Nidhamu
Uakifishaji
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi kichwa Nidhamu
.
Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema.
Kujibu maswali kuhusu shairi ipasavyo.
Kueleza mtindo wa shairi hilo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 224-226)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
6 2
Kusoma kwa mapana
Maadili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya maadili.
Kusoma taarifa kwenye kitabu cha mwanafunzi kwa mapana.
Kutambua mambo muhimu yaliyozungumziwa katika taarifa.
Kujibu maswali kuhusu taarifa ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 227-230)
6 3
Kusoma kwa mapana
Kuandika
Fasihi Andishi
Uandishi wa Insha - Methali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
6 4
SURA YA KWANZA

Kusikiliza na Kuzungumza
Sarufi
Isimu jamii - Sajili ya Dini
Viulizi - "pi" na "ngapi"
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kueleza maana ya sajili
Kutambua sifa za sajili ya dini
Kuigiza mazungumzo katika maabadi
Kutumia msamiati wa kidini

Kuuliza maswali ya utangulizi kuhusu lugha mbalimbali
Kueleza dhana ya sajili na aina zake
Kusoma na kujadili sifa za sajili ya dini
Kuigiza mazungumzo ya Wakristo na Waislamu
Kujibu maswali ya uelewa
Kitabu cha mwanafunzi
Mwongozo wa mwalimu
Chati za sajili
Kanda za sauti (ikiwa zinapatikana)
Jedwali la ngeli
Kadi za mazoezi
Ubao mweusi
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 1-3
6 5
Kuandika
Utungaji wa Kiuamilifu: Barua Rasmi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kueleza muundo wa barua rasmi
Kutofautisha mitindo ya barua rasmi
Kuandika barua rasmi kwa usahihi
Kutumia lugha rasmi ipasavyo

Kuuliza maswali kuhusu aina za barua wanayozifahamu
Kueleza sifa na muundo wa barua rasmi
Kuonyesha mitindo: mshazari na wima
Kuandika barua ya kuomba ruhusa ya ziara
Kusahihisha na kukarabati barua zao

Kitabu cha mwanafunzi
Mwongozo wa mwalimu
Mifano ya barua rasmi
Karatasi za kuandikia
Kalamu na penseli
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Uk. 14-16
7 1
SURA YA KWANZA
Sarufi
kusoma-fasihi andishi
Sentensi ya Kiswahili: Virai
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthiliaKufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
- Kitabu Cha Mwanafunzi
- Mwongozo wa Mwalimu
- Vipande vya sentensi kwa ajili ya uchambuzi
- Makaratasi ya mazoezi
- Chati za kurejelea sarufi
- Kalamu za rangi za kuangazia
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
7 2
SURA YA KUMI NATATU

Sarufi
Sentensi ya Kiswahili: Kikundi Nomino, Kikundi Tenzi, Shamirisho na Chagizo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kueleza miundo ya kikundi nomino na kikundi tenzi
- Kutofautisha aina za shamirisho (kipozi, kitondo, kitumizi)
- Kufafanua utendakazi wa chagizo katika sentensi
- Kuchanganua sentensi kwa kutumia vipengele hivi
- Kutunga sentensi zenye vipengele mbalimbali
- Kurejea misingi ya uchambuzi wa sentensi
- Mwalimu aonyeshe miundo ya vikundi vya sentensi
- Mazoezi ya kubainisha vipengele katika sentensi
- Kazi ya vikundi kuchanganua sentensi ngumu
- Zoezi la kutunga sentensi kwa kutumia vipengele mbalimbali
- Kitabu Cha Mwanafunzi
- Mwongozo wa Mwalimu
- Chati za michoro ya uchambuzi
- Vipande vya sentensi kwa mazoezi
- Karatasi za kazi
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Kurasa 142-146
7 3
SURA YA KUMI NA NNE

Sarufi
Aina za Sentensi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kutofautisha kati ya sentensi sahili, ambatano na changamano
- Kutambua vishazi huru na tegemezi
- Kuchunguza viunganishi vinavyotumiwa
- Kutunga sentensi za aina mbalimbali
- Kuchambua sentensi ngumu kwa makini
- Kurejea misingi ya uchambuzi wa sentensi
- Mwalimu aeleze aina za sentensi kwa mifano
- Wanafunzi wabainishe aina za sentensi zilizotolewa
- Zoezi la kutunga sentensi za aina mbalimbali
- Kazi ya makundi kuchambua sentensi ngumu
- Kitabu Cha Mwanafunzi
- Mwongozo wa Mwalimu
- Chati za aina za sentensi
- Vipande vya sentensi kwa uchambuzi
- Makaratasi ya mazoezi
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Kurasa 153-155
7 4
SURA YA KUMI NA TANO

Sarufi
Sarufi
Uchanganuzi wa Sentensi
Vivumishi vya Pekee na Matumizi yake
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kueleza namna ya kuchanganua sentensi
- Kutumia njia za mistari, jedwali na matawi
- Kuchambua sentensi sahili, ambatano na changamano
- Kubainisha vipengele vya sentensi
- Kutunga sentensi na kuzichambua
- Kurejea misingi ya uchambuzi wa sentensi
- Mwalimu aonyeshe njia za uchanganuzi
- Wanafunzi wajaribu kuchanganua sentensi rahisi
- Kazi ya vikundi kuchambua sentensi ngumu
- Zoezi la kutunga na kuchambua sentensi
- Kitabu Cha Mwanafunzi
- Mwongozo wa Mwalimu
- Chati za michoro ya matawi
- Jedwali za uchambuzi
- Vipande vya sentensi kwa mazoezi
Kitabu cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Jedwali la vivumishi
Kadi za mifano
Majaribio ya mazoezi
Ubao mweupe
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Kurasa 165-170
7 5
SURA YA ISHIRINI NA MBILI

Fasihi Andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
8

MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA 3. 2025


Your Name Comes Here


Download

Feedback