Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA NNE
MWAKA WA 2025
MUHULA WA II

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
2 1
Kusikiliza na kuzungumza
Ufahamu wa kusikiliza
Ufahamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma kwa sauti na kimya.
Kujibu maswali.
Kueleza ni funzo gani unalolipata kutokana na kisa ulichokisoma
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuuliza maswali
Kuigiza
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya fasihi simulizi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 96-97
2 2
Sarufi na matumizi ya lugha
Mnyambuliko vitenzi II
Mnyambuliko vitenzi vya silabi ya konsonanti moja
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza mnyambuliko wa vitenzi.
Kuainisha kauli mbalimbali za vitenzi.
Kufafanua maana ya vitenzi katika kauli mbalimbali.
Ufafanuzi.
Maelezo.
Mifano
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 98-100
2 3
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma sura ya kwanza ya hadithi fupi (Fadhili za punda)
Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya kwanza.
Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya kwanza.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
2 4
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Muundo na mtindo katika fasihi andishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma na kueleza maudhui katika sura ya kwanza
Kupambanua sifa za wahusika katika sura ya kwanza
Kujibu maswali
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
2 5
Kuandika
Utafiti wa kazi za fasihi simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya neno ‘utafiti’
Kufafanua njia za Utafiti wa fasihi simulizi.
Kueleza vifaa vinavyoweza kutumika katika Utafiti wa fasihi simulizi nyanjani.
Kueleza
Kusoma
Kuigiza
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 105-106
2 6
Fasihi
Kusikiliza na kuzungumza
Ushairi
Miviga
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kukariri shairi.
Kuonyesha dhamira ya mshairi.
Kueleza uhuru wa kishairi alizozitumia mshairi.
Kueleza
Kusoma
Kuigiza
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 112-113
3 1
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma sura ya pili ya hadithi fupi (Fadhili za punda)
Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya pili.
Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya pili.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
3 2
Ufupisho
Ufupisho
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma hadithi na kuelewa ujumbe
Kudondoa hoja muhimu
Kufupisha hadithi kwa urefu ulioulizwa
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 116-118
3 3
Sarufi na matumizi ya lugha
Aina za maneno; Vielezi
Aina za maneno; Viunganishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutaja aina za vielezi.
Kueleza aina za vielezi.
Kutunga sentensi akitumia aina za vielezi.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 118-121
3 4
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma (fasihi)
Aina za maneno; Vihusishi
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutaja aina za vihusishi.
Kueleza aina za vihusishi.
Kueleza dhima ya vihusishi katika sentensi.
Kutunga sentensi akitumia vihusishi.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 123-124
3 5
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma na kueleza maudhui katika sura ya nne na ya tano
Kupambanua sifa za wahusika katika sura ya nne na ya tano
Kujibu maswali.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
3 6
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma kwa kina
Aina za maneno; Vihisishi
Mashairi ya arudhi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutaja aina za vihisishi.
Kueleza aina za vihisishi.
Kueleza dhima ya vihisishi katika sentensi.
Kutunga sentensi akitumia vihisishi.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kamusi
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 124-125
4 1
Kuandika
Memo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutambua maana ya memo.
Kueleza muundo wa memo.
Kuandika memo.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 128-129
4 2
Kuandika
Kusoma (fasihi)
Baruameme
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutambua maana ya baruameme
Kueleza muundo wa baruameme.
Kuandika baruameme.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 129-130
4 3
Kusoma (fasihi)
Kuandika
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Ujumbe wa rununu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma na kueleza maudhui katika sura ya sita
Kupambanua sifa za wahusika katika sita
Kujibu maswali.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kamusi
Kitabu teule
4 4
Kusikiliza na kuzungumza
Ngano
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya ngano.
Kueleza umuhimu wa ngano.
Kufafanua sifa za ngano kwa ujumla.
Kusoma
Majadiliano
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 131-134
4 5
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi na matumizi ya lugha
Ngano
Uundaji wa maneno
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutaja aina za ngano
Kutoa mifano ya ngano, mfano mifano za ngano za mtanziko.
Teua aina za wahusika wanaotumika katika ngano na ufafanue matumizi yao.
Kusoma
Majadiliano
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 133-134
4 6
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma sura ya saba (Kila Mchezea Wembe)
Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya saba.
Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya saba.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
5 1
Kusoma kwa mapana
Changamoto zinazoikabili lugha ya Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kujadili matatizo yanayozikabili lugha ya Kiswahili kwa mujibu wa taarifa.
Kueleza jinsi Changamoto zinazoikumbuka lugha ya Kiswahili zinavyoweza kukabiliwa.
Kufafanua jinsi lugha ya Kiswahili inaweza kusambazwa nchini.
Maelezo
Ufafanuzi
Majadiliano.
Uchunguzi.
Kazi ya vikundi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 139-141
5 2
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Insha za masimulizi
Mighani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kujieleza kwa mtiririko ufaao
Kutambua hatua za uandishi bora wa insha maelezo
Kuandika insha ya maelezo kwa kutumia fani mbalimbali za lugha
Kueleza
Kujadili
Kujibu maswali
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 142
5 3
Sarufi na matumizi ya lugha
Mwingiliano wa aina za maneno
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza jinsi aina za maneno hubadilika kutegemea utendaji kazi yake katika sentensi
Kufafanua jinsi aina za maneno huingiliana.
Kubainisha maneno yaliyopigwa mistari ni ya aina gani.
Kutunga sentensi akitumia msamiati ufaao
Mashindano
Majadiliano
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 146-148
5 4
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma sura ya nane (Kifo cha Suluhu)
Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya nane.
Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya nane.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
5 5
Kusoma kwa mapana
Kuandika
Wajibu wa Kiswahili Kitaifa na kimataifa
Kumbukumbu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma taarifa inayohusu Wajibu wa Kiswahili Kitaifa na kimataifa.
Kueleza mambo yanayothibitisha nafasi ya Kiswahili kimataifa.
Kufafanua Wajibu unaotekelezwa na lugha ya Kiswahili kulingana na taarifa.
Usomaji.
Maelezo.
Maswali na majibu.
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 148-149
5 6
Kusikiliza na kuzungumza
Isimujamii: Matumizi ya lugha katika hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza matumizi ya lugha katika hotuba.
Kufafanua sifa za lugha ya hotuba.
Kutambua umuhimu wa Utoaji hotuba
Kudadisi
Uchunguzi
Ufafanuzi
Uhakiki
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 153
6 1
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma (fasihi)
Nyakati, hali na ukanushaji wake
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kufafanua matumizi ya si-, -me- na –ki-
Kubainisha kanuni za ukanushaji wa hali hizo
Kukanusha sentensi hali hizo tatu
Masimulizi
Uchunguzi
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 156-158
6 2
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa mapana
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Historia ya lugha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma na kueleza maudhui katika sura ya tisa.
Kupambanua sifa za wahusika katika sura ya tisa.
Kujibu maswali.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kamusi
Kitabu teule
6 3
Kuandika
Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya hotuba.
Kutambua umuhimu wa hotuba.
Kufafanua muundo wa hotuba.
Kuandika hotuba.
Usomaji.
Maelezo.
Maswali na majibu.
Utafiti.
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 160-161
6 4
Kusikiliza na kuzungumza
Ufahamu
Isimujamii: Sajili ya viwandani
Mawasiliano katika tarakilishi na utandawazi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya sajili ya viwandani.
Kufafanua sajili ya viwandani.
Kueleza jinsi uhusiano wa wahusika viwandani unavyodhibiti matumizi ya lugha viwandani.
Maelezo
Ufafanuzi.
Utafiti.
Kutoa mifano
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 162
6 5
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma sura ya kumi (Toba ya Kalia)
Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya kumi.
Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya kumi.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
6 6
Kusoma (fasihi)
Sarufi
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Ukanushaji wa hali II
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma na kueleza maudhui katika sura ya kumi.
Kupambanua sifa za wahusika katika sura ya kumi.
Kujibu maswali.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kamusi
Kitabu teule
7 1
Kusoma kwa kina
Kuandika
Kamliwaze
Insha ya mawazo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma shairi, ‘Kamliwaze’
Kuchambua shairi hili, ‘Kamliwaze’
Kujibu maswali.
Ufaraguzi
Utafiti
Maelezo
Ufanunuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 168
7 2
Kusikiliza na kuzungumza
Mawaidha katika fasihi simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya mawaidha katika fasihi simulizi.
Kufafanua sifa za mawaidha.
Kutaja dhima ya mawaidha.
Usomaji.
Utafiti.
Utatuzi wa mambo.
Uchunguzi kifani
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 170-171
7 3
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma sura ya kumi na moja (Nipe nafasi)
Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya kumi na moja.
Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya kumi na moja.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
7 4
Ufahamu
Sarufi na matumizi ya lugha
Ufahamu
Uakifishaji
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kufafanua mawazo makuu katika kifungu
Kueleza msamiati na kuutungia sentensi kwa usahihi
Kujibu maswali ya ufahamu kiukamilifu
Maelezo.
Mifano.
Mazoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 171-172
7 5
Kusoma kwa kina
Idhini ya kishairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya ‘Idhini ya kishairi’
Kutaja Idhini za kishairi anazoweza kuzitumia mshairi.
Kueleza sababu za mshairi kutumia Idhini ya kishairi.
Maelezo.
Kuigiza.
Kuandika.
Maswali na majibu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 175-176
7 6
Kuandika
Kusoma (fasihi)
Insha ya wasifu
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya wasifu
Kutambua sifa za wasifu na umuhimu wake.
Kuandika wasifu yake kwa muundo sahihi.
Maelezo
Ufafanuzi.
Maswali na majibu.
Majadiliano.
Tajriba
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 176
8 1
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Ngomezi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma na kueleza maudhui katika sura ya kumi na mbili.
Kupambanua sifa za wahusika katika sura ya kumi na mbili.
Kujibu maswali.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kamusi ya fasihi simulizi
Kitabu teule
8 2
Sarufi na matumizi ya lugha
Muundo wa sentensi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutaja vikundi vya nomino.
Kueleza kikundi nomino(KN) na kikundi tenzi (KT)
Kutunga sentensi kubainisha vikundi nomino.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 180-183
8 3
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Tawasifu
Isimu jamii: Sajili ya michezoni
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya tawasifu
Kueleza sifa za tawasifu
Kuandika tawasifu kwa lugha inayokubalika
Kuandika
Kueleza
Kujibu maswali
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 185-186
8 4
Kusoma
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutaja vipengele vya kutumia kupata maadili ya kitabu teule.
Kueleza maana ya anwani na umuhimu wake.
Kufafanua wahusika na jinsi wanavyojenga maadili.
Kusoma.
Kusikiliza.
Kuandika.
Kujadiliana.
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu teule
8 5
Kusoma (fasihi)
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba
Yambwa na chagizo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutambua mbinu za sanaa katika hadithi fupi
Kufafanua mbinu za sanaa na dhima yake katika hadithi
Kupanua kitembo chake cha msamiati na fani za lugha.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu teule
8 6
Kuandika
Sarufi na matumizi ya lugha
Maagizo na maelekezo
Virai
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya maagizo ya maelekezo.
Kufafanua muundo wa kuandika maagizo/maelekezo.
Kueleza vipengele vya kuandika maagizo/maelekezo
Maelezo.
Majadiliano.
Tajriba.
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 193
9

Mid term break

10 1
Kuandika
Dayalojia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma na kuigiza dayalojia kwa ufasaha.
Kujibu maswali kutokana na dayalojia.
Kuandika dayalojia.
Uigizaji
Maelezo
Ufafanuzi.
Maswali na majibu
Kazi mradi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 200
10 2
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutambua mbinu za sanaa katika hadithi fupi
Kufafanua mbinu za sanaa na dhima yake katika hadithi
Kupanua kitembo chake cha msamiati na fani za lugha.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu teule
10 3
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi na matumizi ya lugha
Nyimbo na maghani
Vishazi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya nyimbo na maghani.
Kutaja sifa za nyimbo na maghani.
Kutaja na kueleza aina za nyimbo
Kufafanua umuhimu wa nyimbo na maghani.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 209-212
10 4
Kuandika
Ratiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya ratiba.
Kufafanua umuhimu wa ratiba.
Kutaja mambo muhimu ya kuzingatia mtu anapoandika ratiba.
Kuandika ratiba.
Kusoma.
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 216-217
10 5
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi)
Ulumbi
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya ulumbi.
Kueleza majukumu ya walumbi.
Kufafanua umuhimu wa ulumbi
Kutoa mifano ya walumbi.
Maelezo
Uchunguzi kifani
Utazamaji
Kutoa mifano
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 218-219
10 6
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza muktadha wa vitabu
Kuchambua vipengele vya fasihi-maudhui, wahusika na lugha
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu teule
11 1
Kuandika
Sarufi na matumizi ya lugha
Barua kwa mhariri
Uchanganuzi wa sentensi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza muundo wa barua kwa mhariri.
Kutaja sifa za barua kwa mhariri.
Kuandika barua kwa mhariri.
Mifano.
Majadiliano
Maelezo
Ufafanuzi
Tajriba
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 227-228
11 2
Kusoma kwa kina
Kuandika
Wahusika na uhusika katika fasihi andishi
Barua kwa mhariri wa gazeti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya wahusika katika fasihi andishi.
Kufafanua umuhimu wa wahusika katika fasihi andishi.
Kutaja aina za wahusika katika fasihi andishi.
Utafiti.
Mifano.
Uchunguzi.
Kazi mradi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 233-234
11 3
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza muktadha
Kuchambua vipengele vya fasihi lugha, wahusika na fani
Kujibu maswali
Kusoma
Kujadili
Kusikiliza
kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu teule
11 4
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba
Isimu jamii: Sajili ya mahakamani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza mtiririko wa kitabu teule
Kuchambua vipengele tofauti za fasihi – lugha, wahusika na maudhui.
Kujibu maswali
Kusoma
Kujadili
Kusikiliza
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu teule
11 5
Sarufi na matumizi ya lugha
Kuandika
Uchanganuzi wa fungu tenzi
Insha ya mazungumzo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya fungu tenzi.
Kuchanganua fungu tenzi kama sentensi sahili au kishazi tegemezi.
Kuandika mifano ya fungu tenzi.
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Majadiliano
Mazoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 238-239
11 6
Kusikiliza na kuzungumza
Changamoto za fasihi simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza sifa za fasihi simulizi.
Kutaja aina za fasihi simulizi.
Kufafanua changamoto za fasihi simulizi.
Masimulizi
Uchunguzi
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 242
12 1
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
Kubainisha aina za wahusika.
Kueleza sifa bainifu za aina mbali mbali za wahusika.
Kueleza umuhimu wa wahusika mbalimbali.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kuigiza
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu teule
12 2
Sarufi na matumizi ya lugha
Viambishi maalumu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya viambishi maalumu.
Kutaja aina za viambishi maalumu.
Kutunga sentensi kubainisha matumizi ya kiambishi –ku-, -ndi-, -ji-
Kuandika
Kuuliza maswali
Kujibu maswali
Kuigiza
Majadiliano.
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 244-247
12 3
Kusoma kwa mapana
Kuandika
Tahariri kutoka magazetini
Mjadala
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma mfano wa tahariri.
Kueleza mambo ambayo yalifanyika kwa ajili ya kuiimarisha lugha ya Kiswahili.
Kutaja vizuizi vinavyokabiliwa kwa kukua lugha ya Kiswahili.
Usomaji.
Maelezo.
Maswali na majibu.
Utafiti.
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 247-248
12 4
Kusoma kwa kina
Kusoma (fasihi)
Matangazo
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya Matangazo.
Kufafanua umuhimu wa Matangazo.
Kutaja aina za Matangazo.
Kueleza sifa za Matangazo
Kuandika Matangazo.
Maelezo
Ufafanuzi.
Majadiliano.
Uchunguzi.
Kazi ya vikundi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 256-258
12 5
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza umuhimu wa lugha katika kitabu teule.
Kuchambua tamathali na matumizi ya lugha katika kitabu teule.
Kueleza sajili na muktadha wa lugha mbalimbali.
Kusoma
Kuadili
Kudodoso fani za lugha
Kuandika
Kuwasilisha mbele ya darasa
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu teule
12-14

EXAMINATION AND CLOSING OF SCHOOL


Your Name Comes Here


Download

Feedback