If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | MBINU | VIFAA | ASILIA | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
2 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza
Ufahamu |
Sifa za fasihi simulizi
Ufahamu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya fasihi simulizi. -Kutaja sifa bainifu za tanzu hizo mbili. -Kutaja mifano za fasihi simulizi na andishi. |
Kueleza
Kujadiliana Kuandika Kuuliza maswali Kuigiza |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya fasihi simulizi Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 1-2
|
|
2 | 2 |
Sarufi
Kusoma Kusoma (fasihi) Kusoma |
Upatanisho wa kisarufi
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi Kusoma kwa mapana |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana na manufaa ya upatanisho wa kisarufi. -Kukamilisha sentensi ili kuleta upatanisho wa kisarufi. -Kutunga sentensi zenye upatanisho wa kisarufi. |
Tajriba.
Maswali na majibu. Mifano. Mazoezi. Marudio |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 3-8
|
|
2 | 3 |
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza Kusikiliza na kuzungumza Kusoma (fasihi) Kusoma (fasihi) Sarufi na matumizi ya lugha |
Barua ya kirafiki
Fasihi Ufahamu Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi Upatanisho wa kisarufi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana na muundo wa barua za kirafiki -Kutaja sifa za barua za kirafiki -Kueleza umuhimu wa barua za kirafiki |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 9
|
|
2 | 4 |
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma kwa kina Kuandika Kusoma (fasihi) Kusoma (fasihi) |
Upatanisho wa kisarufi
Fasihi andishi Barua rasmi Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza upatanisho wa kisarufi kati ya nomino na vivumishi. -Kutunga sentensi akizingatia upatanisho sahihi wa kisarufi. -Kukamilisha jedwali kutumia kirejeshi amba- na ‘o’ rejeshi. |
Tajriba.
Maswali na majibu. Mifano. Mazoezi. Marudio |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 13-17
|
|
2 | 5 |
Kusikiliza na kuzungumza
Ufupisho Sarufi na matumizi ya lugha Kusoma kwa kina Kusoma (fasihi) |
Isimu jamii: Lugha ya itifaki
Muhtasari Aina za maneno: Nomino Maudhui katika fasihi andishi Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza mazingira ambamo lugha ya itifaki hutumiwa. -Kufafanua sifa za lugha ya itifaki. -Kueleza umuhimu wa lugha ya itifaki. |
Kusoma.
Kusikiliza Kuandika Kujadiliana Uchambuzi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 21-22 |
|
2 | 6 |
Kusoma (fasihi)
Kuandika Kusikiliza na kuzungumza Kusikiliza na kuzungumza Ufahamu Kusoma (fasihi) |
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Tahakiki Methali Misemo Mfinyanzi hulia gaeni Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kufafanua muundo wa Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi. -Kueleza mtindo na vipengele vyake katika riwaya. -Kutofautisha baina ya muundo na mtindo katika riwaya. |
Kusoma
Kujadili Kusikiliza Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
|
|
3 |
FORM FOUR RAT |
|||||||
4 | 1 |
Kusoma (fasihi)
Sarufi na matumizi ya lugha Sarufi na matumizi ya lugha Kusoma kwa kina Kuandika |
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Viwakilishi Viwakilishi Mashairi huru Insha ya methali |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, -Kubainisha aina za wahusika. -Kueleza sifa bainifu za aina mbalimbali za wahusika. -Kueleza umuhimu wa wahusika mbalimbali. |
Kusoma
Kujadili Kuandika Kuigiza |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
|
|
4 | 2 |
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza na kuzungumza Ufahamu Sarufi na matumizi ya lugha |
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Isimu jamii: Sajili ya bunge Ufahamu Aina za maneno: Vivumishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza umuhimu wa lugha katika Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi. -Kuchambua tamathali na matumizi ya lugha katika Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi. -Kueleza sajili na muktadha wa lugha mbalimbali. |
Kusoma
Kuadili Kudodoso fani za lugha Kuandika Kuwasilisha mbele ya darasa |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
|
|
4 | 3 |
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma (fasihi) Kusoma (fasihi) Kusoma kwa kina Kusikiliza na kuzungumza Kusikiliza na kuzungumza |
Aina za maneno: Vivumishi
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi Muundo na mtindo katika mashairi arudhi Fasihi simulizi: Mafumbo Fasihi simulizi: Misimu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kuainisha vivumishi. -Kutoa mifano ya vivumishi. -Kutumia vivumishi katika sentensi. |
Maelezo
Ufafanuzi. Utafiti. Kutoa mifano |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 51-54
|
|
4 | 4 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi) Kusoma (fasihi) Ufahamu Kusoma kwa kina |
Lakabu
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi Unene wa kuhatarisha Mashairi huru |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya lakabu. -Kufafanua sifa za lakabu. -Kutoa mifano ya lakabu. |
Usomaji.
Maelezo. Utafiti. Majadiliano |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 61-62
|
|
4 | 5 |
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza kuzungumza Kusikiliza kuzungumza Kusikiliza kuzungumza |
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kuandika; Utungaji wa kisanii: Uandishi wa ushairi huru Mahojiano Ufupisho |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutaja wahusika wote kutoka Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi -Kutaja hulka (sifa) za wahusika katika Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi -Kufafanua sifa za wahusika kwa kutoa mifano katika Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi. |
Kusoma
Kujadili Kuandika Kutafiti zaidi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
|
|
4 | 6 |
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma (fasihi) Kusoma (fasihi) Kusoma Kusikiliza na kuzungumza Sarufi na matumizi ya lugha |
Vitenzi: Mzizi na viambishi
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi Tamathali za usemi Soga Mnyambuliko wa vitenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza dhana ya mzizi na viambishi katika vitenzi. -Kubainisha mzizi wa viambishi awali na tamati katika vitenzi. -Kuonyesha viambishi vya kauli za Mnyambuliko katika vitenzi. |
Maelezo
Ufafanuzi. Maswali na majibu. Majadiliano. Tajriba |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 76-79
|
|
5 | 1 |
Kuandika
Kusoma (fasihi) Kusoma (fasihi) Kusikiliza na kuzungumza Kusikiliza na kuzungumza |
Uandishi wa tahariri
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi Ufahamu wa kusikiliza Ufahamu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kueleza maana ya tahariri -Kujadili jinsi ya kuandika tahariri. -Kuandika tahariri. |
Kusoma
Kujadili Kuandika Kutafiti zaidi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi Kamusi ya fasihi simulizi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 95
|
|
5 | 2 |
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma (fasihi) Kusoma (fasihi) Kusoma kwa kina |
Mnyambuliko vitenzi II
Mnyambuliko vitenzi vya silabi ya konsonanti moja Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo) Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo) Muundo na mtindo katika fasihi andishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza mnyambuliko wa vitenzi. Kuainisha kauli mbalimbali za vitenzi. Kufafanua maana ya vitenzi katika kauli mbalimbali. |
Ufafanuzi.
Maelezo. Mifano |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 98-100
|
|
5 | 3 |
Kuandika
Fasihi Kusikiliza na kuzungumza Kusoma (fasihi) Kusoma (fasihi) Ufupisho |
Utafiti wa kazi za fasihi simulizi
Ushairi Miviga Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo) Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo) Ufupisho |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya neno ‘utafiti’ Kufafanua njia za Utafiti wa fasihi simulizi. Kueleza vifaa vinavyoweza kutumika katika Utafiti wa fasihi simulizi nyanjani. |
Kueleza
Kusoma Kuigiza Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kamusi Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 105-106
|
|
5 | 4 |
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma (fasihi) Kusoma (fasihi) |
Aina za maneno; Vielezi
Aina za maneno; Viunganishi Aina za maneno; Vihusishi Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo) Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo) |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kutaja aina za vielezi. Kueleza aina za vielezi. Kutunga sentensi akitumia aina za vielezi. |
Kusoma.
Kusikiliza Kuandika Kujadiliana Uchambuzi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 118-121 |
|
5 | 5 |
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma kwa kina Kuandika Kuandika Kusoma (fasihi) |
Aina za maneno; Vihisishi
Mashairi ya arudhi Memo Baruameme Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo) |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kutaja aina za vihisishi. Kueleza aina za vihisishi. Kueleza dhima ya vihisishi katika sentensi. Kutunga sentensi akitumia vihisishi. |
Kusoma.
Kusikiliza Kuandika Kujadiliana Uchambuzi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kamusi Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 124-125 |
|
5 | 6 |
Kusoma (fasihi)
Kuandika Kusikiliza na kuzungumza Kusikiliza na kuzungumza Sarufi na matumizi ya lugha Kusoma (fasihi) |
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Ujumbe wa rununu Ngano Ngano Uundaji wa maneno Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo) |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kusoma na kueleza maudhui katika sura ya sita Kupambanua sifa za wahusika katika sita Kujibu maswali. |
Kusoma
Kujadili Kuandika Kutafiti zaidi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi Kamusi |
Kitabu teule
|
|
6 | 1 |
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa mapana Kuandika Kusikiliza na kuzungumza Sarufi na matumizi ya lugha |
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Changamoto zinazoikabili lugha ya Kiswahili Insha za masimulizi Mighani Mwingiliano wa aina za maneno |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kusoma na kueleza maudhui katika sura ya saba Kupambanua sifa za wahusika katika sura ya saba. Kujibu maswali. |
Kusoma
Kujadili Kuandika Kutafiti zaidi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi Kamusi |
Kitabu teule
|
|
6 | 2 |
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa mapana Kuandika Kusikiliza na kuzungumza |
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Wajibu wa Kiswahili Kitaifa na kimataifa Kumbukumbu Isimujamii: Matumizi ya lugha katika hotuba |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kusoma sura ya nane (Kifo cha Suluhu) Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya nane. Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya nane. |
Kusoma
Kujadili Kuandika Kutafiti zaidi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi Kamusi |
Kitabu teule
|
|
6 | 3 |
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma (fasihi) Kusoma (fasihi) Kusoma kwa mapana Kuandika Kusikiliza na kuzungumza |
Nyakati, hali na ukanushaji wake
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo) Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo) Historia ya lugha Hotuba Isimujamii: Sajili ya viwandani |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kufafanua matumizi ya si-, -me- na –ki- Kubainisha kanuni za ukanushaji wa hali hizo Kukanusha sentensi hali hizo tatu |
Masimulizi
Uchunguzi Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 156-158
|
|
6 | 4 |
Ufahamu
Kusoma (fasihi) Kusoma (fasihi) Sarufi Kusoma kwa kina |
Mawasiliano katika tarakilishi na utandawazi
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo) Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo) Ukanushaji wa hali II Kamliwaze |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kusoma kwa sauti na kimya. Kujibu maswali. Kutaja sifa zinazodhihirisha mchakato wa mawasiliano kupitia tarakilishi. |
Maelezo
Ufafanuzi. Majadiliano. Uchunguzi. Kazi ya vikundi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 163-165
|
|
6 | 5 |
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza Kusoma (fasihi) Kusoma (fasihi) Ufahamu |
Insha ya mawazo
Mawaidha katika fasihi simulizi Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo) Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo) Ufahamu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza muundo wa insha ya mawazo Kufafanua vigezo muhimu vya insha mawazo Kuandika insha ya mawazo ifaavyo. |
Kueleza
Kujadili Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 61-62
|
|
6 | 6 |
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma kwa kina Kuandika Kusoma (fasihi) Kusoma (fasihi) Kusikiliza na kuzungumza |
Uakifishaji
Idhini ya kishairi Insha ya wasifu Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo) Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo) Ngomezi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kusoma kifungu kisha kutoa mifano ya matumizi ya lugha na alama za uakifishaji. Kutaja alama za uakifishaji zilizotumiwa katika kifungu. Kugeuza sentensi ziwe katika usemi halisi. Kuandika sentensi katika usemi taarifa. |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha mbele ya darasa Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi Kamusi ya fasihi simulizi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 173-175
|
|
7-8 |
KAKAMEGA EAST EXAMS |
|||||||
9 |
MID TERM BREAK |
|||||||
10 | 1 |
Sarufi na matumizi ya lugha
Kuandika Kusikiliza na kuzungumza Kusoma Kusoma (fasihi) |
Muundo wa sentensi
Tawasifu Isimu jamii: Sajili ya michezoni Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kutaja vikundi vya nomino. Kueleza kikundi nomino(KN) na kikundi tenzi (KT) Kutunga sentensi kubainisha vikundi nomino. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 180-183
|
|
10 | 2 |
Sarufi na matumizi ya lugha
Kuandika Sarufi na matumizi ya lugha Kuandika Kusoma (fasihi) |
Yambwa na chagizo
Maagizo na maelekezo Virai Dayalojia Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya yambwa na chagizo. Kubainisha chagizo katika sentensi. Kutunga sentensi zilizo na yambwa na chagizo |
Kueleza
Kusoma Kujibu maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 190-191
|
|
10 | 3 |
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza na kuzungumza Sarufi na matumizi ya lugha Kuandika Kusikiliza na kuzungumza Kusoma (fasihi) |
Kusoma kwa kina;
Kigogo
Chozi la heri
Tumbo lisiloshiba
Nyimbo na maghani Vishazi Ratiba Ulumbi Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kupambanua falsafa na itihadi ya mwandishi wa kitabu teule Kutaja maadili katika kitabu teule Kuchambua vipengele tofauti za fasihi. |
Kusoma.
Kusikiliza Kuandika Kujadiliana Uchambuzi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Kitabu teule
|
|
10 | 4 |
Kusoma (fasihi)
Kuandika Sarufi na matumizi ya lugha Kusoma kwa kina Kuandika |
Kusoma kwa kina;
Kigogo
Chozi la heri
Tumbo lisiloshiba
Barua kwa mhariri Uchanganuzi wa sentensi Wahusika na uhusika katika fasihi andishi Barua kwa mhariri wa gazeti |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza muktadha wa vitabu Kuchambua vipengele vya fasihi-maudhui, wahusika na lugha |
Kusoma.
Kusikiliza Kuandika Kujadiliana Uchambuzi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Kitabu teule
|
|
10 | 5 |
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza na kuzungumza Sarufi na matumizi ya lugha Kuandika |
Kusoma kwa kina;
Kigogo
Chozi la heri
Tumbo lisiloshiba
Isimu jamii: Sajili ya mahakamani Uchanganuzi wa fungu tenzi Insha ya mazungumzo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza muktadha Kuchambua vipengele vya fasihi lugha, wahusika na fani Kujibu maswali |
Kusoma
Kujadili Kusikiliza kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Kitabu teule
|
|
10 | 6 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi) Kusoma (fasihi) Sarufi na matumizi ya lugha Kusoma kwa mapana Kuandika Kusoma kwa kina Kusoma (fasihi) Kusoma (fasihi) |
Changamoto za fasihi simulizi
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba Viambishi maalumu Tahariri kutoka magazetini Mjadala Matangazo Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza sifa za fasihi simulizi. Kutaja aina za fasihi simulizi. Kufafanua changamoto za fasihi simulizi. |
Masimulizi
Uchunguzi Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 242
|
|
12 |
DIOCESE EXAMS |
Your Name Comes Here