Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA PILI
MWAKA WA 2025
MUHULA WA II

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
1 1
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma ufahamu
Matamshi bora: sauti tatanishi /b/ na /mb/ Isimu jamii
urafiki
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutamka sauti /b/ na /mb/ vizuri
Kutunga senetensi kwa kutumia maneno yenye sauti hizi
kueleza maana ya isimu jamii
kuigiza mazungumzo yalivyotumika katika isimu jamii
kutaja mifano ya msamiati
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 1-3)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
1 2
Sarufi
Mofimu
Viambishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya mofimu
Kutaja aina ya mofimu
Kuonyesha matumizi ya umoja na wingi katika ngeli
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 5-7)
1 3
Kusoma
Kusoma kwa kina
kusoma
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kuelezea vipengele muhimu za fasihi
Kuelezea maana ya tamthilia
Kusoma tamthilia na kujibu maswali
Maelezo
Majibu na maswali
kuandika
Mazungumzo
Kitabu Cha Mashairi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 9-12)
1 4
Kuandika
Utungaji wa kisanii-mchezo wa kuigiza
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutaja na kutambua vipengele muhimu katika mchezo wa kuigiza
Kuandika mchezo wa kuigiza kuhusu jambo lolote
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 12)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
1 5
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Matamshi bora
Magonjwa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutamka matamshi tatanishi /la/, /na/ na /ra / sahihi
Kuigiza mazungumzo kati ya jopo na mtafuta kazi
Kutambua vitu muhimu vinavyozingatiwa katika mahojiano
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 14-15)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
2 1
Sarufi
Kusoma
Aina za maneno-nomino
Matumizi ya kamusi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya nomino
Kutaja aina za nomino
Kutumia nomino katika mazungumzo na sentensi vyema
Kusoma
Maswali na majibu
Majadiliana
Kuandika
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mashairi
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(UK 18-20)
2 2
Kuandika
Utangaji wa kuamilifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua mtindo unaofwatwa katika uandishi wa mahojiano
Kutambua vipengee muhimu yanayozingatiwa katika uandishi wa mahojiano
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 21-22)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
2 3
Kusikiliza na kuzungumza
fasihi simulizi
Matamshi bora-sauti tatanishi /g/ na /ng/
vitendawili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutamka maneno yaliyo na sauti tatanishi /g/ na /ng/
Kutumia maneno yenye sauti hizi katika mazungumzo na sentensi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 23)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
2 4
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
vitendawili
Aina za maneno-vivumishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma ufahamu na kujibu maswali
Kuelezea mtiririko wa matukio katika taarifa
Kusoma
Maswali na majibu
Majadiliana
Kuandika
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mashairi
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(UK 26-29)
2 5
Kuandika
Kusikiliza na na kuzungumza
Ilani
Fasihi simulizi-hadithi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana na umuhimu wa ilani
Kutaja sifa za ilani na onyo
Kutaja aina za ilani
Kutengeneza ilani na onyo
Kueleze tofauti za onyo na ilani
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 38-42)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
3 1
Kusikiliza na na kuzungumza
Tanakali za sauti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutaja mifano za tanakali za sauti
Kueleza maana ya tanakali za sauti
Kueleza matumizi ya tanakali za sauti
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 49-50)
3 2
Sarufi
Kusoma kwa kina
Vivumishi 2
Riwaya
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutaja aina za vivumishi
Kutoa mifano ya aina yote ya vivumishi
Kutumia vivumishi vyema katika sentensi
Maelezo
Majibu na maswali
kuandika
Mazungumzo
Kitabu Cha Mashairi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 52-69)
3 3
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma
Matamshi bora
Kajinga Acheza na Sensa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua na kutamka maneno yaliyo na sauti tatanishi /ch/ na /sh/
Kueleza maana ya misemo
Kutaja aina ya misemo
Kutambua madhumuni ya misemo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 71-75)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
3 4
Sarufi
Kusoma
Vitenzi
Lugha, utamaduni na katiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya vitenzi
Kutaja aina za vitenzi
Kutumia vitenzi katika mazungumzo na sentensi
Kusoma
Maswali na majibu
Majadiliana
Kuandika
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mashairi
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(UK 78-82)
3 5
Kuandika
Uandishi wa insha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua muundo unaozingatiwa katika uandishi wa insha
Kueleza mambo muhimu yakuzingatiwa katika uandishi wa insha
Kuandika insha
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 84-86)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
4

Mjarabu wa Kwanza

5 1
Kusikiliza na kuzungumza
Matamshi bora -vitate vya sauti /b/ na /p/
Isimu jamii
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya vitate
Kutaja maneno yaliyo na vitate vya sauti /b/ na /p/
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(up 87-88)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
5 2
Kusoma
Sarufi
Ripoti kuhusu ukimwi
Aina za maneno-vitenzi vishirikishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya ripoti
Kufafanua ripoti
Kutambua vipengele muhimu katika uandishi wa ripoti
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 89-91)
5 3
Kusoma kwa kina
Kuandika
ushairi
Utungaji wa kiuaminifu -barua simu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya ushairi
Kukariri ushairi
Maelezo
Majibu na maswali
kuandika
Mazungumzo
Kitabu Cha Mashairi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 95-96)
5 4
Kusikiliza na kuzungumza
Matamshi bora; vitate /s/ na /sh/
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutamka maneno kwa ufasaha
Kutumia vitate vyema katika sentensi
Kueleza sifa za mazungumzo katika kituo ch polisi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 97-100)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
5 5
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma
Isimu jamii
Kusoma kwa kina-shairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza sifa za mazungumzo katika kituo cha polisi
Kuigiza mazungumzo katika kituo cha polisi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 100-102)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
6 1
Kuandika
Utungaji wa kiuamilifu-matangazo
Dayolojia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua madhumini ya matangazo
Kuandika matangazo
Kutaja mambo muhimu ya kuzingaitiwa katika uandishi wa matangazo
Kutaja njia za kupitisha matangazo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 111-115)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
6 2
Kusikiliza na kuzungumza
Vitate vya sauti /s/ na /z/
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua vitate vya sauti /s/ na /z/ na kuvitumia vyema katika sentensi.
Kueleza maana ya vitanza ndimi.
Kutambua na kutamka vitanza ndimi vyema.
Kujibu maswali kutoka kwa Makala ya haki za Watoto kikamilifu
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk118-120)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
6 3
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Kusoma dondoo
Viwakilishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma dondoo katika kitabu cha mwanafunzi vyema.
Kueleza mtiririko wa mtukio katika dondoo.
Kutambua wahusika katika dondoo.
Kujiu maswali sahihi.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk120-122)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
6 4
Kusoma kwa mapana
Kuandika
Janga la ukimwi
Ratiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma kifungu lenye mada Janga la ukimwi.
Kujadili matukio katika kifunguu kicho.
Kujibu maswali kuhusu kifungu
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk130-132)
6 5
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Ushairi -Usafi
Vielezi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma ushairi katika kitabu cha mwanafunzi.
Kujadili mabo yaliyozumngumziwa katika ushairi.
Kutambua lengo la shairi hilo.
Kujibu maswali kuhusu ushairi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk136-138)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
7 1
Kusoma kwa mapana
Hadithi fupi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya hadithi fupi.
Kutaja na kujadili sifa za hadithi fupi.
Kutaja mambo muhumu katika uandishi wa hadithi fupi..
Kuandika hadithi fupi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk143)
7 2
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Taarifa
Fasihi simulizi-maigizo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya taarifa.
Kutaja na kujadili sifa za taarifa.
Kuandika taarifa kuhusu hali ya ukame.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk144)
7 3
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Ushairi -mwanamke
Viunganishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma ushairi katika kitabu cha mwanafunzi.
Kujadili mtindo uliotumika katika uandishi wa shairi hilo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk147-148)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
7 4
Kusoma kwa mapana
Kuandika
Matumizi ya kamusi
Unadishi wa insha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutaja na kujadili matumizi ya kamusi.
Kutumia kamusi kueleza maana ya misamiati ya bunge.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk150-151)
7 5
Kusikiliza na kuzungumza
Mjadala
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya mjadala.
Kutaja wahusika katika mjadala.
Kusoma mjadala katika kitabu cha mwanafunzi.
Kujibu zoezi kikamilifu
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk153-154)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
8

Mjarabu wa pili

9

Likizo fupu

10 1
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Kusoma taarifa
Vihusishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma taarifa katika kitabu cha mwnafunzi.
Kujadili taarifa kwa kina.
Kutaja aina mbalimbali ya vyakula
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk155-157)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
10 2
Kusoma kwa mapana
Kuandika
Mtambo wa ATM
Resipe
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya ATM
Kusoma taarifa kuhusu ATM.
Kueleza alichojifunza kuhusu ATM
Kueleza jinsi ya kutumia ATM
Kujibu maswali kutoka kwa taarifa ipasavyo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk160-163)
10 3
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Sauti tatanishi /f/ na /v/ Fasihi simulizi-Visasili
Tarakilishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua maneno yenye sauti tatanishi /f/ na /v/
Kutamka vitanza ndimi ipasavyo.
Kueleza maana ya visasili.
Kujadili dhima ya visasili
Kusoma kisa mfano ya kisasili kwenye kitabu cha mwanafunzi
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk166-170)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
10 4
Sarufi
Vihisishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya vihisishi
Kujadili matumizi ya vihisishi.
Kutaja mifano ya vihisishi.
Kutumia vihusishi katika sentensi ipasvyo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk172-174)
10 5
Kusoma kwa mapana
Kuandika
Ufisadi
Risala
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma Makala katikakitabu cha mwanafunzi.
Kuipa kichwa mwafaka Makala hiyo.
Kujadili mabo muhimu yaliyoangaziwa katika kifungu
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk174-175)
11 1
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Ushairi simulizi-nyimbo
Ushairi -Mrija
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kujadili sifa za nyimbo.
Kutambua na kueleza aina mbalimbali ya nyimbo.
Kuimba wimbo wa harusi ipasavyo.
Kueleza maana ya semi.
Kueleza matumizi ya misemo
Kutoa mifano ya misemo
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk177-181)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
11 2
Sarufi
Vinyume vya vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza vinyume vya vitenzi.
Kutumia vinyume vya vitenzi ipasavyo katika sentensi
Kujibu maswali kutokna na vinyume vya vitenzi ipasavyo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk183-185)
11 3
Kusoma kwa mapana
Kuandika
Jinsia
Utungaji wa kisanii
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya jinsia
Kusoma Makala yeyote kuhusu jinsia.
Kutaja vitu muhimu yaliyojadiliwa kuhusu jinsia
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk185)
11 4
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Fasihi simulizi-methali
Ajira ya watoto
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Eleza maana ya methali.
Kueleza sifa za methali.
Kutaja mifano ya methali kuu.
Kujadili dhima ya methali
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 187-190)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
11 5
Sarufi
Kusoma kwa mapana
Nyakati-hali ya ukanushaji
Kusoma maktabani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya ukanushaji.
Kutambua viambishi vinavyoonyesha wakati
Kutumia ukanushaji ipasavyo katika sentensi.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 192-200)
12 1
Kuandika
Barua rasmi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya barua rasmi.
Taja sehemu tofauti za barua rasmi.
Kutambua na kueleza miundo tofauti za barua rasmi.
Kuandika barua rasmi kwa kuzingatia miundo tofauti
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 200-204)
12 2
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Fasihi simulizi-Hekaya
Lubigisa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya hekaya.
Kusoma hekaya kwenye kitabu cha mwanafunzi
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 205-206)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
12 3
Sarufi
Kusoma kwa mapana
Sentensi ya kiswahili
Umoja wa kitaifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutaja na kujadili aina tofauti ya sentensi.
Kutoa mifano ya aina mbali mbali ya sentensi.
Kutunga sentensi tofauti kotaka kwa maneno waliyopewa.
Kujibu maswali kuhusu aina ya sentensi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk209-211)
12 4
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Uandishi wa kawaida-Muhtasari
Ushairi simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya muhtasari.
Kujadili vipengee muhimu katika uandishi wa muhtasari.
Kuandika muhtasari ya kisa cha Lubigisa.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk212)
12 5
Kusoma kwa ufahamu
Taarifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma tarifa kwenye kitabu cha mwanafunzi
Kueleza mtiririko wa matukio katika kisa hicho.
Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema.
Kujibu maswali kuhusu ufahamu ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 214-215)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
13-14

Mtihani wa mwisho wa muhula


Your Name Comes Here


Download

Feedback