If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | MBINU | VIFAA | ASILIA | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
2 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Isimu jamii; Sajili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya sajili. Kutaja na kufafanua sifa za sajili ya dini. Kuigiza maamkizi na mazungumzo katika sehemu za maabadi. |
Kueleza
Kujadiliana Kuandika Kuuliza maswali Kuigiza |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 1-3
|
|
2 | 2 |
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi Sarufi Kusoma |
Ufahamu; Asali Yawa Shubiri
Viulizi Vivumishi vya Idadi Fasihi andishi; Muktadha na usuli wa tamthilia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maudhui ya ufahamu. Kufafanua maana za methali zilizotumika kwenye ufahamu. Kujibu maswali kwa usahihi. |
Kueleza
Kujadiliana Kuandika Kuuliza maswali Utafiti |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya Methali Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 3-7
|
|
2 | 3 |
Kusoma (fasihi)
Kusoma Kuandika Kusikiliza na kuzungumza |
Fasihi andishi; Muktadha na usuli wa tamthilia
Kusoma magazeti: Tahariri na Habari Utungaji wa Kiuamilifu: Barua Rasmi Dhima ya Fasihi kwa jumla |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi Kamusi ya Kiswahili Magazeti Nakala halisi ya barua rasmi Kitabu cha Fasihi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
2 | 4-5 |
Kusoma kwa Ufahamu
Kusoma (fasihi) Kusoma (fasihi) Sarufi |
Shairi: Mikanda Tujifungeni
Fasihi Andishi; Wahusika na uhusika katika Tamthilia Fasihi Andishi; Wahusika na uhusika katika Tamthilia ‘A’ Unganifu Virejeshi ‘O’ na ‘amba’ Matumizi ya ‘O’ rejeshi Viashiria visisitizi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kutaja maudhui katika shairi. Kueleza sifa bainifu za shairi huru. Kujibu maswali yatokanayo na shairi huru kwa usahihi. Kueleza muundo wa ‘A’ unganifu. Kutunga sentensi akitumia ‘A’ unganifu mwafaka pamoja na nomino. Kukamilisha sentensi kwa kutumia ‘A’ unganifu. |
Kusoma.
Kusikiliza Kuandika Kujadiliana Uchambuzi Kusoma Kusikiliza Kuandika Kujadiliana Kufanya zoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu cha Shairi Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 20-21
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 21-23 |
|
2 | 6 |
Kusoma (fasihi)
Kusoma |
Fasihi Andishi; Wahusika na uhusika katika Tamthilia
Kusoma kwa sauti; Barua kwa Mhariri |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutaja hulka (sifa) za wahusika katika tamthilia teule. Kueleza sifa za wahusika katika tamthilia teule. Kufafanua sifa za wahusika kwa kutoa mifano katika tamthilia. |
Kusoma
Kujadili Kuandika Kutafiti zaidi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi Kamusi ya Kiswahili Magazeti |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
3 | 1 |
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza Sarufi Kusoma (fasihi) |
Utungaji wa Kiuamilifu; Barua kwa Mhariri
Kusoma kwa Ufahamu; Zimwi Limeingia Duniani Vivumishi kwa pekee Fasihi andishi muundo na mtindo katika tamthilia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza muundo wa barua kwa mhariri. Kufafanua maudhui ya barua kwa mhariri. Kuandika barua kwa mhariri wa gazeti. |
Kueleza
Kujadili Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 29-31
|
|
3 | 2 |
Kusoma (fasihi)
Kusoma Kuandika Kusikiliza na kuzungumza |
Fasihi andishi muundo na mtindo katika tamthilia
Kusoma kwa Mapana; UKIMWI Utungaji wa Kiuamilifu; Resipe, Muhtasari Maamkizi na Mazungumzo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kufafanua muundo wa tamthilia kwa kutoa mifano. Kueleza mtindo katika tamthilia. Kutaja kaida za utunzi wa tamthilia. |
Kusoma
Kueleza Kujadili Kuandika Utafiti |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi Kamusi ya Kiswahili |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
3 | 3 |
Kusoma kwa Ufahamu
Kusoma (fasihi) Kusoma (fasihi) |
Umoja wa Kitaifa
Matumizi ya lugha katika fasihi Matumizi ya lugha katika fasihi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza umuhimu wa usanifishaji. Kusoma ufahamu, ‘Umoja wa Kitaifa’ Kufafanua mambo yanayosaidia kuleta umoja wa Kitaifa hapa nchini. |
Usomaji
Maelezo Maswali na majibu. Utafiti |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 43-44
|
|
3 | 4-5 |
Sarufi
Kusoma Kuandika Kusikiliza na kuzungumza Kusoma (fasihi) Kusikiliza na kuzungumza |
Vielezi
Utungaji wa Kiuamilifu; Hotuba Fasihi Simulizi; Mazungumzo Fasihi Simulizi; Malumbano ya Utani Fasihi andishi; Matumizi ya lugha katika tamthilia Fasihi Simulizi; Ulumbi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza dhana ya vielezi. Kueleza aina za vielezi. Kutunga sentensi kwa kutumia vielezi. Kutaja matumizi ya lugha mbalimbali. Kutumia tamthilia teule kutoa mifano. Kufafanua jinsi lugha imetumiwa kukuta ujumbe. |
Maelezo
Ufafanuzi Maswali na majibu Ufafanuzi Kusoma Kujadili Kueleza Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu cha Fasihi Simulizi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi Kamusi ya Kiswahili Kitabu cha Fasihi Simulizi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 44-48
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
|
3 | 6 |
Sarufi
Kusoma Kuandika Kusoma (fasihi) |
Viwakilishi (W)
Kusoma kwa Kina; Historia na Maendeleo ya Kiswahili Uandishi wa Insha; Insha ya Mazungumzo Fasihi andishi; Maadili na mafunzo katika tamthilia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutaja aina za viwakilishi. Kueleza na kubainisha aina za viwakilishi. Kutumia viwakilishi katika sentensi kwa usahihi. |
Kueleza
Kusoma Kujadili Kuandika Kujibu maswali |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 56-60
|
|
4 | 1 |
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza na kuzungumza Sarufi Kuandika |
Fasihi andishi;
Maadili na mafunzo katika tamthilia
Isimujamii; Mahakamani Mwingiliano wa Maneno Utungaji wa Kiuamilifu; Makala ya Redio na Runinga |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutaja maadili na mafunzo ya tamthilia teule. Kufafanua maadili na mafunzo ya tamthilia teule. Kueleza jinsi tamthilia inaafikiana na matukio ya sasa katika jamii. |
Kusoma
Kujadili Maswali na majibu Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi Kamusi ya Kiswahili Kitabu cha Fasihi Simulizi Redio na vinasa sauti |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
4 | 2 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi) Kusoma (fasihi) |
Isimujamii; Mahojiano kati ya Wataalamu Wawili
Kusoma kwa kina; Fasihi andishi Kusoma kwa kina; Fasihi andishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma kifungu na kueleza. Kueleza sifa za lugha (sajili) ya Wataalamu. Kupambanua mazungumzo kwa kuzingatia sajili. |
Kueleza
Kusoma Kujadili Kuigiza |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 72-73
|
|
4 | 3 |
Sarufi
Kusoma Kusoma Kusoma |
Vitenzi; Mzizi wa Kitenzi
Uchambuzi wa Fasihi Andishi Uchambuzi wa Fasihi Andishi Shairi Nyuki nimekoni? |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kubainisha mizizi ya vitenzi. Kutambua viambishi awali na tamati. Kuonyesha mzizi wa kila kitenzi alichopewa kisha anyambue. |
Kueleza
Kutunga sentensi Kuandika Kufanya zoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya kiswahili Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi Kitabu Kamusi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 74-75
|
|
4 | 4-5 |
Kusikiliza na kuongea
sarufi Kusoma kuandika Fasihi Kusoma Kusikiliza na kuzungumza |
Fasihi Simulizi
Vinyume vya vitenzi Maenezi ya Kiswahili Ratiba BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege Dini ya ulimwengu Visasili |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-sifa za soga Dhima ya soga Kusoma riwaya -kutambua wahusika mbalimbali na ngazi zao -kueleza sifa za wahusika |
kusikiliza
kusoma |
Kitabu
Kamusi BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege Kitabu Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 91-93
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege. |
|
4 | 6 |
sarufi
Kuandika Fasihi |
Uundaji wa nomino
Uandishi wa insha BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kueleza nomino kutokana na vitenzi vya asili ya kigeni kutaja aina mbalimbali za sentensi mifano- samehe, abiri, husudu |
Kutaja
Kueleza |
Kitabu
Kamusi BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 106-107
|
|
5 | 1 |
Kusoma
Marudio
2 Kusikiliza na kuzungumza |
Kukandamizwa
sarufi Fasihi simulizi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu -kutaja mambo muhimu yanayozingatiwa katika usemi wa taarifa |
- Kueleza
Kutaja Mifano |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 114-115
|
|
5 | 2 |
Kuandika
Fasihi Fasihi Kusoma |
Ushairi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege Kukandamizwa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuandika mashiri ya arudhi Kutoa miundo ya tungo |
- Maelezo
-Kuandika |
kitabu cha mwanafunzi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege. BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege Kitabu Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 118-122
|
|
5 | 3 |
2
Kusikiliza na kuzungumza Kuandika Fasihi |
sarufi
Fasihi simulizi Ushairi BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutoa maana ya Virai Aina mbalimbali ya virai Mfano Kirai nomino Kirai kitenzi Virai vielezi Kirai kivumishi Virai vihusishi |
- Kueleza
Kutaja Mifano |
Kitabu
Kamusi Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 115-118
|
|
5 | 4-5 |
Fasihi
kusoma Kusikiliza na kuzungumza Sarufi Kuandika Fasihi andishi Fasihi andishi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege.
mchezo wa kuigiza Maamkizi na mazungumzo- isimujamii vishazi wasifu BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutathmini nkufli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi -kutaja baadhi ya udhaifu huo -kutambua maana ya vishazi kutambua aina za vishazi vishazi huru vishazi tegemezi kutambua maana ya vishazi huru na vishazi tegemezi mwanafunzi Kuandika sentensi akitumia v. huru na v.tegemezi mfano vishazi huru Mwashi amewasili mgeni atakuja shuleni leo vishazi tegemezi jiwe lililomgonga cheti kilichopotea |
- Uchambuzi
Majadiliano - Kuandika Kutunga sentensi |
Hadithi fupi
kamusi Kitabu kitabu cha mwanafunzi Kitabu Kamusi BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 uk 128-129 |
|
5 | 6 |
Kusoma
Kusikiliza na kuongea sarufi kuandika |
mhepa
Miviga setensi ya Kiswahili utungaji wa kiuamilifu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu |
- Kusoma
Kujibu maswali |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 136-138
|
|
6 | 1 |
Fasihi
Fasihi andishi Kusoma |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege. mhepa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho …….. -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu |
Kuchambua
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege.
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege Kitabu |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
6 | 2 |
Kusikiliza na kuongea
sarufi kuandika Fasihi |
Miviga
setensi ya Kiswahili utungaji wa kiuamilifu BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua maana ya miviga kutambua sifa za miviga kutambua dhima ya miviga wahusika na changamoto za miviga |
Kusikiliza
kuzungumza |
Kitabu
Kamusi BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 135-136
|
|
6 | 3 |
Fasihi andishi
Ufahamu Kuzikiliza na kuongea |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Haki zetu binadamu maigizo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kueleza ploti -kuandika muhtasari wa matukio hayo |
Kusoma kwa zamu
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy AregeI.
Kitabu Kamusi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
6 | 4-5 |
sarufi
Kuandika Fasihi simulizi Fasihi Ufahamu Kuzikiliza na kuongea sarufi Kuandika |
aina za sentensi
utungaji wa kiuamilifu kumbukumbu Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. Haki zetu binadamu maigizo aina za sentensi utungaji wa kiuamilifu kumbukumbu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za sentensi mfano sentensi sahihi sentensi ambatano sentensi changamano mwanafunzi Kuandika sentensi za aina mbali mbali za sentensi mfano kutumia viunganishi, vishazi viwili -Kusoma kwa makini na kwa ufahamu kifungu cha habari -kujibu vilivyo maswali ya ufahamu |
Mjadala
Kutaja kueleza |
Kitabu
Kamusi Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 146-147
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 147-148 |
|
6 | 6 |
Fasihi simulizi
Fasihi Kusoma |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
usalama barabarani |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa makini na kwa ufahamu onyesho la 1 na kuchambua vilivyo -kuandika muhtasari wa matukio |
Kusoma
kuchambua |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Kitabu Kamusi |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
7 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza
sarufi Kuandika Fasihi |
ushairi
nyimbo
uchanganuzi wa sentensi utungaji wa kiuamilifu tahadhari Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. ’ |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kukariri mashairi kuimba nyimno kutambua dhima ya nyimbo kutunga mifano wa wimbo |
Kisikiliza na kushiriki
|
kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 156-157
|
|
7 | 2 |
Fasihi
Kusoma Kisikiliza na kuongea |
Uchambuzi:
‘Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
uzalendo Hotuba |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na ufahamu kila onyeso -kuchambua vilivyo maudhui |
- Kusoma
Kuchambua |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
kitabu |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
7 | 3 |
kusoma
Kuandika Fasihi Kusoma |
uzalendo
mahojiano na dayolojia Uchambuzi: Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. Uzalendo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali |
Kusoma
Kuchambua |
Tamthilia
kitabu Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 169-170
|
|
7 | 4-5 |
Kisikiliza na kuongea
Sarufi kusoma Kuandika Fasihi Kusoma Kisikiliza na kuongea |
Hotuba
Nyakati na hali marudio uzalendo mahojiano na dayolojia Uchambuzi:Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. Uraibu Fasihi simulizi Mafumbo Misimu Kazi mradi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali -kusoma kwa makini na ufahamu kila onyeso -kuchambua vilivyo maudhui |
Malumbano
Kusoma Kuchambua |
Kitabu
Tamthilia Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. kitabu |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 168-169
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
|
7 | 6 |
Sarufi
kusoma Kuandika Fasihi |
Uakifishaji
Ukimwi Barua meme Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuakifisha sentensi kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali |
Kutaja
Kueleza |
kitabu
Tamthilia Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 181
|
|
8 | 1 |
Kusoma
Kusikiliza na kuongea Kusikiliza na kuongea kuandika |
Shairi
Vitenzi Vitenzi Mazingira fomu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa Shairi -kujibu maswali ya ufahamu |
Kusoma
Kujibu maswali |
Kitabu
kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 188-189
|
|
8 | 2 |
Fasihi
Fasihi andishi Kusoma |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Kusoma na Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. Ufahamu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho …….. -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu |
Kuchambua
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Kitabu |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
8 | 3 |
Sarufi
Kusikiliza na kuongea kuandika Fasihi |
Vitenzi
Methali Utungaji wa kisanii Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutendama Mafano Kwaa- kwama Tua- tuama Mifano kwa sentesni Pikipiki ilikuwama matopeni Kauli ya kutendata Mfano Fumba- fumbuta Kama- kamata Mifano kwa sentensi Askari walimkamata pwagu aliyenyakua rununu Halima alikokota rukwama iliyojaa shehena |
Kusikiliza
kuzungumza |
Kitabu
kamusi Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
|
|
8 | 4-5 |
Fasihi andishi
Kusoma Sarufi Kusikiliza na kuongea kuandika Fasihi Fasihi andishi |
Kusoma na kuchambuaNguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Urithi Vitenzi Maghani Matangazo Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la … -kuandika muhtasari wa matukio hayo kutambua Maghani Kutaja sifa za Maghani, dhima ya Maghani na kutoa mifano |
Kusoma kwa zamu
Kusikiliza kuzungumza |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Kitabu kamusi Kitabu Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 200 |
|
8-12 |
Mid term |
|||||||
12 | 6 |
Kusoma
Sarufi Kusikiliza na kuongea kuandika Fasihi Fasihi andishi |
Mchezo wa kuigiza: tusikate miti ovyo!
Vitenzi Ngomezi Ripoti Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. Kusoma na kuchambua Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu |
Kusoma
Kujibu maswali |
Kitabu
kamusi Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 208-209
|
Your Name Comes Here