Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA NNE
MWAKA WA 2025
MUHULA WA II

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
2 1
Kusikiliza na kuzungumza
Ufahamu
Sifa za fasihi simulizi
Ufahamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya fasihi simulizi.
-Kutaja sifa bainifu za tanzu hizo mbili.
-Kutaja mifano za fasihi simulizi na andishi.
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuuliza maswali
Kuigiza
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya fasihi simulizi
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 1-2
2 2
Sarufi
Kusoma
Kusoma (fasihi)
Kusoma
Upatanisho wa kisarufi
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kusoma kwa mapana
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza maana na manufaa ya upatanisho wa kisarufi.
-Kukamilisha sentensi ili kuleta upatanisho wa kisarufi.
-Kutunga sentensi zenye upatanisho wa kisarufi.
Tajriba.
Maswali na majibu.
Mifano.
Mazoezi.
Marudio
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 3-8
2 3
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi)
Kusoma (fasihi)
Sarufi na matumizi ya lugha
Barua ya kirafiki
Fasihi
Ufahamu
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Upatanisho wa kisarufi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza maana na muundo wa barua za kirafiki
-Kutaja sifa za barua za kirafiki
-Kueleza umuhimu wa barua za kirafiki
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 9
2 4
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma kwa kina
Kuandika
Kusoma (fasihi)
Kusoma (fasihi)
Upatanisho wa kisarufi
Fasihi andishi
Barua rasmi
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza upatanisho wa kisarufi kati ya nomino na vivumishi.
-Kutunga sentensi akizingatia upatanisho sahihi wa kisarufi.
-Kukamilisha jedwali kutumia kirejeshi amba- na ‘o’ rejeshi.
Tajriba.
Maswali na majibu.
Mifano.
Mazoezi.
Marudio
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 13-17
2 5
Kusikiliza na kuzungumza
Ufupisho
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma kwa kina
Kusoma (fasihi)
Isimu jamii: Lugha ya itifaki
Muhtasari
Aina za maneno: Nomino
Maudhui katika fasihi andishi
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza mazingira ambamo lugha ya itifaki hutumiwa.
-Kufafanua sifa za lugha ya itifaki.
-Kueleza umuhimu wa lugha ya itifaki.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 21-22
2 6
Kusoma (fasihi)
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Kusikiliza na kuzungumza
Ufahamu
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Tahakiki
Methali
Misemo
Mfinyanzi hulia gaeni
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kufafanua muundo wa Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi.
-Kueleza mtindo na vipengele vyake katika riwaya.
-Kutofautisha baina ya muundo na mtindo katika riwaya.
Kusoma
Kujadili
Kusikiliza
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
3

FORM FOUR RAT

4 1
Kusoma (fasihi)
Sarufi na matumizi ya lugha
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma kwa kina
Kuandika
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Viwakilishi
Viwakilishi
Mashairi huru
Insha ya methali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
-Kubainisha aina za wahusika.
-Kueleza sifa bainifu za aina mbalimbali za wahusika.
-Kueleza umuhimu wa wahusika mbalimbali.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kuigiza
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
4 2
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza na kuzungumza
Ufahamu
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Isimu jamii: Sajili ya bunge
Ufahamu
Aina za maneno: Vivumishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza umuhimu wa lugha katika Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi.
-Kuchambua tamathali na matumizi ya lugha katika Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi.
-Kueleza sajili na muktadha wa lugha mbalimbali.
Kusoma
Kuadili
Kudodoso fani za lugha
Kuandika
Kuwasilisha mbele ya darasa
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
4 3
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma (fasihi)
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina
Kusikiliza na kuzungumza
Kusikiliza na kuzungumza
Aina za maneno: Vivumishi
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Muundo na mtindo katika mashairi arudhi
Fasihi simulizi: Mafumbo
Fasihi simulizi: Misimu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kuainisha vivumishi.
-Kutoa mifano ya vivumishi.
-Kutumia vivumishi katika sentensi.
Maelezo
Ufafanuzi.
Utafiti.
Kutoa mifano
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 51-54
4 4
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi)
Kusoma (fasihi)
Ufahamu
Kusoma kwa kina
Lakabu
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Unene wa kuhatarisha
Mashairi huru
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza maana ya lakabu.
-Kufafanua sifa za lakabu.
-Kutoa mifano ya lakabu.
Usomaji.
Maelezo.
Utafiti.
Majadiliano
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 61-62
4 5
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza kuzungumza
Kusikiliza kuzungumza
Kusikiliza kuzungumza
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kuandika; Utungaji wa kisanii: Uandishi wa ushairi huru
Mahojiano
Ufupisho
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kutaja wahusika wote kutoka Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
-Kutaja hulka (sifa) za wahusika katika Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
-Kufafanua sifa za wahusika kwa kutoa mifano katika Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
4 6
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma (fasihi)
Kusoma (fasihi)
Kusoma
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi na matumizi ya lugha
Vitenzi: Mzizi na viambishi
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Tamathali za usemi
Soga
Mnyambuliko wa vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza dhana ya mzizi na viambishi katika vitenzi.
-Kubainisha mzizi wa viambishi awali na tamati katika vitenzi.
-Kuonyesha viambishi vya kauli za Mnyambuliko katika vitenzi.
Maelezo
Ufafanuzi.
Maswali na majibu.
Majadiliano.
Tajriba
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 76-79
5 1
Kuandika
Kusoma (fasihi)
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza na kuzungumza
Kusikiliza na kuzungumza
Uandishi wa tahariri
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Ufahamu wa kusikiliza
Ufahamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza maana ya tahariri
-Kujadili jinsi ya kuandika tahariri.
-Kuandika tahariri.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kamusi ya fasihi simulizi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 95
5 2
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma (fasihi)
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina
Mnyambuliko vitenzi II
Mnyambuliko vitenzi vya silabi ya konsonanti moja
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Muundo na mtindo katika fasihi andishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza mnyambuliko wa vitenzi.
Kuainisha kauli mbalimbali za vitenzi.
Kufafanua maana ya vitenzi katika kauli mbalimbali.
Ufafanuzi.
Maelezo.
Mifano
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 98-100
5 3
Kuandika
Fasihi
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi)
Kusoma (fasihi)
Ufupisho
Utafiti wa kazi za fasihi simulizi
Ushairi
Miviga
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Ufupisho
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya neno ‘utafiti’
Kufafanua njia za Utafiti wa fasihi simulizi.
Kueleza vifaa vinavyoweza kutumika katika Utafiti wa fasihi simulizi nyanjani.
Kueleza
Kusoma
Kuigiza
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kamusi
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 105-106
5 4
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma (fasihi)
Kusoma (fasihi)
Aina za maneno; Vielezi
Aina za maneno; Viunganishi
Aina za maneno; Vihusishi
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutaja aina za vielezi.
Kueleza aina za vielezi.
Kutunga sentensi akitumia aina za vielezi.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 118-121
5 5
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma kwa kina
Kuandika
Kuandika
Kusoma (fasihi)
Aina za maneno; Vihisishi
Mashairi ya arudhi
Memo
Baruameme
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutaja aina za vihisishi.
Kueleza aina za vihisishi.
Kueleza dhima ya vihisishi katika sentensi.
Kutunga sentensi akitumia vihisishi.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kamusi
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 124-125
5 6
Kusoma (fasihi)
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Ujumbe wa rununu
Ngano
Ngano
Uundaji wa maneno
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma na kueleza maudhui katika sura ya sita
Kupambanua sifa za wahusika katika sita
Kujibu maswali.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kamusi
Kitabu teule
6 1
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa mapana
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi na matumizi ya lugha
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Changamoto zinazoikabili lugha ya Kiswahili
Insha za masimulizi
Mighani
Mwingiliano wa aina za maneno
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma na kueleza maudhui katika sura ya saba
Kupambanua sifa za wahusika katika sura ya saba.
Kujibu maswali.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kamusi
Kitabu teule
6 2
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa mapana
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Wajibu wa Kiswahili Kitaifa na kimataifa
Kumbukumbu
Isimujamii: Matumizi ya lugha katika hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma sura ya nane (Kifo cha Suluhu)
Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya nane.
Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya nane.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kamusi
Kitabu teule
6 3
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma (fasihi)
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa mapana
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Nyakati, hali na ukanushaji wake
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Historia ya lugha
Hotuba
Isimujamii: Sajili ya viwandani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kufafanua matumizi ya si-, -me- na –ki-
Kubainisha kanuni za ukanushaji wa hali hizo
Kukanusha sentensi hali hizo tatu
Masimulizi
Uchunguzi
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 156-158
6 4
Ufahamu
Kusoma (fasihi)
Kusoma (fasihi)
Sarufi
Kusoma kwa kina
Mawasiliano katika tarakilishi na utandawazi
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Ukanushaji wa hali II
Kamliwaze
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma kwa sauti na kimya.
Kujibu maswali.
Kutaja sifa zinazodhihirisha mchakato wa mawasiliano kupitia tarakilishi.
Maelezo
Ufafanuzi.
Majadiliano.
Uchunguzi.
Kazi ya vikundi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 163-165
6 5
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi)
Kusoma (fasihi)
Ufahamu
Insha ya mawazo
Mawaidha katika fasihi simulizi
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Ufahamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza muundo wa insha ya mawazo
Kufafanua vigezo muhimu vya insha mawazo
Kuandika insha ya mawazo ifaavyo.
Kueleza
Kujadili
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 61-62
6 6
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma kwa kina
Kuandika
Kusoma (fasihi)
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza na kuzungumza
Uakifishaji
Idhini ya kishairi
Insha ya wasifu
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Ngomezi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma kifungu kisha kutoa mifano ya matumizi ya lugha na alama za uakifishaji.
Kutaja alama za uakifishaji zilizotumiwa katika kifungu.
Kugeuza sentensi ziwe katika usemi halisi.
Kuandika sentensi katika usemi taarifa.
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha mbele ya darasa
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kamusi ya fasihi simulizi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 173-175
7-8

KAKAMEGA EAST EXAMS

9

MID TERM BREAK

10 1
Sarufi na matumizi ya lugha
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma
Kusoma (fasihi)
Muundo wa sentensi
Tawasifu
Isimu jamii: Sajili ya michezoni
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutaja vikundi vya nomino.
Kueleza kikundi nomino(KN) na kikundi tenzi (KT)
Kutunga sentensi kubainisha vikundi nomino.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 180-183
10 2
Sarufi na matumizi ya lugha
Kuandika
Sarufi na matumizi ya lugha
Kuandika
Kusoma (fasihi)
Yambwa na chagizo
Maagizo na maelekezo
Virai
Dayalojia
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya yambwa na chagizo.
Kubainisha chagizo katika sentensi.
Kutunga sentensi zilizo na yambwa na chagizo
Kueleza
Kusoma
Kujibu maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 190-191
10 3
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi na matumizi ya lugha
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba
Nyimbo na maghani
Vishazi
Ratiba
Ulumbi
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kupambanua falsafa na itihadi ya mwandishi wa kitabu teule
Kutaja maadili katika kitabu teule
Kuchambua vipengele tofauti za fasihi.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu teule
10 4
Kusoma (fasihi)
Kuandika
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma kwa kina
Kuandika
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba
Barua kwa mhariri
Uchanganuzi wa sentensi
Wahusika na uhusika katika fasihi andishi
Barua kwa mhariri wa gazeti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza muktadha wa vitabu
Kuchambua vipengele vya fasihi-maudhui, wahusika na lugha
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu teule
10 5
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi na matumizi ya lugha
Kuandika
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba
Isimu jamii: Sajili ya mahakamani
Uchanganuzi wa fungu tenzi
Insha ya mazungumzo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza muktadha
Kuchambua vipengele vya fasihi lugha, wahusika na fani
Kujibu maswali
Kusoma
Kujadili
Kusikiliza
kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu teule
10 6
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi)
Kusoma (fasihi)
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma kwa mapana
Kuandika
Kusoma kwa kina
Kusoma (fasihi)
Kusoma (fasihi)
Changamoto za fasihi simulizi
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba
Viambishi maalumu
Tahariri kutoka magazetini
Mjadala
Matangazo
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza sifa za fasihi simulizi.
Kutaja aina za fasihi simulizi.
Kufafanua changamoto za fasihi simulizi.
Masimulizi
Uchunguzi
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 242
12

DIOCESE EXAMS


Your Name Comes Here


Download

Feedback