If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | MBINU | VIFAA | ASILIA | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
1 |
KUFUNGUA SHULE / KUDURUSU MTIHANI WA MUHULA 1 |
|||||||
2 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Sifa za fasihi simulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya fasihi simulizi. -Kutaja sifa bainifu za tanzu hizo mbili. -Kutaja mifano za fasihi simulizi na andishi. |
Kueleza
Kujadiliana Kuandika Kuuliza maswali Kuigiza |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya fasihi simulizi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 1-2
|
|
2 | 2 |
Ufahamu
Sarufi Sarufi |
Ufahamu
Upatanisho wa kisarufi Upatanisho wa kisarufi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa sauti na kimya. -Kujibu maswali. -Kubainisha umuhimu wa usalama barabarani. |
Kueleza
Kujadiliana Kuandika Kuuliza maswali Kuigiza Utafiti |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 2-3
|
|
2 | 3 |
Kusoma
Kusoma (fasihi) |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
2 | 4 |
Kusoma
Kuandika Kusikiliza na kuzungumza |
Kusoma kwa mapana
Barua ya kirafiki Fasihi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma aina mbalimbali za maandishi yaliyoandikwa kwa miundo na mitindo mbalimbali. -Kusoma kwa haraka bila kuzingatia maneno au vifungu vyote. -Kusoma bila kutafuta maana za maneno kwenye kamusi. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 8
|
|
2 | 5 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi) Kusoma (fasihi) |
Ufahamu
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza sifa za shairi mwafaka. -Kukariri shairi ‘Kutegea kazi’ -Kueleza muundo wa shairi hilo. |
Maelezo
Ufafanuzi Majadiliano. Uchunguzi. Kazi ya vikundi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 11-12
|
|
2 | 6 |
Sarufi na matumizi ya lugha
|
Upatanisho wa kisarufi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana na manufaa ya upatanisho wa kisarufi. -Kukamilisha sentensi ili kuleta upatanisho wa kisarufi. -Kutunga sentensi zenye upatanisho wa kisarufi. |
Tajriba.
Maswali na majibu. Mifano. Mazoezi. Marudio |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 13-17
|
|
3 | 1 |
Kusoma kwa kina
Kuandika Kusoma (fasihi) |
Fasihi andishi
Barua rasmi Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza asili na maendeleo ya fasihi andishi. -Kufafanua sifa zinazobainisha fasihi andishi. -Kutaja tanzu za fasihi andishi. |
Mjadala
Maswali na majibu. Uvumbuzi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 17-19 |
|
3 | 2 |
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza na kuzungumza Ufupisho |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Isimu jamii: Lugha ya itifaki Muhtasari |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
3 | 3 |
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma kwa kina |
Aina za maneno: Nomino
Maudhui katika fasihi andishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya nomino. -Kuainisha makundi ya nomino na kutaja mifano. -Kutumia nomino katika sentensi sahihi. |
Kueleza
Kujadili Kujibu maswali |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 23-25
|
|
3 | 4 |
Kusoma (fasihi)
Kuandika |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Tahakiki |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
3 | 5 |
Kusikiliza na kuzungumza
Ufahamu |
Methali
Misemo Mfinyanzi hulia gaeni |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya methali. -Kufafanua matumizi ya methali. -Kutumia methali katika mazungumzo. |
Utafiti.
Mifano. Uchunguzi. Kazi mradi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 30-32
|
|
3 | 6 |
Kusoma (fasihi)
Sarufi na matumizi ya lugha |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Viwakilishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
4 | 1 |
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma kwa kina |
Viwakilishi
Mashairi huru |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kuainisha viwakilishi mbalimbali na mifano yake. -Kufafanua matumizi ya viwakilishi. -Kutunga sentensi kwa kutumia viwakilishi. |
Maelezo
Ufafanuzi Maswali na majibu Majadiliano Mazoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 36-42
|
|
4 | 2 |
Kuandika
Kusoma (fasihi) Kusoma (fasihi) |
Insha ya methali
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kufafanua muundo wa insha ya methali. -Kupambanua sifa za insha ya methali. -Kuandika insha ya methali. |
Masimulizi
Uchunguzi Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 45-46
|
|
4 | 3 |
Kusikiliza na kuzungumza
Ufahamu Sarufi na matumizi ya lugha |
Isimu jamii: Sajili ya bunge
Ufahamu Aina za maneno: Vivumishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya sajili katika lugha. -Kufafanua sifa za lugha ya sajili ya bunge. -Kuigiza mazungumzo na kutoa idhibati kuwa ni lugha ya bungeni. |
Kuandika
Kuuliza maswali Kujibu maswali Kuigiza Majadiliano. |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 47-48
|
|
4 | 4 |
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma (fasihi) |
Aina za maneno: Vivumishi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kuainisha vivumishi. -Kutoa mifano ya vivumishi. -Kutumia vivumishi katika sentensi. |
Maelezo
Ufafanuzi. Utafiti. Kutoa mifano |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 51-54
|
|
4 | 5 |
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina Kusikiliza na kuzungumza |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Muundo na mtindo katika mashairi arudhi Fasihi simulizi: Mafumbo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
4 | 6 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi) |
Fasihi simulizi: Misimu
Lakabu Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza misimu. -Kueleza sababu ya misimu kuchipuka. -Kufafanua sifa ya misimu. -Kutoa mifano ya misimu. |
Ufaraguzi
Utafiti Maelezo Ufanunuzi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 57-60
|
|
5 | 1 |
Kusoma (fasihi)
Ufahamu |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Unene wa kuhatarisha |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
5 | 2 |
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma kwa kina |
Vitenzi
Mashairi huru |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya vitenzi. -Kubainisha vitenzi katika sentensi. -Kutunga sentensi kutumia vitenzi vikuu, visaidizi, vishirikishi, vipungufu na vitenzi sambamba |
Maelezo.
Mifano. Mazoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 64-67
|
|
5 | 3 |
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza kuzungumza |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kuandika; Utungaji wa kisanii: Uandishi wa ushairi huru |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
5 | 4 |
Kusikiliza kuzungumza
Sarufi na matumizi ya lugha |
Mahojiano
Ufupisho Vitenzi: Mzizi na viambishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kufafanua muundo wa mahojiano. -Kuandika insha ya mahojiano kwa ufasaha. -Kuigiza mahojiano darasani. |
Maelezo.
Kuigiza. Kuandika. Maswali na majibu |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 71-74
|
|
5 | 5 |
Kusoma (fasihi)
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
5 | 6 |
Kusoma
Kusikiliza na kuzungumza Sarufi na matumizi ya lugha |
Tamathali za usemi
Soga Mnyambuliko wa vitenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza manufaa ya tamathali za usemi kwa uandishi wa fasihi. -Kufafanua maana za tamathali za usemi. -Kudondoa tamathali zozote kutoka kwenye riwaya teule. |
Usomaji.
Maelezo. Maswali na majibu. Utafiti |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 79-83
|
|
6 | 1 |
Kuandika
Kusoma (fasihi) Kusoma (fasihi) |
Uandishi wa tahariri
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya tahariri -Kujadili jinsi ya kuandika tahariri. -Kuandika tahariri. |
Kusoma
Kujadili Kuandika Kutafiti zaidi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 95
|
|
6 | 2 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Ufahamu wa kusikiliza
Ufahamu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kusoma kwa sauti na kimya. Kujibu maswali. Kueleza ni funzo gani unalolipata kutokana na kisa ulichokisoma |
Kueleza
Kujadiliana Kuandika Kuuliza maswali Kuigiza Utafiti |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya fasihi simulizi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 96-97
|
|
6 | 3 |
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma (fasihi) |
Mnyambuliko vitenzi II
Mnyambuliko vitenzi vya silabi ya konsonanti moja Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza mnyambuliko wa vitenzi. Kuainisha kauli mbalimbali za vitenzi. Kufafanua maana ya vitenzi katika kauli mbalimbali. |
Ufafanuzi.
Maelezo. Mifano |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 98-100
|
|
6 | 4 |
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina Kuandika |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Muundo na mtindo katika fasihi andishi Utafiti wa kazi za fasihi simulizi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
6 | 5 |
Fasihi
Kusikiliza na kuzungumza |
Ushairi
Miviga |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kukariri shairi. Kuonyesha dhamira ya mshairi. Kueleza uhuru wa kishairi alizozitumia mshairi. |
Kueleza
Kusoma Kuigiza Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 112-113
|
|
6 | 6 |
Kusoma (fasihi)
Ufupisho |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Ufupisho |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
7 | 1 |
Sarufi na matumizi ya lugha
|
Aina za maneno; Vielezi
Aina za maneno; Viunganishi Aina za maneno; Vihusishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kutaja aina za vielezi. Kueleza aina za vielezi. Kutunga sentensi akitumia aina za vielezi. |
Kusoma.
Kusikiliza Kuandika Kujadiliana Uchambuzi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 118-121 |
|
7 | 2 |
Kusoma (fasihi)
Sarufi na matumizi ya lugha |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Aina za maneno; Vihisishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
7 | 3 |
Kusoma kwa kina
Kuandika |
Mashairi ya arudhi
Memo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya shairi ya arudhi. Kufafanua maudhui ya shairi la arudhi. Kubainisha mafunzo ya shairi hilo. |
Kusoma.
Kusikiliza Kuandika Kujadiliana Uchambuzi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 126-128
|
|
7 | 4 |
Kuandika
Kusoma (fasihi) Kusoma (fasihi) |
Baruameme
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kutambua maana ya baruameme Kueleza muundo wa baruameme. Kuandika baruameme. |
Kusoma.
Kusikiliza Kuandika Kujadiliana Uchambuzi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 129-130 |
|
7 | 5 |
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza Kusikiliza na kuzungumza |
Ujumbe wa rununu
Ngano Ngano |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza umuhimu wa rununu Kueleza muundo wa ujumbe wa rununu Kuandika ujumbe wa rununu |
Kusoma.
Kusikiliza Kuandika Kujadiliana Uchambuzi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 130 |
|
7 | 6 |
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma (fasihi) |
Uundaji wa maneno
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kuunda nomino kutoka na vitenzi. Kutunga nomino kutokana na aina nyingine za maneno. Kubainisha vivumishi kutokana na aina nyingine za maneno. |
Kueleza
Kujadili Kujibu maswali |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 137-139
|
|
8 | 1 |
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa mapana Kuandika |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Changamoto zinazoikabili lugha ya Kiswahili Insha za masimulizi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
8 | 2 |
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi na matumizi ya lugha Kusoma (fasihi) |
Mighani
Mwingiliano wa aina za maneno Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kufafanua maana ya mighani Kubainisha sifa za mighani Kutoa mifano kwa mighani katika jamii yake. |
Utafiti.
Mifano. Uchunguzi. Kazi mradi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 143-144
|
|
8 | 3 |
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa mapana |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Wajibu wa Kiswahili Kitaifa na kimataifa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
8 | 4 |
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza Sarufi na matumizi ya lugha |
Kumbukumbu
Isimujamii: Matumizi ya lugha katika hotuba Nyakati, hali na ukanushaji wake |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza muundo wa insha ya kumbukumbu Kudondoa makosa yote katika insha yake na kuyarekebisha Kuandika insha ya kumbukumbu upya bila makosa yoyote |
Maelezo
Ufafanuzi Maswali na majibu Majadiliano Mazoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 150-152
|
|
8 | 5 |
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa mapana |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Historia ya lugha |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
8 | 6 |
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza Ufahamu |
Hotuba
Isimujamii: Sajili ya viwandani Mawasiliano katika tarakilishi na utandawazi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya hotuba. Kutambua umuhimu wa hotuba. Kufafanua muundo wa hotuba. Kuandika hotuba. |
Usomaji.
Maelezo. Maswali na majibu. Utafiti. |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 160-161
|
|
9 |
LIKIZO FUPI |
|||||||
10 | 1 |
Kusoma (fasihi)
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
10 | 2 |
Sarufi
Kusoma kwa kina Kuandika |
Ukanushaji wa hali II
Kamliwaze Insha ya mawazo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kufafanua matumizi ya –a-, -po-, -nge-, -ngali- na –ngeli- Kubainisha kanuni za ukanushaji wa hali hizo Kukanusha sentensi hali hizo tatu |
Maelezo
Ufafanuzi. Mifano. |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 165-167
|
|
10 | 3 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi) Kusoma (fasihi) |
Mawaidha katika fasihi simulizi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya mawaidha katika fasihi simulizi. Kufafanua sifa za mawaidha. Kutaja dhima ya mawaidha. |
Usomaji.
Utafiti. Utatuzi wa mambo. Uchunguzi kifani |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 170-171
|
|
10 | 4 |
Ufahamu
Sarufi na matumizi ya lugha |
Ufahamu
Uakifishaji |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kufafanua mawazo makuu katika kifungu Kueleza msamiati na kuutungia sentensi kwa usahihi Kujibu maswali ya ufahamu kiukamilifu |
Maelezo.
Mifano. Mazoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 171-172
|
|
10 | 5 |
Kusoma kwa kina
Kuandika Kusoma (fasihi) |
Idhini ya kishairi
Insha ya wasifu Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya ‘Idhini ya kishairi’ Kutaja Idhini za kishairi anazoweza kuzitumia mshairi. Kueleza sababu za mshairi kutumia Idhini ya kishairi. |
Maelezo.
Kuigiza. Kuandika. Maswali na majibu |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 175-176
|
|
10 | 6 |
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza na kuzungumza Sarufi na matumizi ya lugha |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Ngomezi Muundo wa sentensi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya fasihi simulizi Kamusi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
11 | 1 |
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza |
Tawasifu
Isimu jamii: Sajili ya michezoni |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya tawasifu Kueleza sifa za tawasifu Kuandika tawasifu kwa lugha inayokubalika |
Kuandika
Kueleza Kujibu maswali |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 185-186
|
|
11 | 2 |
Kusoma
Kusoma (fasihi) Sarufi na matumizi ya lugha |
Kusoma kwa kina;
Kigogo
Chozi la heri
Tumbo lisiloshiba
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba Yambwa na chagizo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kutaja vipengele vya kutumia kupata maadili ya kitabu teule. Kueleza maana ya anwani na umuhimu wake. Kufafanua wahusika na jinsi wanavyojenga maadili. |
Kusoma.
Kusikiliza. Kuandika. Kujadiliana. Uchambuzi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kamusi |
Kitabu teule
|
|
11 | 3 |
Kuandika
Sarufi na matumizi ya lugha Kuandika |
Maagizo na maelekezo
Virai Dayalojia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya maagizo ya maelekezo. Kufafanua muundo wa kuandika maagizo/maelekezo. Kueleza vipengele vya kuandika maagizo/maelekezo |
Maelezo.
Majadiliano. Tajriba. Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 193
|
|
11 | 4 |
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza na kuzungumza |
Kusoma kwa kina;
Kigogo
Chozi la heri
Tumbo lisiloshiba
Nyimbo na maghani |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kutambua mbinu za sanaa katika hadithi fupi Kufafanua mbinu za sanaa na dhima yake katika hadithi Kupanua kitembo chake cha msamiati na fani za lugha. |
Kusoma.
Kusikiliza Kuandika Kujadiliana Uchambuzi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Kitabu teule
|
|
11 | 5 |
Sarufi na matumizi ya lugha
Kuandika |
Vishazi
Ratiba |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya kishazi Kubainisha aina za vishazi Kutunga sentensi zenye vishazi Kutambua vishazi katika tungo |
Kueleza
Kusoma Kujibu maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 214-216 |
|
11 | 6 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi) Kusoma (fasihi) |
Ulumbi
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya ulumbi. Kueleza majukumu ya walumbi. Kufafanua umuhimu wa ulumbi Kutoa mifano ya walumbi. |
Maelezo
Uchunguzi kifani Utazamaji Kutoa mifano |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 218-219
|
|
12 | 1 |
Kuandika
Sarufi na matumizi ya lugha Kusoma kwa kina |
Barua kwa mhariri
Uchanganuzi wa sentensi Wahusika na uhusika katika fasihi andishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza muundo wa barua kwa mhariri. Kutaja sifa za barua kwa mhariri. Kuandika barua kwa mhariri. |
Mifano.
Majadiliano Maelezo Ufafanuzi Tajriba Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 227-228
|
|
12 | 2 |
Kuandika
Kusoma (fasihi) |
Barua kwa mhariri wa gazeti
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza muundo wa barua kwa mhariri wa gazeti. Kutaja sifa za barua kwa mhariri wa gazeti. Kuandika barua kwa mhariri wa gazeti. |
Mashindano
Majadiliano Maelezo Ufafanuzi Maswali na majibu |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 234-235
|
|
12 | 3 |
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza na kuzungumza Sarufi na matumizi ya lugha |
Kusoma kwa kina;
Kigogo
Chozi la heri
Tumbo lisiloshiba
Isimu jamii: Sajili ya mahakamani Uchanganuzi wa fungu tenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza mtiririko wa kitabu teule Kuchambua vipengele tofauti za fasihi – lugha, wahusika na maudhui. Kujibu maswali |
Kusoma
Kujadili Kusikiliza Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Kitabu teule
|
|
12 | 4 |
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza Kusoma (fasihi) |
Insha ya mazungumzo
Changamoto za fasihi simulizi Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza muundo wa insha ya mazungumzo Kutaja sifa za insha ya mazungumzo. Kuandika insha ya mazungumzo. |
Kudadisi
Uchunguzi Ufafanuzi Uhakiki |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 241
|
|
12 | 5 |
Kusoma (fasihi)
Sarufi na matumizi ya lugha |
Kusoma kwa kina;
Kigogo
Chozi la heri
Tumbo lisiloshiba
Viambishi maalumu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, Kutaja wahusika katika hadithi fupi Kutambua sifa za wahusika wa hadithi fupi. |
Kusoma
Kujadili Kuandika Kuigiza |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Kitabu teule
|
|
12 | 6 |
Kusoma kwa mapana
Kuandika Kusoma kwa kina Kusoma (fasihi) Kusoma (fasihi) |
Tahariri kutoka magazetini
Mjadala Matangazo Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kusoma mfano wa tahariri. Kueleza mambo ambayo yalifanyika kwa ajili ya kuiimarisha lugha ya Kiswahili. Kutaja vizuizi vinavyokabiliwa kwa kukua lugha ya Kiswahili. |
Usomaji.
Maelezo. Maswali na majibu. Utafiti. |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 247-248
|
|
13 |
MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA |
|||||||
14 |
KUFUNGA SHULE |
Your Name Comes Here