Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA PILI
MWAKA WA 2025
MUHULA WA III

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
2 1
Kusikiliza na kuzungumza
Matamshi bora: sauti tatanishi /b/ na /mb/ Isimu jamii
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutamka sauti /b/ na /mb/ vizuri
Kutunga senetensi kwa kutumia maneno yenye sauti hizi
kueleza maana ya isimu jamii
kuigiza mazungumzo yalivyotumika katika isimu jamii
kutaja mifano ya msamiati
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 1-3)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
2 2
Sarufi
Kusoma
Mofimu
Viambishi
Kusoma kwa kina
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya mofimu
Kutaja aina ya mofimu
Kuonyesha matumizi ya umoja na wingi katika ngeli
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu Cha Mashairi
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 5-7)
2 3-4
Kusoma
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
kusoma
Utungaji wa kisanii-mchezo wa kuigiza
Matamshi bora
Magonjwa
Fasihi Andishi
Aina za maneno-nomino
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kufafanua muundo wa tamthilia kwa kutoa mifano.

Kueleza mtindo katika tamthilia.

Kutaja kaida za utunzi wa tamthilia.
somo ;
Kutabiri matukio katika ufahamu
Kutaja aina ya magonjwa
Kusoma ufahamu na kutambua misamiati yaliyotumika na maana
Kusoma

Kueleza

Kujadili

Kuandika

Utafiti
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kamusi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk16-17)
2 5
Kusoma
Kusikiliza na kuzungumza
fasihi simulizi
Matumizi ya kamusi
Matamshi bora-sauti tatanishi /g/ na /ng/
vitendawili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua sifa za kamusi
Kutumia kamusi kutoa maelezo ya maneno fiche
Maelezo
Majibu na maswali
kuandika
Mazungumzo
Kitabu Cha Mashairi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 20-21)
3 1
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
vitendawili
Fasihi Andishi
Aina za maneno-vivumishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma ufahamu na kujibu maswali
Kuelezea mtiririko wa matukio katika taarifa
Kusoma
Maswali na majibu
Majadiliana
Kuandika
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mashairi
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(UK 26-29)
3 2
Kusikiliza na na kuzungumza
Sarufi
Fasihi simulizi-hadithi
Tanakali za sauti
Vivumishi 2
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua aina za hadithi
Kutaja dhima na madhumuni ya hadithi za kale
Kueleza sifa za hadithi za kale
Kusoma aina ya hadithi katika kitabu cha wanafunzi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kitabu Cha Mashairi
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 43-49)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
3 3-4
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma
Kusoma
Sarufi
Kusoma
Kusikiliza na kuzungumza
Matamshi bora
Kajinga Acheza na Sensa
Fasihi Andishi
Vitenzi
Lugha, utamaduni na katiba
Matamshi bora -vitate vya sauti /b/ na /p/
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua na kutamka maneno yaliyo na sauti tatanishi /ch/ na /sh/
Kueleza maana ya misemo
Kutaja aina ya misemo
Kutambua madhumuni ya misemo

somo ;
Kueleza maana ya vitenzi
Kutaja aina za vitenzi
Kutumia vitenzi katika mazungumzo na sentensi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kusoma
Maswali na majibu
Majadiliana
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mashairi
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 71-75)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(UK 78-82)
3 5
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa kina
Kuandika
Isimu jamii
ushairi
Utungaji wa kiuaminifu -barua simu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kuigiza mazungumzo kati ya deti na mhudumu
Dondoa misamiati ya heshima yaliyotumika katika mazungumzo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kitabu Cha Mashairi
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 88-89)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
4 1
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma
Matamshi bora; vitate /s/ na /sh/
Isimu jamii
Kusoma kwa kina-shairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutamka maneno kwa ufasaha
Kutumia vitate vyema katika sentensi
Kueleza sifa za mazungumzo katika kituo ch polisi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 97-100)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
4 2
Kusoma
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Fasihi Andishi
Vitate vya sauti /s/ na /z/
Kusoma dondoo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
4 3-4
Sarufi
Kusoma kwa mapana
Kusoma kwa mapana
Viwakilishi
Janga la ukimwi
Fasihi Andishi
Vielezi
Hadithi fupi
Fasihi Andishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza kazi ya viwakilishi.
Kutambua aina ya viwakilishi.
Kujadili aina za viwakilishi na kutaja mifano.
Kutumia viwakilishi vyema katika sentensi na mazungumzo
somo ;
Kueleza maana ya vielezi.
Kutaja na kujadili aina tofauti za vielezi.
Kutoa mifano ya aina tofauti za vielezi.
Kutumia vielezi vyema kwa kuunda sentensi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk122-129)
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk138-142)
4 5
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Fasihi simulizi-maigizo
Ushairi -mwanamke
Viunganishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya maigizo.
Kutaja na kujadili aina tofauti za maigizo.
Kujadili sifa za maigizo.
Kueleza dhima ya maigizo
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk145-147)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
5 1
Kusoma kwa mapana
Matumizi ya kamusi
Fasihi Andishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutaja na kujadili matumizi ya kamusi.
Kutumia kamusi kueleza maana ya misamiati ya bunge.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk150-151)
5 2
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Kusoma kwa mapana
Kusoma taarifa
Vihusishi
Mtambo wa ATM
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma taarifa katika kitabu cha mwnafunzi.
Kujadili taarifa kwa kina.
Kutaja aina mbalimbali ya vyakula
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk155-157)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
5 3-4
Kusoma kwa mapana
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi
Sarufi
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Fasihi Andishi
Sauti tatanishi /f/ na /v/ Fasihi simulizi-Visasili
Vihisishi
Vinyume vya vitenzi
Fasihi simulizi-methali
Ajira ya watoto
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
somo ;
Kueleza vinyume vya vitenzi.
Kutumia vinyume vya vitenzi ipasavyo katika sentensi
Kujibu maswali kutokna na vinyume vya vitenzi ipasavyo
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk183-185)
5 5
Sarufi
Kusoma kwa mapana
Nyakati-hali ya ukanushaji
Sentensi ya kiswahili
Umoja wa kitaifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya ukanushaji.
Kutambua viambishi vinavyoonyesha wakati
Kutumia ukanushaji ipasavyo katika sentensi.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 192-200)
6 1
Kusoma kwa mapana
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Fasihi Andishi
Ushairi simulizi
Taarifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
6 2
Sarufi
Kusoma kwa mapana
Kusoma kwa mapana
Mnyambuliko wa vitenzi
Afya
Fasihi Andishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Taja njia mbalimbali jinsi vitenzi vinanyambuliwa.
Nyambua vitenzi ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 215-217)
6 3-4
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Kusoma kwa mapana
Kusikiliza na kuzungumza
Majadiliano
Nidhamu
Uakifishaji
Maadili
Fasihi Andishi
Redio/Kanda za kunasia sauti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya majadiliano.
Kusoma majadiliano katika kitabu cha mwanafunzi.
Kutaja sifa za majadiliano.
Kueleza maana ya muhtasari.
Kutambua umuhimu wa muhtasari.
somo ;
Kueleza maana ya maadili.
Kusoma taarifa kwenye kitabu cha mwanafunzi kwa mapana.
Kutambua mambo muhimu yaliyozungumziwa katika taarifa.
Kujibu maswali kuhusu taarifa ipasavyo.
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 221-224)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 227-230)
6 5
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Kusoma kwa mapana
Shairi-Njaa nipishe na kando
Usemi halisi na usemi wa taarifa
Jana si leo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma Shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi ..Njaa nipishe na kando
Kujadili mtindo wa shairi hilo.
Kueleza maana ya misamiati yaliyotumiwa.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 231-233)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
7 1
Kusoma kwa mapana
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Fasihi Andishi
Maamkizi na mazungumzo;Hotuba
Safari yenye hatari
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
7 2
Sarufi
Kusoma kwa mapana
Kusoma kwa mapana
Uundaji wa maneno
Matumizi ya tarakilishi
Fasihi Andishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kujadili uundaji wa nomino kutokana na kitenzi.
Kuunda nomino kutokana na nomino.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 245-246)
7 3-4
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Kusoma kwa mapana
Kusoma kwa mapana
Imla
Daktari na mgonjwa
Shairi-Kwaheri tunakuaga
Ukubwa na udogo
Matumizi ya kamusi
Fasihi Andishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya Imla.
Kuandika kwa usahihi kifungu isomwayo na mwalimu.

somo ;
Kutambua umoja na wingi wa nomino.
Kutumia umoja na wingi vyema katika sentensi.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 248)
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 251-256)
7 5
Kusikiliza na kuzungumza (Marudio0
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Kusoma kwa mapana
Kusoma kwa mapana
Majadiliano
Nidhamu
Uakifishaji
Maadili
Fasihi Andishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya majadiliano.
Kusoma majadiliano katika kitabu cha mwanafunzi.
Kutaja sifa za majadiliano.
Kueleza maana ya muhtasari.
Kutambua umuhimu wa muhtasari.
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 221-224)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
8-9

Mtihani na kufunga shule


Your Name Comes Here


Download

Feedback