Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA NNE
MWAKA WA 2025
MUHULA WA II

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
1

Reporting

2 1
Ufupisho
Sarufi na matumizi ya lugha
Ufupisho
Aina za maneno; Vielezi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma hadithi na kuelewa ujumbe
Kudondoa hoja muhimu
Kufupisha hadithi kwa urefu ulioulizwa
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 116-118
2 2-3
Sarufi na matumizi ya lugha
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma (fasihi)
Aina za maneno; Viunganishi
Aina za maneno; Vihusishi
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutaja aina za viunganishi.
Kueleza aina za viunganishi.
Kueleza dhima ya viunganishi katika sentensi.
Kutunga sentensi akitumia aina za vivumishi.

somo, ;
Kutaja aina za vihusishi.
Kueleza aina za vihusishi.
Kueleza dhima ya vihusishi katika sentensi.
Kutunga sentensi akitumia vihusishi.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu

Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 121-123
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 123-124
2 4
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma na kueleza maudhui katika sura ya nne na ya tano
Kupambanua sifa za wahusika katika sura ya nne na ya tano
Kujibu maswali.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
2 5
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma kwa kina
Aina za maneno; Vihisishi
Mashairi ya arudhi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutaja aina za vihisishi.
Kueleza aina za vihisishi.
Kueleza dhima ya vihisishi katika sentensi.
Kutunga sentensi akitumia vihisishi.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kamusi
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 124-125
2 6
Kuandika
Memo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutambua maana ya memo.
Kueleza muundo wa memo.
Kuandika memo.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 128-129
3 1
Kuandika
Kusoma (fasihi)
Baruameme
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutambua maana ya baruameme
Kueleza muundo wa baruameme.
Kuandika baruameme.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 129-130
3 2-3
Kusoma (fasihi)
Kuandika
Sarufi na matumizi ya lugha
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Ujumbe wa rununu
Uundaji wa maneno
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma na kueleza maudhui katika sura ya sita
Kupambanua sifa za wahusika katika sita
Kujibu maswali.

somo, ;
Kueleza umuhimu wa rununu
Kueleza muundo wa ujumbe wa rununu
Kuandika ujumbe wa rununu
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu teule

Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 130
3 4
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma sura ya saba (Kila Mchezea Wembe)
Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya saba.
Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya saba.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
3 5
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa mapana
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Changamoto zinazoikabili lugha ya Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma na kueleza maudhui katika sura ya saba
Kupambanua sifa za wahusika katika sura ya saba.
Kujibu maswali.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kamusi
Kitabu teule
3 6
Kuandika
Insha za masimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kujieleza kwa mtiririko ufaao
Kutambua hatua za uandishi bora wa insha maelezo
Kuandika insha ya maelezo kwa kutumia fani mbalimbali za lugha
Kueleza
Kujadili
Kujibu maswali
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 142
4 1
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi na matumizi ya lugha
Mighani
Mwingiliano wa aina za maneno
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kufafanua maana ya mighani
Kubainisha sifa za mighani
Kutoa mifano kwa mighani katika jamii yake.
Utafiti.
Mifano.
Uchunguzi.
Kazi mradi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 143-144
4 2-3
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa mapana
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Wajibu wa Kiswahili Kitaifa na kimataifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma sura ya nane (Kifo cha Suluhu)
Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya nane.
Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya nane.

somo, ;
Kusoma taarifa inayohusu Wajibu wa Kiswahili Kitaifa na kimataifa.
Kueleza mambo yanayothibitisha nafasi ya Kiswahili kimataifa.
Kufafanua Wajibu unaotekelezwa na lugha ya Kiswahili kulingana na taarifa.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Usomaji.
Maelezo.
Maswali na majibu.
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu teule

Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 148-149
4 4
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Kumbukumbu
Isimujamii: Matumizi ya lugha katika hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza muundo wa insha ya kumbukumbu
Kudondoa makosa yote katika insha yake na kuyarekebisha
Kuandika insha ya kumbukumbu upya bila makosa yoyote
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Majadiliano
Mazoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 150-152
4 5
Sarufi na matumizi ya lugha
Nyakati, hali na ukanushaji wake
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kufafanua matumizi ya si-, -me- na –ki-
Kubainisha kanuni za ukanushaji wa hali hizo
Kukanusha sentensi hali hizo tatu
Masimulizi
Uchunguzi
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 156-158
4 6
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma sura ya tisa (Ahadi ni Deni)
Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya tisa.
Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya tisa.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
5 1
Kusoma kwa mapana
Historia ya lugha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma taarifa ‘Historia ya lugha’
Kueleza mikakati iliyojadiliwa katika taarifa ya kukiimarisha Kiswahili.
Kutambua hali ya Kiswahili nchini Kenya huku akirejelea taarifa aliyoisoma.
Kuandika
Kuuliza maswali
Kujibu maswali
Kuigiza
Majadiliano.
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 158-160
5 2-3
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Ufahamu
Hotuba
Isimujamii: Sajili ya viwandani
Mawasiliano katika tarakilishi na utandawazi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya hotuba.
Kutambua umuhimu wa hotuba.
Kufafanua muundo wa hotuba.
Kuandika hotuba.

somo, ;
Kusoma kwa sauti na kimya.
Kujibu maswali.
Kutaja sifa zinazodhihirisha mchakato wa mawasiliano kupitia tarakilishi.
Usomaji.
Maelezo.
Maswali na majibu.
Utafiti.

Maelezo
Ufafanuzi.
Majadiliano.
Uchunguzi.
Kazi ya vikundi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 160-161
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 163-165
5 4
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma sura ya kumi (Toba ya Kalia)
Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya kumi.
Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya kumi.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
5 5
Sarufi
Ukanushaji wa hali II
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kufafanua matumizi ya –a-, -po-, -nge-, -ngali- na –ngeli-
Kubainisha kanuni za ukanushaji wa hali hizo
Kukanusha sentensi hali hizo tatu
Maelezo
Ufafanuzi.
Mifano.
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 165-167
5 6
Kusoma kwa kina
Kuandika
Kamliwaze
Insha ya mawazo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma shairi, ‘Kamliwaze’
Kuchambua shairi hili, ‘Kamliwaze’
Kujibu maswali.
Ufaraguzi
Utafiti
Maelezo
Ufanunuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 168
6 1
Kusikiliza na kuzungumza
Mawaidha katika fasihi simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya mawaidha katika fasihi simulizi.
Kufafanua sifa za mawaidha.
Kutaja dhima ya mawaidha.
Usomaji.
Utafiti.
Utatuzi wa mambo.
Uchunguzi kifani
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 170-171
6 2-3
Kusoma (fasihi)
Ufahamu
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Ufahamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma sura ya kumi na moja (Nipe nafasi)
Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya kumi na moja.
Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya kumi na moja.

somo, ;
Kufafanua mawazo makuu katika kifungu
Kueleza msamiati na kuutungia sentensi kwa usahihi
Kujibu maswali ya ufahamu kiukamilifu
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Maelezo.
Mifano.
Mazoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu teule

Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 171-172
6 4
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma kwa kina
Uakifishaji
Idhini ya kishairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma kifungu kisha kutoa mifano ya matumizi ya lugha na alama za uakifishaji.
Kutaja alama za uakifishaji zilizotumiwa katika kifungu.
Kugeuza sentensi ziwe katika usemi halisi.
Kuandika sentensi katika usemi taarifa.
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha mbele ya darasa
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 173-175
6 5
Kuandika
Insha ya wasifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya wasifu
Kutambua sifa za wasifu na umuhimu wake.
Kuandika wasifu yake kwa muundo sahihi.
Maelezo
Ufafanuzi.
Maswali na majibu.
Majadiliano.
Tajriba
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 176
6 6
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma sura ya kumi na mbili (Nilitamani)
Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya kumi na mbili.
Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya kumi na mbili.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
7 1
Kusikiliza na kuzungumza
Ngomezi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya Ngomezi.
Kutaja sifa za ngomezi
Kufafanua umuhimu wa ngomezi
Kutaja ngomezi za kisasa
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuigiza
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya fasihi simulizi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 177-178
7 2-3
Sarufi na matumizi ya lugha
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Muundo wa sentensi
Tawasifu
Isimu jamii: Sajili ya michezoni
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutaja vikundi vya nomino.
Kueleza kikundi nomino(KN) na kikundi tenzi (KT)
Kutunga sentensi kubainisha vikundi nomino.

somo ;
Kufafanua sifa za sajili ya michezoni.
Kueleza umuhimu wa sajili ya michezoni
Kutaja wanaohusika katika kutumia lugha ya michezoni.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 180-183
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 187
7 4
Kusoma
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutaja vipengele vya kutumia kupata maadili ya kitabu teule.
Kueleza maana ya anwani na umuhimu wake.
Kufafanua wahusika na jinsi wanavyojenga maadili.
Kusoma.
Kusikiliza.
Kuandika.
Kujadiliana.
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu teule
7 5
Sarufi na matumizi ya lugha
Yambwa na chagizo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya yambwa na chagizo.
Kubainisha chagizo katika sentensi.
Kutunga sentensi zilizo na yambwa na chagizo
Kueleza
Kusoma
Kujibu maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 190-191
7 6
Kuandika
Sarufi na matumizi ya lugha
Maagizo na maelekezo
Virai
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya maagizo ya maelekezo.
Kufafanua muundo wa kuandika maagizo/maelekezo.
Kueleza vipengele vya kuandika maagizo/maelekezo
Maelezo.
Majadiliano.
Tajriba.
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 193
8 1
Kuandika
Dayalojia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma na kuigiza dayalojia kwa ufasaha.
Kujibu maswali kutokana na dayalojia.
Kuandika dayalojia.
Uigizaji
Maelezo
Ufafanuzi.
Maswali na majibu
Kazi mradi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 200
8 2-3
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba
Nyimbo na maghani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutambua mbinu za sanaa katika hadithi fupi
Kufafanua mbinu za sanaa na dhima yake katika hadithi
Kupanua kitembo chake cha msamiati na fani za lugha.

somo, ;
Kueleza maana ya nyimbo na maghani.
Kutaja sifa za nyimbo na maghani.
Kutaja na kueleza aina za nyimbo
Kufafanua umuhimu wa nyimbo na maghani.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu teule

Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 209-212
8 4
Sarufi na matumizi ya lugha
Kuandika
Vishazi
Ratiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya kishazi
Kubainisha aina za vishazi
Kutunga sentensi zenye vishazi
Kutambua vishazi katika tungo
Kueleza
Kusoma
Kujibu maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 214-216
8 5
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi)
Ulumbi
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya ulumbi.
Kueleza majukumu ya walumbi.
Kufafanua umuhimu wa ulumbi
Kutoa mifano ya walumbi.
Maelezo
Uchunguzi kifani
Utazamaji
Kutoa mifano
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 218-219
8 6
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza muktadha wa vitabu
Kuchambua vipengele vya fasihi-maudhui, wahusika na lugha
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu teule
9

Midterm break

10

Midterm exams

11 1
Kuandika
Sarufi na matumizi ya lugha
Barua kwa mhariri
Uchanganuzi wa sentensi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza muundo wa barua kwa mhariri.
Kutaja sifa za barua kwa mhariri.
Kuandika barua kwa mhariri.
Mifano.
Majadiliano
Maelezo
Ufafanuzi
Tajriba
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 227-228
11 2-3
Kusoma kwa kina
Kuandika
Kusoma (fasihi)
Wahusika na uhusika katika fasihi andishi
Barua kwa mhariri wa gazeti
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya wahusika katika fasihi andishi.
Kufafanua umuhimu wa wahusika katika fasihi andishi.
Kutaja aina za wahusika katika fasihi andishi.

somo, ;
Kueleza muundo wa barua kwa mhariri wa gazeti.
Kutaja sifa za barua kwa mhariri wa gazeti.
Kuandika barua kwa mhariri wa gazeti.
Utafiti.
Mifano.
Uchunguzi.
Kazi mradi
Mashindano
Majadiliano
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 233-234
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 234-235
11 4
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza mtiririko wa kitabu teule
Kuchambua vipengele tofauti za fasihi – lugha, wahusika na maudhui.
Kujibu maswali
Kusoma
Kujadili
Kusikiliza
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu teule
11 5
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi na matumizi ya lugha
Isimu jamii: Sajili ya mahakamani
Uchanganuzi wa fungu tenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kufafanua sifa za sajili ya mahakamani
Kueleza umuhimu wa sajili ya mahakamani
Kutaja wanaohusika katika kutumia lugha ya mahakamani
Usomaji.
Maelezo.
Maswali na majibu.
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 236
11 6
Kuandika
Insha ya mazungumzo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza muundo wa insha ya mazungumzo
Kutaja sifa za insha ya mazungumzo.
Kuandika insha ya mazungumzo.
Kudadisi
Uchunguzi
Ufafanuzi
Uhakiki
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 241
12 1
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi)
Changamoto za fasihi simulizi
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza sifa za fasihi simulizi.
Kutaja aina za fasihi simulizi.
Kufafanua changamoto za fasihi simulizi.
Masimulizi
Uchunguzi
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 242
12 2-3
Kusoma (fasihi)
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma kwa mapana
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba
Viambishi maalumu
Tahariri kutoka magazetini
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
Kutaja wahusika katika hadithi fupi
Kutambua sifa za wahusika wa hadithi fupi.

somo, ;
Kueleza maana ya viambishi maalumu.
Kutaja aina za viambishi maalumu.
Kutunga sentensi kubainisha matumizi ya kiambishi –ku-, -ndi-, -ji-
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kuigiza
Kuandika
Kuuliza maswali
Kujibu maswali
Kuigiza
Majadiliano.
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu teule

Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 244-247
12 4
Kuandika
Mjadala
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya mjadala.
Kufafanua kanuni za kutendesha mjadala.
Kutaja umuhimu wa mjadala.
Maelezo
Ufafanuzi.
Utafiti.
Kutoa mifano
Kuigiza
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 250
12 5
Kusoma kwa kina
Kusoma (fasihi)
Matangazo
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya Matangazo.
Kufafanua umuhimu wa Matangazo.
Kutaja aina za Matangazo.
Kueleza sifa za Matangazo
Kuandika Matangazo.
Maelezo
Ufafanuzi.
Majadiliano.
Uchunguzi.
Kazi ya vikundi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 256-258
12 6
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza umuhimu wa lugha katika kitabu teule.
Kuchambua tamathali na matumizi ya lugha katika kitabu teule.
Kueleza sajili na muktadha wa lugha mbalimbali.
Kusoma
Kuadili
Kudodoso fani za lugha
Kuandika
Kuwasilisha mbele ya darasa
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Kitabu teule
13

End term exams


Your Name Comes Here


Download

Feedback