Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA NNE
MWAKA WA 2025
MUHULA WA II

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
2 1-2
Kusikiliza na kuzungumza
Ufahamu
Sarufi
Sifa za fasihi simulizi
Ufahamu
Upatanisho wa kisarufi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya fasihi simulizi.
-Kutaja sifa bainifu za tanzu hizo mbili.
-Kutaja mifano za fasihi simulizi na andishi.


-Kueleza maana na manufaa ya upatanisho wa kisarufi.
-Kukamilisha sentensi ili kuleta upatanisho wa kisarufi.
-Kutunga sentensi zenye upatanisho wa kisarufi.
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuuliza maswali
Kuigiza
Tajriba.
Maswali na majibu.
Mifano.
Mazoezi.
Marudio
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya fasihi simulizi
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 1-2
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 3-8
2 3
Kusoma
Kusoma (fasihi)
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
2 4
Kusoma
Kuandika
Kusoma kwa mapana
Barua ya kirafiki
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kusoma aina mbalimbali za maandishi yaliyoandikwa kwa miundo na mitindo mbalimbali.
-Kusoma kwa haraka bila kuzingatia maneno au vifungu vyote.
-Kusoma bila kutafuta maana za maneno kwenye kamusi.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 8
2 5
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza maana za fasihi simulizi na fasihi andishi
-Kueleza tofauti kati ya fasihi andishi na fasihi simulizi.
-Kutoa mifano ya vipera vya fasihi simulizi katika jamii (yake)
Kueleza
Kusoma
Kuigiza
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 10-11
2 6
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi)
Ufahamu
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza sifa za shairi mwafaka.
-Kukariri shairi ‘Kutegea kazi’
-Kueleza muundo wa shairi hilo.
Maelezo
Ufafanuzi
Majadiliano.
Uchunguzi.
Kazi ya vikundi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 11-12
3 1-2
Kusoma (fasihi)
Sarufi na matumizi ya lugha
Sarufi na matumizi ya lugha
Kuandika
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Upatanisho wa kisarufi
Upatanisho wa kisarufi
Barua rasmi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu

-Kueleza upatanisho wa kisarufi kati ya nomino na vivumishi.
-Kutunga sentensi akizingatia upatanisho sahihi wa kisarufi.
-Kukamilisha jedwali kutumia kirejeshi amba- na ‘o’ rejeshi.
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Tajriba.
Maswali na majibu.
Mifano.
Mazoezi.
Marudio
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 13-17
3 3
Ufupisho
Kuandika
Muhtasari
Tahakiki
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza maana ya sarufi.
-Kueleza mambo muhimu ya kuzingatia katika ufupisho.
-Kuandika muhtasari wa taarifa kwa usahihi.
Kusoma
Majadiliano
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 22-23
3 4
Kusoma (fasihi)
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
3

Opener Exams

4 1-2
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Mashairi huru
Insha ya methali
Isimu jamii: Sajili ya bunge
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu

-Kufafanua muundo wa insha ya methali.
-Kupambanua sifa za insha ya methali.
-Kuandika insha ya methali.
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Masimulizi
Uchunguzi
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 45-46
4 3
Sarufi na matumizi ya lugha
Aina za maneno: Vivumishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kuainisha vivumishi.
-Kutoa mifano ya vivumishi.
-Kutumia vivumishi katika sentensi.
Maelezo
Ufafanuzi.
Utafiti.
Kutoa mifano
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 51-54
4 4
Kusoma (fasihi)
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
4 5
Kusoma (fasihi)
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
4 6
Kusoma (fasihi)
Kuandika
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Uandishi wa tahariri
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
5 1-2
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi na matumizi ya lugha
Ufahamu wa kusikiliza
Ufahamu
Mnyambuliko vitenzi II
Mnyambuliko vitenzi vya silabi ya konsonanti moja
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma kwa sauti na kimya.
Kujibu maswali.
Kueleza ni funzo gani unalolipata kutokana na kisa ulichokisoma

somo, ;
Kueleza mnyambuliko wa vitenzi.
Kuainisha kauli mbalimbali za vitenzi.
Kufafanua maana ya vitenzi katika kauli mbalimbali.
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuuliza maswali
Kuigiza
Utafiti
Ufafanuzi.
Maelezo.
Mifano
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya fasihi simulizi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 96-97
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 98-100
5 3
Kusoma (fasihi)
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
5 4
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Muundo na mtindo katika fasihi andishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
5 5
Kuandika
Fasihi
Utafiti wa kazi za fasihi simulizi
Ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya neno ‘utafiti’
Kufafanua njia za Utafiti wa fasihi simulizi.
Kueleza vifaa vinavyoweza kutumika katika Utafiti wa fasihi simulizi nyanjani.
Kueleza
Kusoma
Kuigiza
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 105-106
5 6
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi)
Miviga
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kufafanua maana ya miviga katika jamii
Kubainisha umuhimu wa miviga katika jamii
Kubainisha miviga mizuri na kuendeleza na mibaya kupingwa vita
Kueleza
Kusikiliza
Kujadili
Kusoma makala kitabuni kwa sauti
kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 115-116
6 1-2
Kusoma (fasihi)
Ufupisho
Sarufi na matumizi ya lugha
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Ufupisho
Aina za maneno; Vielezi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
somo, ;
Kutaja aina za vielezi.
Kueleza aina za vielezi.
Kutunga sentensi akitumia aina za vielezi.
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 118-121
6 3
Sarufi na matumizi ya lugha
Aina za maneno; Viunganishi
Aina za maneno; Vihusishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutaja aina za viunganishi.
Kueleza aina za viunganishi.
Kueleza dhima ya viunganishi katika sentensi.
Kutunga sentensi akitumia aina za vivumishi.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 121-123
6 4
Kusoma (fasihi)
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
6 5
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma kwa kina
Aina za maneno; Vihisishi
Mashairi ya arudhi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutaja aina za vihisishi.
Kueleza aina za vihisishi.
Kueleza dhima ya vihisishi katika sentensi.
Kutunga sentensi akitumia vihisishi.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kamusi
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 124-125
6 6
Kuandika
Memo
Baruameme
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutambua maana ya memo.
Kueleza muundo wa memo.
Kuandika memo.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 128-129
7 1-2
Kusoma (fasihi)
Kusoma (fasihi)
Kuandika
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Ujumbe wa rununu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
7 3
Kusikiliza na kuzungumza
Ngano
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya ngano.
Kueleza umuhimu wa ngano.
Kufafanua sifa za ngano kwa ujumla.
Kusoma
Majadiliano
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 131-134
7 4
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma (fasihi)
Uundaji wa maneno
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kuunda nomino kutoka na vitenzi.
Kutunga nomino kutokana na aina nyingine za maneno.
Kubainisha vivumishi kutokana na aina nyingine za maneno.
Kueleza
Kujadili
Kujibu maswali
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 137-139
7 5
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa mapana
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Changamoto zinazoikabili lugha ya Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
7 6
Kuandika
Insha za masimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kujieleza kwa mtiririko ufaao
Kutambua hatua za uandishi bora wa insha maelezo
Kuandika insha ya maelezo kwa kutumia fani mbalimbali za lugha
Kueleza
Kujadili
Kujibu maswali
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 142
8 1-2
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma (fasihi)
Mighani
Mwingiliano wa aina za maneno
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kufafanua maana ya mighani
Kubainisha sifa za mighani
Kutoa mifano kwa mighani katika jamii yake.

-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Utafiti.
Mifano.
Uchunguzi.
Kazi mradi
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 143-144
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
8 3
Kusoma kwa mapana
Kuandika
Wajibu wa Kiswahili Kitaifa na kimataifa
Kumbukumbu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma taarifa inayohusu Wajibu wa Kiswahili Kitaifa na kimataifa.
Kueleza mambo yanayothibitisha nafasi ya Kiswahili kimataifa.
Kufafanua Wajibu unaotekelezwa na lugha ya Kiswahili kulingana na taarifa.
Usomaji.
Maelezo.
Maswali na majibu.
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 148-149
8 4
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi na matumizi ya lugha
Isimujamii: Matumizi ya lugha katika hotuba
Nyakati, hali na ukanushaji wake
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza matumizi ya lugha katika hotuba.
Kufafanua sifa za lugha ya hotuba.
Kutambua umuhimu wa Utoaji hotuba
Kudadisi
Uchunguzi
Ufafanuzi
Uhakiki
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 153
8-9

MID-TERM EXAMS

9-10

MID-TERM BREAK

10 4
Kusoma (fasihi)
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
10 5
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa mapana
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Historia ya lugha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
10 6
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Hotuba
Isimujamii: Sajili ya viwandani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya hotuba.
Kutambua umuhimu wa hotuba.
Kufafanua muundo wa hotuba.
Kuandika hotuba.
Usomaji.
Maelezo.
Maswali na majibu.
Utafiti.
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 160-161
11 1-2
Ufahamu
Kusoma (fasihi)
Mawasiliano katika tarakilishi na utandawazi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma kwa sauti na kimya.
Kujibu maswali.
Kutaja sifa zinazodhihirisha mchakato wa mawasiliano kupitia tarakilishi.

-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Maelezo
Ufafanuzi.
Majadiliano.
Uchunguzi.
Kazi ya vikundi
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 163-165
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
11 3
Sarufi
Kusoma kwa kina
Ukanushaji wa hali II
Kamliwaze
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kufafanua matumizi ya –a-, -po-, -nge-, -ngali- na –ngeli-
Kubainisha kanuni za ukanushaji wa hali hizo
Kukanusha sentensi hali hizo tatu
Maelezo
Ufafanuzi.
Mifano.
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 165-167
11 4
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Insha ya mawazo
Mawaidha katika fasihi simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza muundo wa insha ya mawazo
Kufafanua vigezo muhimu vya insha mawazo
Kuandika insha ya mawazo ifaavyo.
Kueleza
Kujadili
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 61-62
11 5
Kusoma (fasihi)
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
11 6
Ufahamu
Sarufi na matumizi ya lugha
Ufahamu
Uakifishaji
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kufafanua mawazo makuu katika kifungu
Kueleza msamiati na kuutungia sentensi kwa usahihi
Kujibu maswali ya ufahamu kiukamilifu
Maelezo.
Mifano.
Mazoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 171-172
12 1-2
Kusoma kwa kina
Kuandika
Kusoma (fasihi)
Idhini ya kishairi
Insha ya wasifu
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya ‘Idhini ya kishairi’
Kutaja Idhini za kishairi anazoweza kuzitumia mshairi.
Kueleza sababu za mshairi kutumia Idhini ya kishairi.

somo, ;
Kueleza maana ya wasifu
Kutambua sifa za wasifu na umuhimu wake.
Kuandika wasifu yake kwa muundo sahihi.
Maelezo.
Kuigiza.
Kuandika.
Maswali na majibu
Maelezo
Ufafanuzi.
Maswali na majibu.
Majadiliano.
Tajriba
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi

Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 175-176
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 176
12 3
Kusoma (fasihi)
Sarufi na matumizi ya lugha
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Yambwa na chagizo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kamusi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
12 4
Kuandika
Maagizo na maelekezo
Ratiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya maagizo ya maelekezo.
Kufafanua muundo wa kuandika maagizo/maelekezo.
Kueleza vipengele vya kuandika maagizo/maelekezo
Maelezo.
Majadiliano.
Tajriba.
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 193
12 5
Kuandika
Barua kwa mhariri
Barua kwa mhariri wa gazeti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza muundo wa barua kwa mhariri.
Kutaja sifa za barua kwa mhariri.
Kuandika barua kwa mhariri.
Mifano.
Majadiliano
Maelezo
Ufafanuzi
Tajriba
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 227-228
12 6
Sarufi na matumizi ya lugha
Uchanganuzi wa fungu tenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya fungu tenzi.
Kuchanganua fungu tenzi kama sentensi sahili au kishazi tegemezi.
Kuandika mifano ya fungu tenzi.
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Majadiliano
Mazoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 238-239
13

END OF TERM EXAM


Your Name Comes Here


Download

Feedback