If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | MBINU | VIFAA | ASILIA | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
2 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Matamshi bora: sauti tatanishi /b/ na /mb/
Isimu jamii
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutamka sauti /b/ na /mb/ vizuri Kutunga senetensi kwa kutumia maneno yenye sauti hizi kueleza maana ya isimu jamii kuigiza mazungumzo yalivyotumika katika isimu jamii kutaja mifano ya msamiati |
Majadiliano
Kuandika Maswali na majibu Mazungumzo Maelezo |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 1-3) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
2 | 2 |
Sarufi
Kusoma |
Mofimu
Viambishi Kusoma kwa kina |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya mofimu Kutaja aina ya mofimu Kuonyesha matumizi ya umoja na wingi katika ngeli |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi Kitabu Cha Mashairi |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 5-7) |
|
2 | 3-4 |
Kusoma
Kuandika Kusikiliza na kuzungumza Kusoma kwa ufahamu Sarufi |
kusoma
Utungaji wa kisanii-mchezo wa kuigiza Matamshi bora Magonjwa Fasihi Andishi Aina za maneno-nomino |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kufafanua muundo wa tamthilia kwa kutoa mifano. Kueleza mtindo katika tamthilia. Kutaja kaida za utunzi wa tamthilia. somo ; Kutabiri matukio katika ufahamu Kutaja aina ya magonjwa Kusoma ufahamu na kutambua misamiati yaliyotumika na maana |
Kusoma
Kueleza Kujadili Kuandika Utafiti Maswali dodoso Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Kamusi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
KLB Kiswahili kitukuzwe 2 (uk16-17) |
|
2 | 5 |
Kusoma
Kusikiliza na kuzungumza fasihi simulizi |
Matumizi ya kamusi
Matamshi bora-sauti tatanishi /g/ na /ng/ vitendawili |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutambua sifa za kamusi Kutumia kamusi kutoa maelezo ya maneno fiche |
Maelezo
Majibu na maswali kuandika Mazungumzo |
Kitabu Cha Mashairi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 20-21) |
|
3 | 1 |
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi |
vitendawili
Fasihi Andishi Aina za maneno-vivumishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma ufahamu na kujibu maswali Kuelezea mtiririko wa matukio katika taarifa |
Kusoma
Maswali na majibu Majadiliana Kuandika |
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Kitabu Cha Mashairi |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(UK 26-29) |
|
3 | 2 |
Kusikiliza na na kuzungumza
Sarufi |
Fasihi simulizi-hadithi
Tanakali za sauti Vivumishi 2 |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutambua aina za hadithi Kutaja dhima na madhumuni ya hadithi za kale Kueleza sifa za hadithi za kale Kusoma aina ya hadithi katika kitabu cha wanafunzi |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kitabu Cha Mashairi |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 43-49) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
3 | 3-4 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma Kusoma Sarufi Kusoma Kusikiliza na kuzungumza |
Matamshi bora
Kajinga Acheza na Sensa Fasihi Andishi Vitenzi Lugha, utamaduni na katiba Matamshi bora -vitate vya sauti /b/ na /p/ |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutambua na kutamka maneno yaliyo na sauti tatanishi /ch/ na /sh/ Kueleza maana ya misemo Kutaja aina ya misemo Kutambua madhumuni ya misemo somo ; Kueleza maana ya vitenzi Kutaja aina za vitenzi Kutumia vitenzi katika mazungumzo na sentensi |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika Kusoma Maswali na majibu Majadiliana Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Kamusi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Kitabu Cha Mashairi |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 71-75) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) KLB Kiswahili kitukuzwe 2 (UK 78-82) |
|
3 | 5 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa kina Kuandika |
Isimu jamii
ushairi Utungaji wa kiuaminifu -barua simu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kuigiza mazungumzo kati ya deti na mhudumu Dondoa misamiati ya heshima yaliyotumika katika mazungumzo |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kitabu Cha Mashairi |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 88-89) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
4 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma |
Matamshi bora; vitate /s/ na /sh/
Isimu jamii Kusoma kwa kina-shairi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutamka maneno kwa ufasaha Kutumia vitate vyema katika sentensi Kueleza sifa za mazungumzo katika kituo ch polisi |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 97-100) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
4 | 2 |
Kusoma
Kusikiliza na kuzungumza Kusoma kwa ufahamu |
Fasihi Andishi
Vitate vya sauti /s/ na /z/ Kusoma dondoo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
4 | 3-4 |
Sarufi
Kusoma kwa mapana Kusoma kwa mapana |
Viwakilishi
Janga la ukimwi Fasihi Andishi Vielezi Hadithi fupi Fasihi Andishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza kazi ya viwakilishi. Kutambua aina ya viwakilishi. Kujadili aina za viwakilishi na kutaja mifano. Kutumia viwakilishi vyema katika sentensi na mazungumzo somo ; Kueleza maana ya vielezi. Kutaja na kujadili aina tofauti za vielezi. Kutoa mifano ya aina tofauti za vielezi. Kutumia vielezi vyema kwa kuunda sentensi |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk122-129) KLB Kiswahili kitukuzwe 2 (uk138-142) |
|
4 | 5 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu Sarufi |
Fasihi simulizi-maigizo
Ushairi -mwanamke Viunganishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya maigizo. Kutaja na kujadili aina tofauti za maigizo. Kujadili sifa za maigizo. Kueleza dhima ya maigizo |
Majadiliano
Kuandika Maswali na majibu Mazungumzo Maelezo |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk145-147) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
5 | 1 |
Kusoma kwa mapana
|
Matumizi ya kamusi
Fasihi Andishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutaja na kujadili matumizi ya kamusi. Kutumia kamusi kueleza maana ya misamiati ya bunge. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk150-151) |
|
5 | 2 |
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi Kusoma kwa mapana |
Kusoma taarifa
Vihusishi Mtambo wa ATM |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma taarifa katika kitabu cha mwnafunzi. Kujadili taarifa kwa kina. Kutaja aina mbalimbali ya vyakula |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk155-157) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
5 | 3-4 |
Kusoma kwa mapana
Kusikiliza na kuzungumza Sarufi Sarufi Kusikiliza na kuzungumza Kusoma kwa ufahamu |
Fasihi Andishi
Sauti tatanishi /f/ na /v/ Fasihi simulizi-Visasili Vihisishi Vinyume vya vitenzi Fasihi simulizi-methali Ajira ya watoto |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia somo ; Kueleza vinyume vya vitenzi. Kutumia vinyume vya vitenzi ipasavyo katika sentensi Kujibu maswali kutokna na vinyume vya vitenzi ipasavyo |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika Maswali dodoso Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
KLB Kiswahili kitukuzwe 2 (uk183-185) |
|
5 | 5 |
Sarufi
Kusoma kwa mapana |
Nyakati-hali ya ukanushaji
Sentensi ya kiswahili Umoja wa kitaifa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya ukanushaji. Kutambua viambishi vinavyoonyesha wakati Kutumia ukanushaji ipasavyo katika sentensi. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 192-200) |
|
6 | 1 |
Kusoma kwa mapana
Kusikiliza na kuzungumza Kusoma kwa ufahamu |
Fasihi Andishi
Ushairi simulizi Taarifa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
6 | 2 |
Sarufi
Kusoma kwa mapana Kusoma kwa mapana |
Mnyambuliko wa vitenzi
Afya Fasihi Andishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Taja njia mbalimbali jinsi vitenzi vinanyambuliwa. Nyambua vitenzi ipasavyo. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 215-217) |
|
6 | 3-4 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu Sarufi Kusoma kwa mapana Kusikiliza na kuzungumza |
Majadiliano
Nidhamu Uakifishaji Maadili Fasihi Andishi Redio/Kanda za kunasia sauti |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya majadiliano. Kusoma majadiliano katika kitabu cha mwanafunzi. Kutaja sifa za majadiliano. Kueleza maana ya muhtasari. Kutambua umuhimu wa muhtasari. somo ; Kueleza maana ya maadili. Kusoma taarifa kwenye kitabu cha mwanafunzi kwa mapana. Kutambua mambo muhimu yaliyozungumziwa katika taarifa. Kujibu maswali kuhusu taarifa ipasavyo. |
Majadiliano
Kuandika Maswali na majibu Mazungumzo Maelezo Maswali dodoso Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 221-224) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) KLB Kiswahili kitukuzwe 2 (uk 227-230) |
|
6 | 5 |
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi Kusoma kwa mapana |
Shairi-Njaa nipishe na kando
Usemi halisi na usemi wa taarifa Jana si leo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma Shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi ..Njaa nipishe na kando Kujadili mtindo wa shairi hilo. Kueleza maana ya misamiati yaliyotumiwa. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 231-233) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
7 | 1 |
Kusoma kwa mapana
Kusikiliza na kuzungumza Kusoma kwa ufahamu |
Fasihi Andishi
Maamkizi na mazungumzo;Hotuba Safari yenye hatari |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
7 | 2 |
Sarufi
Kusoma kwa mapana Kusoma kwa mapana |
Uundaji wa maneno
Matumizi ya tarakilishi Fasihi Andishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kujadili uundaji wa nomino kutokana na kitenzi. Kuunda nomino kutokana na nomino. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 245-246) |
|
7 | 3-4 |
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza Kusoma kwa ufahamu Sarufi Kusoma kwa mapana Kusoma kwa mapana |
Imla
Daktari na mgonjwa Shairi-Kwaheri tunakuaga Ukubwa na udogo Matumizi ya kamusi Fasihi Andishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya Imla. Kuandika kwa usahihi kifungu isomwayo na mwalimu. somo ; Kutambua umoja na wingi wa nomino. Kutumia umoja na wingi vyema katika sentensi. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 248) KLB Kiswahili kitukuzwe 2 (uk 251-256) |
|
7 | 5 |
Kusikiliza na kuzungumza (Marudio0
Kusoma kwa ufahamu Sarufi Kusoma kwa mapana Kusoma kwa mapana |
Majadiliano
Nidhamu Uakifishaji Maadili Fasihi Andishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya majadiliano. Kusoma majadiliano katika kitabu cha mwanafunzi. Kutaja sifa za majadiliano. Kueleza maana ya muhtasari. Kutambua umuhimu wa muhtasari. |
Majadiliano
Kuandika Maswali na majibu Mazungumzo Maelezo |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 221-224) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
8-9 |
Mtihani na kufunga shule |
Your Name Comes Here