Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA NNE
MWAKA WA 2025
MUHULA WA II

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
2 1
Kuandika
Barua ya kirafiki
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza maana na muundo wa barua za kirafiki
-Kutaja sifa za barua za kirafiki
-Kueleza umuhimu wa barua za kirafiki
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 9
2 2
Kuandika
Barua ya kirafiki
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza maana na muundo wa barua za kirafiki
-Kutaja sifa za barua za kirafiki
-Kueleza umuhimu wa barua za kirafiki
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 9
2 3
Kuandika
Barua rasmi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza muundo wa barua rasmi.
-Kutaja sifa za barua rasmi.
-Kuandika barua rasmi kwa mfadhili.
Maelezo
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 19-20
2 4
Kuandika
Barua rasmi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza muundo wa barua rasmi.
-Kutaja sifa za barua rasmi.
-Kuandika barua rasmi kwa mfadhili.
Maelezo
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 19-20
2 5
Sarufi na matumizi ya lugha
Viwakilishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza maana ya viwakilishi.
-Kuainisha viwakilishi mbalimbali na mifano yake.
-Kufafanua matumizi ya viwakilishi.
-Kutunga sentensi kwa kutumia viwakilishi.
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Majadiliano
Mazoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 36-42
2 5-6
Sarufi na matumizi ya lugha
Viwakilishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza maana ya viwakilishi.
-Kuainisha viwakilishi mbalimbali na mifano yake.
-Kufafanua matumizi ya viwakilishi.
-Kutunga sentensi kwa kutumia viwakilishi.
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Majadiliano
Mazoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 36-42
3

MITIHANI YA KUFUNGUA MUHULA WA PILI

4 1
Sarufi na matumizi ya lugha
Viwakilishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kuainisha viwakilishi mbalimbali na mifano yake.
-Kufafanua matumizi ya viwakilishi.
-Kutunga sentensi kwa kutumia viwakilishi.
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Majadiliano
Mazoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 36-42
4 2
Sarufi na matumizi ya lugha
Viwakilishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kuainisha viwakilishi mbalimbali na mifano yake.
-Kufafanua matumizi ya viwakilishi.
-Kutunga sentensi kwa kutumia viwakilishi.
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Majadiliano
Mazoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 36-42
4 3
Kuandika
Insha ya methali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kufafanua muundo wa insha ya methali.
-Kupambanua sifa za insha ya methali.
-Kuandika insha ya methali.
Masimulizi
Uchunguzi
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 45-46
4 4
Kuandika
Insha ya methali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kufafanua muundo wa insha ya methali.
-Kupambanua sifa za insha ya methali.
-Kuandika insha ya methali.
Masimulizi
Uchunguzi
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 45-46
4 5
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma sura ya kwanza ya hadithi fupi (Fadhili za punda)
Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya kwanza.
Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya kwanza.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
4 6
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma sura ya kwanza ya hadithi fupi (Fadhili za punda)
Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya kwanza.
Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya kwanza.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
5 1
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma na kueleza maudhui katika sura ya kwanza
Kupambanua sifa za wahusika katika sura ya kwanza
Kujibu maswali
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
5 2
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma na kueleza maudhui katika sura ya kwanza
Kupambanua sifa za wahusika katika sura ya kwanza
Kujibu maswali
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
5 3
Kuandika
Memo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutambua maana ya memo.
Kueleza muundo wa memo.
Kuandika memo.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 128-129
5 4
Kuandika
Memo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutambua maana ya memo.
Kueleza muundo wa memo.
Kuandika memo.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 128-129
5 5
Kuandika
Baruameme
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutambua maana ya baruameme
Kueleza muundo wa baruameme.
Kuandika baruameme.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 129-130
5 6
Kuandika
Baruameme
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutambua maana ya baruameme
Kueleza muundo wa baruameme.
Kuandika baruameme.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 129-130
6 1
Sarufi na matumizi ya lugha
Uundaji wa maneno
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kuunda nomino kutoka na vitenzi.
Kutunga nomino kutokana na aina nyingine za maneno.
Kubainisha vivumishi kutokana na aina nyingine za maneno.
Kueleza
Kujadili
Kujibu maswali
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 137-139
6 2
Sarufi na matumizi ya lugha
Uundaji wa maneno
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kuunda nomino kutoka na vitenzi.
Kutunga nomino kutokana na aina nyingine za maneno.
Kubainisha vivumishi kutokana na aina nyingine za maneno.
Kueleza
Kujadili
Kujibu maswali
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 137-139
6 3
Kusoma kwa mapana
Changamoto zinazoikabili lugha ya Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kujadili matatizo yanayozikabili lugha ya Kiswahili kwa mujibu wa taarifa.
Kueleza jinsi Changamoto zinazoikumbuka lugha ya Kiswahili zinavyoweza kukabiliwa.
Kufafanua jinsi lugha ya Kiswahili inaweza kusambazwa nchini.
Maelezo
Ufafanuzi
Majadiliano.
Uchunguzi.
Kazi ya vikundi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 139-141
6 4
Kusoma kwa mapana
Changamoto zinazoikabili lugha ya Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kujadili matatizo yanayozikabili lugha ya Kiswahili kwa mujibu wa taarifa.
Kueleza jinsi Changamoto zinazoikumbuka lugha ya Kiswahili zinavyoweza kukabiliwa.
Kufafanua jinsi lugha ya Kiswahili inaweza kusambazwa nchini.
Maelezo
Ufafanuzi
Majadiliano.
Uchunguzi.
Kazi ya vikundi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 139-141
6 5
Kuandika
Insha za masimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kujieleza kwa mtiririko ufaao
Kutambua hatua za uandishi bora wa insha maelezo
Kuandika insha ya maelezo kwa kutumia fani mbalimbali za lugha
Kueleza
Kujadili
Kujibu maswali
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 142
6 6
Sarufi na matumizi ya lugha
Mwingiliano wa aina za maneno
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza jinsi aina za maneno hubadilika kutegemea utendaji kazi yake katika sentensi
Kufafanua jinsi aina za maneno huingiliana.
Kubainisha maneno yaliyopigwa mistari ni ya aina gani.
Kutunga sentensi akitumia msamiati ufaao
Mashindano
Majadiliano
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 146-148
7

MITIHANI YA KATI YA MUHULA WA PILI

8 1
Kusoma kwa mapana
Wajibu wa Kiswahili Kitaifa na kimataifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma taarifa inayohusu Wajibu wa Kiswahili Kitaifa na kimataifa.
Kueleza mambo yanayothibitisha nafasi ya Kiswahili kimataifa.
Kufafanua Wajibu unaotekelezwa na lugha ya Kiswahili kulingana na taarifa.
Usomaji.
Maelezo.
Maswali na majibu.
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 148-149
8 2
Kusoma kwa mapana
Wajibu wa Kiswahili Kitaifa na kimataifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma taarifa inayohusu Wajibu wa Kiswahili Kitaifa na kimataifa.
Kueleza mambo yanayothibitisha nafasi ya Kiswahili kimataifa.
Kufafanua Wajibu unaotekelezwa na lugha ya Kiswahili kulingana na taarifa.
Usomaji.
Maelezo.
Maswali na majibu.
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 148-149
8 3
Kusoma kwa mapana
Wajibu wa Kiswahili Kitaifa na kimataifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma taarifa inayohusu Wajibu wa Kiswahili Kitaifa na kimataifa.
Kueleza mambo yanayothibitisha nafasi ya Kiswahili kimataifa.
Kufafanua Wajibu unaotekelezwa na lugha ya Kiswahili kulingana na taarifa.
Usomaji.
Maelezo.
Maswali na majibu.
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 148-149
8 4
Kuandika
Kumbukumbu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza muundo wa insha ya kumbukumbu
Kudondoa makosa yote katika insha yake na kuyarekebisha
Kuandika insha ya kumbukumbu upya bila makosa yoyote
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Majadiliano
Mazoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 150-152
8 5
Kuandika
Kumbukumbu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza muundo wa insha ya kumbukumbu
Kudondoa makosa yote katika insha yake na kuyarekebisha
Kuandika insha ya kumbukumbu upya bila makosa yoyote
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Majadiliano
Mazoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 150-152
8 6
Kusoma kwa mapana
Historia ya lugha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma taarifa ‘Historia ya lugha’
Kueleza mikakati iliyojadiliwa katika taarifa ya kukiimarisha Kiswahili.
Kutambua hali ya Kiswahili nchini Kenya huku akirejelea taarifa aliyoisoma.
Kuandika
Kuuliza maswali
Kujibu maswali
Kuigiza
Majadiliano.
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 158-160
9

LIKIZO

10 1
Kuandika
Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya hotuba.
Kutambua umuhimu wa hotuba.
Kufafanua muundo wa hotuba.
Kuandika hotuba.
Usomaji.
Maelezo.
Maswali na majibu.
Utafiti.
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 160-161
10 2
Kuandika
Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya hotuba.
Kutambua umuhimu wa hotuba.
Kufafanua muundo wa hotuba.
Kuandika hotuba.
Usomaji.
Maelezo.
Maswali na majibu.
Utafiti.
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 160-161
10 3
Kuandika
Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya hotuba.
Kutambua umuhimu wa hotuba.
Kufafanua muundo wa hotuba.
Kuandika hotuba.
Usomaji.
Maelezo.
Maswali na majibu.
Utafiti.
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 160-161
10 4
Kuandika
Insha ya mawazo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza muundo wa insha ya mawazo
Kufafanua vigezo muhimu vya insha mawazo
Kuandika insha ya mawazo ifaavyo.
Kueleza
Kujadili
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 61-62
10 5
Kuandika
Insha ya mawazo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza muundo wa insha ya mawazo
Kufafanua vigezo muhimu vya insha mawazo
Kuandika insha ya mawazo ifaavyo.
Kueleza
Kujadili
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 61-62
10 6
Kuandika
Insha ya wasifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya wasifu
Kutambua sifa za wasifu na umuhimu wake.
Kuandika wasifu yake kwa muundo sahihi.
Maelezo
Ufafanuzi.
Maswali na majibu.
Majadiliano.
Tajriba
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 176
11 1
Kuandika
Tawasifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya tawasifu
Kueleza sifa za tawasifu
Kuandika tawasifu kwa lugha inayokubalika
Kuandika
Kueleza
Kujibu maswali
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 185-186
11 2
Kuandika
Tawasifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya tawasifu
Kueleza sifa za tawasifu
Kuandika tawasifu kwa lugha inayokubalika
Kuandika
Kueleza
Kujibu maswali
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 185-186
11 3
Kuandika
Tawasifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya tawasifu
Kueleza sifa za tawasifu
Kuandika tawasifu kwa lugha inayokubalika
Kuandika
Kueleza
Kujibu maswali
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 185-186
11 4
Kuandika
Dayalojia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma na kuigiza dayalojia kwa ufasaha.
Kujibu maswali kutokana na dayalojia.
Kuandika dayalojia.
Uigizaji
Maelezo
Ufafanuzi.
Maswali na majibu
Kazi mradi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 200
11 5
Kuandika
Dayalojia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma na kuigiza dayalojia kwa ufasaha.
Kujibu maswali kutokana na dayalojia.
Kuandika dayalojia.
Uigizaji
Maelezo
Ufafanuzi.
Maswali na majibu
Kazi mradi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 200
11 6
Kuandika
Barua kwa mhariri
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza muundo wa barua kwa mhariri.
Kutaja sifa za barua kwa mhariri.
Kuandika barua kwa mhariri.
Mifano.
Majadiliano
Maelezo
Ufafanuzi
Tajriba
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 227-228
12

MITIHANI YA MWISHO WA MUHULA WA PILI

13

MITIHANI YA MWISHO WA MUHULA WA PILI


Your Name Comes Here


Download

Feedback