Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA NNE
MWAKA WA 2025
MUHULA WA II

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
2 1-2
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi na matumizi ya lugha
Ufahamu wa kusikiliza
Ufahamu
Mnyambuliko vitenzi II
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma kwa sauti na kimya.
Kujibu maswali.
Kueleza ni funzo gani unalolipata kutokana na kisa ulichokisoma

somo, ;
Kueleza mnyambuliko wa vitenzi.
Kuainisha kauli mbalimbali za vitenzi.
Kufafanua maana ya vitenzi katika kauli mbalimbali.
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuuliza maswali
Kuigiza
Utafiti
Ufafanuzi.
Maelezo.
Mifano
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya fasihi simulizi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 96-97
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 98-100
2 3
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma (fasihi)
Mnyambuliko vitenzi vya silabi ya konsonanti moja
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza mnyambuliko vitenzi vya silabi ya konsonanti moja.
Kubainisha kauli ya kutendea, kutendwa, kutendeka, kutendewa na kutendesha.
Kutunga sentensi akitumia vitenzi kudhihirisha maana za kauli husika.
Tajriba.
Maswali na majibu.
Mifano.
Mazoezi.
Marudio
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 100-102
2 4
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Muundo na mtindo katika fasihi andishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
2 5
Kuandika
Utafiti wa kazi za fasihi simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya neno ‘utafiti’
Kufafanua njia za Utafiti wa fasihi simulizi.
Kueleza vifaa vinavyoweza kutumika katika Utafiti wa fasihi simulizi nyanjani.
Kueleza
Kusoma
Kuigiza
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 105-106
2 6
Fasihi
Kusikiliza na kuzungumza
Ushairi
Miviga
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kukariri shairi.
Kuonyesha dhamira ya mshairi.
Kueleza uhuru wa kishairi alizozitumia mshairi.
Kueleza
Kusoma
Kuigiza
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 112-113
3 1-2
Kusoma (fasihi)
Kusoma (fasihi)
Ufupisho
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Ufupisho
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
3 3
Sarufi na matumizi ya lugha
Aina za maneno; Vielezi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutaja aina za vielezi.
Kueleza aina za vielezi.
Kutunga sentensi akitumia aina za vielezi.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 118-121
3 4
Sarufi na matumizi ya lugha
Aina za maneno; Viunganishi
Aina za maneno; Vihusishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutaja aina za viunganishi.
Kueleza aina za viunganishi.
Kueleza dhima ya viunganishi katika sentensi.
Kutunga sentensi akitumia aina za vivumishi.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 121-123
3 5
Kusoma (fasihi)
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
3 6
Sarufi na matumizi ya lugha
Aina za maneno; Vihisishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutaja aina za vihisishi.
Kueleza aina za vihisishi.
Kueleza dhima ya vihisishi katika sentensi.
Kutunga sentensi akitumia vihisishi.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 124-125
4-5

Week 4 & 5 Buntra exam

6 1-2
Kusoma kwa kina
Kuandika
Mashairi ya arudhi
Memo
Baruameme
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya shairi ya arudhi.
Kufafanua maudhui ya shairi la arudhi.
Kubainisha mafunzo ya shairi hilo.

somo, ;
Kutambua maana ya baruameme
Kueleza muundo wa baruameme.
Kuandika baruameme.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 126-128
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 129-130
6 3
Kusoma (fasihi)
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
6 4
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Ujumbe wa rununu
Ngano
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza umuhimu wa rununu
Kueleza muundo wa ujumbe wa rununu
Kuandika ujumbe wa rununu
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 130
6 5
Kusikiliza na kuzungumza
Ngano
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutaja aina za ngano
Kutoa mifano ya ngano, mfano mifano za ngano za mtanziko.
Teua aina za wahusika wanaotumika katika ngano na ufafanue matumizi yao.
Kusoma
Majadiliano
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 133-134
6 6
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma (fasihi)
Uundaji wa maneno
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kuunda nomino kutoka na vitenzi.
Kutunga nomino kutokana na aina nyingine za maneno.
Kubainisha vivumishi kutokana na aina nyingine za maneno.
Kueleza
Kujadili
Kujibu maswali
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 137-139
7 1-2
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa mapana
Kuandika
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Changamoto zinazoikabili lugha ya Kiswahili
Insha za masimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
somo, ;
Kujadili matatizo yanayozikabili lugha ya Kiswahili kwa mujibu wa taarifa.
Kueleza jinsi Changamoto zinazoikumbuka lugha ya Kiswahili zinavyoweza kukabiliwa.
Kufafanua jinsi lugha ya Kiswahili inaweza kusambazwa nchini.
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Maelezo
Ufafanuzi
Majadiliano.
Uchunguzi.
Kazi ya vikundi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 139-141
7 3
Kusikiliza na kuzungumza
Mighani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kufafanua maana ya mighani
Kubainisha sifa za mighani
Kutoa mifano kwa mighani katika jamii yake.
Utafiti.
Mifano.
Uchunguzi.
Kazi mradi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 143-144
7 4
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma (fasihi)
Mwingiliano wa aina za maneno
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza jinsi aina za maneno hubadilika kutegemea utendaji kazi yake katika sentensi
Kufafanua jinsi aina za maneno huingiliana.
Kubainisha maneno yaliyopigwa mistari ni ya aina gani.
Kutunga sentensi akitumia msamiati ufaao
Mashindano
Majadiliano
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 146-148
7 5
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa mapana
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Wajibu wa Kiswahili Kitaifa na kimataifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
7 6
Kuandika
Kumbukumbu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza muundo wa insha ya kumbukumbu
Kudondoa makosa yote katika insha yake na kuyarekebisha
Kuandika insha ya kumbukumbu upya bila makosa yoyote
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Majadiliano
Mazoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 150-152
8 1-2
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma (fasihi)
Isimujamii: Matumizi ya lugha katika hotuba
Nyakati, hali na ukanushaji wake
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza matumizi ya lugha katika hotuba.
Kufafanua sifa za lugha ya hotuba.
Kutambua umuhimu wa Utoaji hotuba

Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kudadisi
Uchunguzi
Ufafanuzi
Uhakiki
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 153
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
8 3
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa mapana
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Historia ya lugha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
8 4
Kuandika
Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya hotuba.
Kutambua umuhimu wa hotuba.
Kufafanua muundo wa hotuba.
Kuandika hotuba.
Usomaji.
Maelezo.
Maswali na majibu.
Utafiti.
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 160-161
8 5
Kusikiliza na kuzungumza
Ufahamu
Isimujamii: Sajili ya viwandani
Mawasiliano katika tarakilishi na utandawazi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya sajili ya viwandani.
Kufafanua sajili ya viwandani.
Kueleza jinsi uhusiano wa wahusika viwandani unavyodhibiti matumizi ya lugha viwandani.
Maelezo
Ufafanuzi.
Utafiti.
Kutoa mifano
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 162
8 6
Kusoma (fasihi)
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
9 1-2
Sarufi
Kusoma kwa kina
Kuandika
Ukanushaji wa hali II
Kamliwaze
Insha ya mawazo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kufafanua matumizi ya –a-, -po-, -nge-, -ngali- na –ngeli-
Kubainisha kanuni za ukanushaji wa hali hizo
Kukanusha sentensi hali hizo tatu

somo, ;
Kusoma shairi, ‘Kamliwaze’
Kuchambua shairi hili, ‘Kamliwaze’
Kujibu maswali.
Maelezo
Ufafanuzi.
Mifano.
Ufaraguzi
Utafiti
Maelezo
Ufanunuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 165-167
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 168
9

Week 9 half term

10-11

Week 10 & 11 jiset exam

12 1-2
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi)
Mawaidha katika fasihi simulizi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya mawaidha katika fasihi simulizi.
Kufafanua sifa za mawaidha.
Kutaja dhima ya mawaidha.

Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Usomaji.
Utafiti.
Utatuzi wa mambo.
Uchunguzi kifani
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi

Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 170-171
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
12 3
Ufahamu
Sarufi na matumizi ya lugha
Ufahamu
Uakifishaji
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kufafanua mawazo makuu katika kifungu
Kueleza msamiati na kuutungia sentensi kwa usahihi
Kujibu maswali ya ufahamu kiukamilifu
Maelezo.
Mifano.
Mazoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 171-172
12 4
Kusoma kwa kina
Idhini ya kishairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya ‘Idhini ya kishairi’
Kutaja Idhini za kishairi anazoweza kuzitumia mshairi.
Kueleza sababu za mshairi kutumia Idhini ya kishairi.
Maelezo.
Kuigiza.
Kuandika.
Maswali na majibu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 175-176
12 5
Kuandika
Kusoma (fasihi)
Insha ya wasifu
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya wasifu
Kutambua sifa za wasifu na umuhimu wake.
Kuandika wasifu yake kwa muundo sahihi.
Maelezo
Ufafanuzi.
Maswali na majibu.
Majadiliano.
Tajriba
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 176
12 6
Kusoma (fasihi)
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine

Your Name Comes Here


Download

Feedback