Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA NNE
MWAKA WA 2025
MUHULA WA II

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
2 1
Kusoma
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
2 2
Kusoma (fasihi)
Sarufi na matumizi ya lugha
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Upatanisho wa kisarufi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
2 3-4
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusikiliza na kuzungumza
Upatanisho wa kisarufi
Isimu jamii: Lugha ya itifaki
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza upatanisho wa kisarufi kati ya nomino na vivumishi.
-Kutunga sentensi akizingatia upatanisho sahihi wa kisarufi.
-Kukamilisha jedwali kutumia kirejeshi amba- na ‘o’ rejeshi.


-Kueleza mazingira ambamo lugha ya itifaki hutumiwa.
-Kufafanua sifa za lugha ya itifaki.
-Kueleza umuhimu wa lugha ya itifaki.
Tajriba.
Maswali na majibu.
Mifano.
Mazoezi.
Marudio
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 13-17
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 21-22
2 5
Ufupisho
Kusoma kwa kina
Muhtasari
Maudhui katika fasihi andishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza maana ya sarufi.
-Kueleza mambo muhimu ya kuzingatia katika ufupisho.
-Kuandika muhtasari wa taarifa kwa usahihi.
Kusoma
Majadiliano
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 22-23
2 6
Kuandika
Tahakiki
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza maana ya Tahakiki.
-Kuorodhesha mambo anayohitaji kuzingatia mhakiki anapoandika Tahakiki.
-Kuandika tahikiki ya maneno yasiyopungua 400 wala kuzidi 450.
Kueleza
Kujadili
Kujibu maswali
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 27-29
3 1
Sarufi na matumizi ya lugha
Viwakilishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza maana ya viwakilishi.
-Kuainisha viwakilishi mbalimbali na mifano yake.
-Kufafanua matumizi ya viwakilishi.
-Kutunga sentensi kwa kutumia viwakilishi.
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Majadiliano
Mazoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 36-42
3 2
Sarufi na matumizi ya lugha
Viwakilishi
Aina za maneno: Vivumishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kuainisha viwakilishi mbalimbali na mifano yake.
-Kufafanua matumizi ya viwakilishi.
-Kutunga sentensi kwa kutumia viwakilishi.
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Majadiliano
Mazoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 36-42
3 3-4
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusikiliza na kuzungumza
Aina za maneno: Vivumishi
Ufahamu wa kusikiliza
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kuainisha vivumishi.
-Kutoa mifano ya vivumishi.
-Kutumia vivumishi katika sentensi.

somo, ;
Kusoma kwa sauti na kimya.
Kujibu maswali.
Kueleza ni funzo gani unalolipata kutokana na kisa ulichokisoma
Maelezo
Ufafanuzi.
Utafiti.
Kutoa mifano
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuuliza maswali
Kuigiza
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi

Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya fasihi simulizi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 51-54
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 96-97
3 5
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi na matumizi ya lugha
Ufahamu
Mnyambuliko vitenzi II
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma ufahamu.
Kutoa maelezo kuhusu jinsi Kiswahili kinavyotumika katika vyombo vya habari Duniani.
Kufafanua na kutunga sentensi semi na msamiati.
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuuliza maswali
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 97-98
3 6
Sarufi na matumizi ya lugha
Mnyambuliko vitenzi vya silabi ya konsonanti moja
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza mnyambuliko vitenzi vya silabi ya konsonanti moja.
Kubainisha kauli ya kutendea, kutendwa, kutendeka, kutendewa na kutendesha.
Kutunga sentensi akitumia vitenzi kudhihirisha maana za kauli husika.
Tajriba.
Maswali na majibu.
Mifano.
Mazoezi.
Marudio
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 100-102
4 1
Kusoma (fasihi)
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
4 2
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Muundo na mtindo katika fasihi andishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
4 3-4
Kuandika
Fasihi
Utafiti wa kazi za fasihi simulizi
Ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya neno ‘utafiti’
Kufafanua njia za Utafiti wa fasihi simulizi.
Kueleza vifaa vinavyoweza kutumika katika Utafiti wa fasihi simulizi nyanjani.

somo, ;
Kukariri shairi.
Kuonyesha dhamira ya mshairi.
Kueleza uhuru wa kishairi alizozitumia mshairi.
Kueleza
Kusoma
Kuigiza
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 105-106
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 112-113
4 5
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi)
Miviga
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kufafanua maana ya miviga katika jamii
Kubainisha umuhimu wa miviga katika jamii
Kubainisha miviga mizuri na kuendeleza na mibaya kupingwa vita
Kueleza
Kusikiliza
Kujadili
Kusoma makala kitabuni kwa sauti
kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 115-116
4 6
Kusoma (fasihi)
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
5 1
Ufupisho
Ufupisho
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma hadithi na kuelewa ujumbe
Kudondoa hoja muhimu
Kufupisha hadithi kwa urefu ulioulizwa
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 116-118
5 2
Sarufi na matumizi ya lugha
Aina za maneno; Vielezi
Aina za maneno; Viunganishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutaja aina za vielezi.
Kueleza aina za vielezi.
Kutunga sentensi akitumia aina za vielezi.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 118-121
5 3-4
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma (fasihi)
Aina za maneno; Vihusishi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutaja aina za vihusishi.
Kueleza aina za vihusishi.
Kueleza dhima ya vihusishi katika sentensi.
Kutunga sentensi akitumia vihusishi.
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu

Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 123-124
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
5 5
Kusoma (fasihi)
Sarufi na matumizi ya lugha
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Aina za maneno; Vihisishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
5 6
Kusoma kwa kina
Mashairi ya arudhi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya shairi ya arudhi.
Kufafanua maudhui ya shairi la arudhi.
Kubainisha mafunzo ya shairi hilo.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 126-128
6 1
Kuandika
Memo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutambua maana ya memo.
Kueleza muundo wa memo.
Kuandika memo.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 128-129
6 2
Kuandika
Kusoma (fasihi)
Baruameme
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutambua maana ya baruameme
Kueleza muundo wa baruameme.
Kuandika baruameme.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 129-130
6 3-4
Kusoma (fasihi)
Kuandika
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Ujumbe wa rununu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
somo, ;
Kueleza umuhimu wa rununu
Kueleza muundo wa ujumbe wa rununu
Kuandika ujumbe wa rununu
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 130
6 5
Kusikiliza na kuzungumza
Ngano
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya ngano.
Kueleza umuhimu wa ngano.
Kufafanua sifa za ngano kwa ujumla.
Kusoma
Majadiliano
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 131-134
6 6
Sarufi na matumizi ya lugha
Uundaji wa maneno
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kuunda nomino kutoka na vitenzi.
Kutunga nomino kutokana na aina nyingine za maneno.
Kubainisha vivumishi kutokana na aina nyingine za maneno.
Kueleza
Kujadili
Kujibu maswali
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 137-139
7 1
Kusoma (fasihi)
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
7 2
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa mapana
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Changamoto zinazoikabili lugha ya Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
7 3-4
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Insha za masimulizi
Mighani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kujieleza kwa mtiririko ufaao
Kutambua hatua za uandishi bora wa insha maelezo
Kuandika insha ya maelezo kwa kutumia fani mbalimbali za lugha

somo, ;
Kufafanua maana ya mighani
Kubainisha sifa za mighani
Kutoa mifano kwa mighani katika jamii yake.
Kueleza
Kujadili
Kujibu maswali
Utafiti.
Mifano.
Uchunguzi.
Kazi mradi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 142
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 143-144
7 5
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma (fasihi)
Mwingiliano wa aina za maneno
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza jinsi aina za maneno hubadilika kutegemea utendaji kazi yake katika sentensi
Kufafanua jinsi aina za maneno huingiliana.
Kubainisha maneno yaliyopigwa mistari ni ya aina gani.
Kutunga sentensi akitumia msamiati ufaao
Mashindano
Majadiliano
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 146-148
7 6
Kusoma (fasihi)
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
8 1
Kusoma kwa mapana
Wajibu wa Kiswahili Kitaifa na kimataifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma taarifa inayohusu Wajibu wa Kiswahili Kitaifa na kimataifa.
Kueleza mambo yanayothibitisha nafasi ya Kiswahili kimataifa.
Kufafanua Wajibu unaotekelezwa na lugha ya Kiswahili kulingana na taarifa.
Usomaji.
Maelezo.
Maswali na majibu.
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 148-149
8 2
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Kumbukumbu
Isimujamii: Matumizi ya lugha katika hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza muundo wa insha ya kumbukumbu
Kudondoa makosa yote katika insha yake na kuyarekebisha
Kuandika insha ya kumbukumbu upya bila makosa yoyote
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Majadiliano
Mazoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 150-152
8 3-4
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma (fasihi)
Nyakati, hali na ukanushaji wake
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kufafanua matumizi ya si-, -me- na –ki-
Kubainisha kanuni za ukanushaji wa hali hizo
Kukanusha sentensi hali hizo tatu

Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Masimulizi
Uchunguzi
Kuandika
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi

Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 156-158
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
8 5
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa mapana
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Historia ya lugha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
8 6
Kuandika
Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya hotuba.
Kutambua umuhimu wa hotuba.
Kufafanua muundo wa hotuba.
Kuandika hotuba.
Usomaji.
Maelezo.
Maswali na majibu.
Utafiti.
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 160-161
9

Exam&Midterm break

10 1
Kusikiliza na kuzungumza
Isimujamii: Sajili ya viwandani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya sajili ya viwandani.
Kufafanua sajili ya viwandani.
Kueleza jinsi uhusiano wa wahusika viwandani unavyodhibiti matumizi ya lugha viwandani.
Maelezo
Ufafanuzi.
Utafiti.
Kutoa mifano
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 162
10 2
Ufahamu
Kusoma (fasihi)
Mawasiliano katika tarakilishi na utandawazi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma kwa sauti na kimya.
Kujibu maswali.
Kutaja sifa zinazodhihirisha mchakato wa mawasiliano kupitia tarakilishi.
Maelezo
Ufafanuzi.
Majadiliano.
Uchunguzi.
Kazi ya vikundi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 163-165
10 3-4
Kusoma (fasihi)
Sarufi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Ukanushaji wa hali II
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
somo, ;
Kufafanua matumizi ya –a-, -po-, -nge-, -ngali- na –ngeli-
Kubainisha kanuni za ukanushaji wa hali hizo
Kukanusha sentensi hali hizo tatu
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Maelezo
Ufafanuzi.
Mifano.
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 165-167
10 5
Kusoma kwa kina
Kuandika
Kamliwaze
Insha ya mawazo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma shairi, ‘Kamliwaze’
Kuchambua shairi hili, ‘Kamliwaze’
Kujibu maswali.
Ufaraguzi
Utafiti
Maelezo
Ufanunuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 168
10 6
Kusikiliza na kuzungumza
Mawaidha katika fasihi simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya mawaidha katika fasihi simulizi.
Kufafanua sifa za mawaidha.
Kutaja dhima ya mawaidha.
Usomaji.
Utafiti.
Utatuzi wa mambo.
Uchunguzi kifani
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 170-171
11 1
Kusoma (fasihi)
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
11 2
Kusoma (fasihi)
Ufahamu
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Ufahamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
11 3-4
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma kwa kina
Uakifishaji
Idhini ya kishairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma kifungu kisha kutoa mifano ya matumizi ya lugha na alama za uakifishaji.
Kutaja alama za uakifishaji zilizotumiwa katika kifungu.
Kugeuza sentensi ziwe katika usemi halisi.
Kuandika sentensi katika usemi taarifa.

somo, ;
Kueleza maana ya ‘Idhini ya kishairi’
Kutaja Idhini za kishairi anazoweza kuzitumia mshairi.
Kueleza sababu za mshairi kutumia Idhini ya kishairi.
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha mbele ya darasa
Kuandika
Maelezo.
Kuigiza.
Kuandika.
Maswali na majibu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 173-175
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 175-176
11 5
Kuandika
Kusoma (fasihi)
Insha ya wasifu
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya wasifu
Kutambua sifa za wasifu na umuhimu wake.
Kuandika wasifu yake kwa muundo sahihi.
Maelezo
Ufafanuzi.
Maswali na majibu.
Majadiliano.
Tajriba
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 176
11 6
Kusoma (fasihi)
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
12 1
Kuandika
Maagizo na maelekezo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya maagizo ya maelekezo.
Kufafanua muundo wa kuandika maagizo/maelekezo.
Kueleza vipengele vya kuandika maagizo/maelekezo
Maelezo.
Majadiliano.
Tajriba.
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 193
12 2
Sarufi na matumizi ya lugha
Kuandika
Virai
Dayalojia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya kirai.
Kutambua aina za virai.
Kutunga sentensi kudhihirisha aina za virai.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 198-199
12 3-4
Kuandika
Ratiba
Barua kwa mhariri
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya ratiba.
Kufafanua umuhimu wa ratiba.
Kutaja mambo muhimu ya kuzingatia mtu anapoandika ratiba.
Kuandika ratiba.

somo, ;
Kueleza muundo wa barua kwa mhariri.
Kutaja sifa za barua kwa mhariri.
Kuandika barua kwa mhariri.
Kusoma.
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Mifano.
Majadiliano
Maelezo
Ufafanuzi
Tajriba
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 216-217
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 227-228
12 5
Kusoma kwa kina
Kusikiliza na kuzungumza
Wahusika na uhusika katika fasihi andishi
Isimu jamii: Sajili ya mahakamani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya wahusika katika fasihi andishi.
Kufafanua umuhimu wa wahusika katika fasihi andishi.
Kutaja aina za wahusika katika fasihi andishi.
Utafiti.
Mifano.
Uchunguzi.
Kazi mradi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 233-234
12 6
Kusikiliza na kuzungumza
Changamoto za fasihi simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza sifa za fasihi simulizi.
Kutaja aina za fasihi simulizi.
Kufafanua changamoto za fasihi simulizi.
Masimulizi
Uchunguzi
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 242
14

Endterm exams


Your Name Comes Here


Download

Feedback