Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA TATU
MWAKA WA 2025
MUHULA WA II

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
2 1
Kusikiliza na kuzungumza
Isimu jamii; Sajili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya sajili.
Kutaja na kufafanua sifa za sajili ya dini.
Kuigiza maamkizi na mazungumzo katika sehemu za maabadi.
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuuliza maswali
Kuigiza
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 1-3
2 2
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Sarufi
Kusoma
Ufahamu; Asali Yawa Shubiri
Viulizi
Vivumishi vya Idadi
Fasihi andishi; Muktadha na usuli wa tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maudhui ya ufahamu.
Kufafanua maana za methali zilizotumika kwenye ufahamu.
Kujibu maswali kwa usahihi.
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuuliza maswali
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kamusi ya Methali
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 3-7
2 3
Kusoma (fasihi)
Kusoma
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi andishi; Muktadha na usuli wa tamthilia
Kusoma magazeti: Tahariri na Habari
Utungaji wa Kiuamilifu: Barua Rasmi
Dhima ya Fasihi kwa jumla
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kamusi ya Kiswahili
Magazeti
Nakala halisi ya barua rasmi
Kitabu cha Fasihi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
2 4-5
Kusoma kwa Ufahamu
Kusoma (fasihi)
Kusoma (fasihi)
Sarufi
Shairi: Mikanda Tujifungeni
Fasihi Andishi; Wahusika na uhusika katika Tamthilia
Fasihi Andishi; Wahusika na uhusika katika Tamthilia
‘A’ Unganifu
Virejeshi ‘O’ na ‘amba’
Matumizi ya ‘O’ rejeshi
Viashiria visisitizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kutaja maudhui katika shairi.
Kueleza sifa bainifu za shairi huru.
Kujibu maswali yatokanayo na shairi huru kwa usahihi.

Kueleza muundo wa ‘A’ unganifu.
Kutunga sentensi akitumia ‘A’ unganifu mwafaka pamoja na nomino.
Kukamilisha sentensi kwa kutumia ‘A’ unganifu.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kusoma
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Shairi
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 20-21
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 21-23
2 6
Kusoma (fasihi)
Kusoma
Fasihi Andishi; Wahusika na uhusika katika Tamthilia
Kusoma kwa sauti; Barua kwa Mhariri
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutaja hulka (sifa) za wahusika katika tamthilia teule.
Kueleza sifa za wahusika katika tamthilia teule.
Kufafanua sifa za wahusika kwa kutoa mifano katika tamthilia.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kamusi ya Kiswahili
Magazeti
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
3 1
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi
Kusoma (fasihi)
Utungaji wa Kiuamilifu; Barua kwa Mhariri
Kusoma kwa Ufahamu; Zimwi Limeingia Duniani
Vivumishi kwa pekee
Fasihi andishi muundo na mtindo katika tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza muundo wa barua kwa mhariri.
Kufafanua maudhui ya barua kwa mhariri.
Kuandika barua kwa mhariri wa gazeti.
Kueleza
Kujadili
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 29-31
3 2
Kusoma (fasihi)
Kusoma
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi andishi muundo na mtindo katika tamthilia
Kusoma kwa Mapana; UKIMWI
Utungaji wa Kiuamilifu; Resipe, Muhtasari
Maamkizi na Mazungumzo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kufafanua muundo wa tamthilia kwa kutoa mifano.
Kueleza mtindo katika tamthilia.
Kutaja kaida za utunzi wa tamthilia.
Kusoma
Kueleza
Kujadili
Kuandika
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kamusi ya Kiswahili
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
3 3
Kusoma kwa Ufahamu
Kusoma (fasihi)
Kusoma (fasihi)
Umoja wa Kitaifa
Matumizi ya lugha katika fasihi
Matumizi ya lugha katika fasihi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza umuhimu wa usanifishaji.
Kusoma ufahamu, ‘Umoja wa Kitaifa’
Kufafanua mambo yanayosaidia kuleta umoja wa Kitaifa hapa nchini.
Usomaji
Maelezo
Maswali na majibu.
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 43-44
3 4-5
Sarufi
Kusoma
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza na kuzungumza
Vielezi
Utungaji wa Kiuamilifu; Hotuba
Fasihi Simulizi; Mazungumzo
Fasihi Simulizi; Malumbano ya Utani
Fasihi andishi; Matumizi ya lugha katika tamthilia
Fasihi Simulizi; Ulumbi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza dhana ya vielezi.
Kueleza aina za vielezi.
Kutunga sentensi kwa kutumia vielezi.
Kutaja matumizi ya lugha mbalimbali.
Kutumia tamthilia teule kutoa mifano.
Kufafanua jinsi lugha imetumiwa kukuta ujumbe.
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Ufafanuzi
Kusoma
Kujadili
Kueleza
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi Simulizi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi Simulizi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 44-48
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
3 6
Sarufi
Kusoma
Kuandika
Kusoma (fasihi)
Viwakilishi (W)
Kusoma kwa Kina; Historia na Maendeleo ya Kiswahili
Uandishi wa Insha; Insha ya Mazungumzo
Fasihi andishi; Maadili na mafunzo katika tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutaja aina za viwakilishi.
Kueleza na kubainisha aina za viwakilishi.
Kutumia viwakilishi katika sentensi kwa usahihi.
Kueleza
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kujibu maswali
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 56-60
4 1
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi
Kuandika
Fasihi andishi; Maadili na mafunzo katika tamthilia
Isimujamii; Mahakamani
Mwingiliano wa Maneno
Utungaji wa Kiuamilifu; Makala ya Redio na Runinga
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutaja maadili na mafunzo ya tamthilia teule.
Kufafanua maadili na mafunzo ya tamthilia teule.
Kueleza jinsi tamthilia inaafikiana na matukio ya sasa katika jamii.
Kusoma
Kujadili
Maswali na majibu
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi Simulizi
Redio na vinasa sauti
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
4 2
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi)
Kusoma (fasihi)
Isimujamii; Mahojiano kati ya Wataalamu Wawili
Kusoma kwa kina; Fasihi andishi
Kusoma kwa kina; Fasihi andishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma kifungu na kueleza.
Kueleza sifa za lugha (sajili) ya Wataalamu.
Kupambanua mazungumzo kwa kuzingatia sajili.
Kueleza
Kusoma
Kujadili
Kuigiza
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 72-73
4 3
Sarufi
Kusoma
Kusoma
Kusoma
Vitenzi; Mzizi wa Kitenzi
Uchambuzi wa Fasihi Andishi
Uchambuzi wa Fasihi Andishi
Shairi Nyuki nimekoni?
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kubainisha mizizi ya vitenzi.
Kutambua viambishi awali na tamati.
Kuonyesha mzizi wa kila kitenzi alichopewa kisha anyambue.
Kueleza
Kutunga sentensi
Kuandika
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya kiswahili
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu
Kamusi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 74-75
4 4-5
Kusikiliza na kuongea
sarufi
Kusoma
kuandika
Fasihi
Kusoma
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi Simulizi
Vinyume vya vitenzi
Maenezi ya Kiswahili
Ratiba
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Dini ya ulimwengu
Visasili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-sifa za soga
Dhima ya soga
Kusoma riwaya
-kutambua wahusika mbalimbali na ngazi zao
-kueleza sifa za wahusika
kusikiliza
kusoma
Kitabu
Kamusi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 91-93
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege. 
4 6
sarufi
Kuandika
Fasihi
Uundaji wa nomino
Uandishi wa insha
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kueleza nomino kutokana na vitenzi vya asili ya kigeni
kutaja aina mbalimbali za sentensi
mifano- samehe, abiri, husudu
Kutaja
Kueleza
Kitabu
Kamusi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 106-107
5 1
Kusoma Marudio
2
Kusikiliza na kuzungumza
Kukandamizwa
sarufi
Fasihi simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu
-kutaja mambo muhimu yanayozingatiwa katika usemi wa taarifa
-          Kueleza
Kutaja Mifano
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 114-115
5 2
Kuandika
Fasihi
Fasihi
Kusoma
Ushairi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege 
Kukandamizwa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kuandika mashiri ya arudhi
Kutoa miundo ya tungo
-          Maelezo
-Kuandika
kitabu cha mwanafunzi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege. 
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 118-122
5 3
2
Kusikiliza na kuzungumza
Kuandika
Fasihi
sarufi
Fasihi simulizi
Ushairi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutoa maana ya Virai
Aina mbalimbali ya virai
Mfano
Kirai nomino
Kirai kitenzi
Virai vielezi
Kirai kivumishi
Virai vihusishi
-          Kueleza
Kutaja Mifano
Kitabu
Kamusi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 115-118
5 4-5
Fasihi
kusoma
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi
Kuandika
Fasihi andishi
Fasihi andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege. 
mchezo wa kuigiza
Maamkizi na mazungumzo- isimujamii
vishazi
wasifu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutathmini nkufli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi
-kutaja baadhi ya udhaifu huo
-kutambua maana ya vishazi
kutambua aina za vishazi
vishazi huru
vishazi tegemezi
kutambua maana ya vishazi huru na vishazi tegemezi
mwanafunzi Kuandika sentensi akitumia v. huru na v.tegemezi
mfano
vishazi huru
Mwashi amewasili
mgeni atakuja shuleni leo
vishazi tegemezi
jiwe lililomgonga
cheti kilichopotea
-          Uchambuzi
Majadiliano
-      Kuandika
Kutunga sentensi
Hadithi fupi
kamusi
Kitabu
kitabu cha mwanafunzi
Kitabu
Kamusi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 uk 128-129
5 6
Kusoma
Kusikiliza na kuongea
sarufi
kuandika
mhepa
Miviga
setensi ya Kiswahili
utungaji wa kiuamilifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
-      Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 136-138
6 1
Fasihi
Fasihi andishi
Kusoma
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege 
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege. 
mhepa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege. 
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege 
Kitabu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
6 2
Kusikiliza na kuongea
sarufi
kuandika
Fasihi
Miviga
setensi ya Kiswahili
utungaji wa kiuamilifu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua maana ya miviga
kutambua sifa za miviga
kutambua dhima ya miviga wahusika na changamoto za miviga
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
Kamusi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege 
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 135-136
6 3
Fasihi andishi
Ufahamu
Kuzikiliza na kuongea
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege 
Haki zetu binadamu
maigizo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kueleza ploti
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
Kusoma kwa zamu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy AregeI. 
Kitabu
Kamusi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
6 4-5
sarufi
Kuandika
Fasihi simulizi
Fasihi
Ufahamu
Kuzikiliza na kuongea
sarufi
Kuandika
aina za sentensi
utungaji wa kiuamilifu kumbukumbu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Haki zetu binadamu
maigizo
aina za sentensi
utungaji wa kiuamilifu kumbukumbu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za sentensi
mfano sentensi sahihi
sentensi ambatano
sentensi changamano
mwanafunzi Kuandika sentensi za aina mbali mbali za sentensi
mfano
kutumia viunganishi, vishazi viwili
-Kusoma kwa makini na kwa ufahamu kifungu cha habari
-kujibu vilivyo maswali ya ufahamu
Mjadala
Kutaja
kueleza
Kitabu
Kamusi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 146-147
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 147-148
6 6
Fasihi simulizi
Fasihi
Kusoma
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
usalama barabarani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa makini na kwa ufahamu onyesho la 1 na kuchambua vilivyo
-kuandika muhtasari wa matukio
Kusoma
kuchambua
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kitabu
Kamusi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
7 1
Kusikiliza na kuzungumza
sarufi
Kuandika
Fasihi
ushairi nyimbo
uchanganuzi wa sentensi
utungaji wa kiuamilifu tahadhari
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. ’
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kukariri mashairi
kuimba nyimno
kutambua dhima ya nyimbo
kutunga mifano wa wimbo
Kisikiliza na kushiriki
kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 156-157
7 2
Fasihi
Kusoma
Kisikiliza na kuongea
Uchambuzi: ‘Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
uzalendo
Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na ufahamu kila onyeso
-kuchambua vilivyo maudhui
-          Kusoma
Kuchambua
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
7 3
kusoma
Kuandika
Fasihi
Kusoma
uzalendo
mahojiano na dayolojia
Uchambuzi: Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Uzalendo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali
Kusoma
Kuchambua
Tamthilia
kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 169-170
7 4-5
Kisikiliza na kuongea
Sarufi
kusoma
Kuandika
Fasihi
Kusoma
Kisikiliza na kuongea
Hotuba
Nyakati na hali marudio
uzalendo
mahojiano na dayolojia
Uchambuzi:Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Uraibu
Fasihi simulizi Mafumbo Misimu Kazi mradi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali
-kusoma kwa makini na ufahamu kila onyeso
-kuchambua vilivyo maudhui
Malumbano
Kusoma
Kuchambua
Kitabu
Tamthilia
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 168-169
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
7 6
Sarufi
kusoma
Kuandika
Fasihi
Uakifishaji
Ukimwi
Barua meme
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuakifisha sentensi
kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali
Kutaja
Kueleza
kitabu
Tamthilia
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 181
8 1
Kusoma
Kusikiliza na kuongea
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Shairi
Vitenzi
Vitenzi
Mazingira fomu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa Shairi
-kujibu maswali ya ufahamu
Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 188-189
8 2
Fasihi
Fasihi andishi
Kusoma
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kusoma na Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Ufahamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
8 3
Sarufi
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Fasihi
Vitenzi
Methali
Utungaji wa kisanii
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutendama
Mafano
Kwaa- kwama
Tua- tuama
Mifano kwa sentesni
Pikipiki ilikuwama matopeni
Kauli ya kutendata
Mfano
Fumba- fumbuta
Kama- kamata
Mifano kwa sentensi
Askari walimkamata pwagu aliyenyakua rununu
Halima alikokota rukwama iliyojaa shehena
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
kamusi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
8 4-5
Fasihi andishi
Kusoma
Sarufi
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Fasihi
Fasihi andishi
Kusoma na kuchambuaNguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Urithi
Vitenzi
Maghani
Matangazo
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
kutambua Maghani
Kutaja sifa za Maghani, dhima ya Maghani na kutoa mifano
Kusoma kwa zamu
Kusikiliza
kuzungumza
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kitabu
kamusi
Kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 200
8-12

Mid term

12 6
Kusoma
Sarufi
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Fasihi
Fasihi andishi
Mchezo wa kuigiza: tusikate miti ovyo!
Vitenzi
Ngomezi
Ripoti
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kusoma na kuchambua Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
kamusi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 208-209

Your Name Comes Here


Download

Feedback