If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | MBINU | VIFAA | ASILIA | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
1 |
Reporting |
|||||||
2 | 1 |
Ufupisho
Sarufi na matumizi ya lugha |
Ufupisho
Aina za maneno; Vielezi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kusoma hadithi na kuelewa ujumbe Kudondoa hoja muhimu Kufupisha hadithi kwa urefu ulioulizwa |
Kusoma
Kujadili Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 116-118
|
|
2 | 2-3 |
Sarufi na matumizi ya lugha
Sarufi na matumizi ya lugha Kusoma (fasihi) |
Aina za maneno; Viunganishi
Aina za maneno; Vihusishi Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo) |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kutaja aina za viunganishi. Kueleza aina za viunganishi. Kueleza dhima ya viunganishi katika sentensi. Kutunga sentensi akitumia aina za vivumishi. somo, ; Kutaja aina za vihusishi. Kueleza aina za vihusishi. Kueleza dhima ya vihusishi katika sentensi. Kutunga sentensi akitumia vihusishi. |
Kusoma.
Kusikiliza Kuandika Kujadiliana Uchambuzi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 121-123 Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 123-124 |
|
2 | 4 |
Kusoma (fasihi)
|
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kusoma na kueleza maudhui katika sura ya nne na ya tano Kupambanua sifa za wahusika katika sura ya nne na ya tano Kujibu maswali. |
Kusoma
Kujadili Kuandika Kutafiti zaidi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
Kitabu teule
|
|
2 | 5 |
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma kwa kina |
Aina za maneno; Vihisishi
Mashairi ya arudhi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kutaja aina za vihisishi. Kueleza aina za vihisishi. Kueleza dhima ya vihisishi katika sentensi. Kutunga sentensi akitumia vihisishi. |
Kusoma.
Kusikiliza Kuandika Kujadiliana Uchambuzi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kamusi |
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 124-125 |
|
2 | 6 |
Kuandika
|
Memo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kutambua maana ya memo. Kueleza muundo wa memo. Kuandika memo. |
Kusoma.
Kusikiliza Kuandika Kujadiliana Uchambuzi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 128-129 |
|
3 | 1 |
Kuandika
Kusoma (fasihi) |
Baruameme
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo) |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kutambua maana ya baruameme Kueleza muundo wa baruameme. Kuandika baruameme. |
Kusoma.
Kusikiliza Kuandika Kujadiliana Uchambuzi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 129-130 |
|
3 | 2-3 |
Kusoma (fasihi)
Kuandika Sarufi na matumizi ya lugha |
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Ujumbe wa rununu Uundaji wa maneno |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kusoma na kueleza maudhui katika sura ya sita Kupambanua sifa za wahusika katika sita Kujibu maswali. somo, ; Kueleza umuhimu wa rununu Kueleza muundo wa ujumbe wa rununu Kuandika ujumbe wa rununu |
Kusoma
Kujadili Kuandika Kutafiti zaidi Kusoma. Kusikiliza Kuandika Kujadiliana Uchambuzi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Kitabu teule
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 130 |
|
3 | 4 |
Kusoma (fasihi)
|
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kusoma sura ya saba (Kila Mchezea Wembe) Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya saba. Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya saba. |
Kusoma
Kujadili Kuandika Kutafiti zaidi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
Kitabu teule
|
|
3 | 5 |
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa mapana |
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Changamoto zinazoikabili lugha ya Kiswahili |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kusoma na kueleza maudhui katika sura ya saba Kupambanua sifa za wahusika katika sura ya saba. Kujibu maswali. |
Kusoma
Kujadili Kuandika Kutafiti zaidi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi Kamusi |
Kitabu teule
|
|
3 | 6 |
Kuandika
|
Insha za masimulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kujieleza kwa mtiririko ufaao Kutambua hatua za uandishi bora wa insha maelezo Kuandika insha ya maelezo kwa kutumia fani mbalimbali za lugha |
Kueleza
Kujadili Kujibu maswali |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 142
|
|
4 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi na matumizi ya lugha |
Mighani
Mwingiliano wa aina za maneno |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kufafanua maana ya mighani Kubainisha sifa za mighani Kutoa mifano kwa mighani katika jamii yake. |
Utafiti.
Mifano. Uchunguzi. Kazi mradi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 143-144
|
|
4 | 2-3 |
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa mapana |
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Wajibu wa Kiswahili Kitaifa na kimataifa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kusoma sura ya nane (Kifo cha Suluhu) Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya nane. Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya nane. somo, ; Kusoma taarifa inayohusu Wajibu wa Kiswahili Kitaifa na kimataifa. Kueleza mambo yanayothibitisha nafasi ya Kiswahili kimataifa. Kufafanua Wajibu unaotekelezwa na lugha ya Kiswahili kulingana na taarifa. |
Kusoma
Kujadili Kuandika Kutafiti zaidi Usomaji. Maelezo. Maswali na majibu. Utafiti |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Kitabu teule
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 148-149 |
|
4 | 4 |
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza |
Kumbukumbu
Isimujamii: Matumizi ya lugha katika hotuba |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza muundo wa insha ya kumbukumbu Kudondoa makosa yote katika insha yake na kuyarekebisha Kuandika insha ya kumbukumbu upya bila makosa yoyote |
Maelezo
Ufafanuzi Maswali na majibu Majadiliano Mazoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 150-152
|
|
4 | 5 |
Sarufi na matumizi ya lugha
|
Nyakati, hali na ukanushaji wake
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kufafanua matumizi ya si-, -me- na –ki- Kubainisha kanuni za ukanushaji wa hali hizo Kukanusha sentensi hali hizo tatu |
Masimulizi
Uchunguzi Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 156-158
|
|
4 | 6 |
Kusoma (fasihi)
|
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kusoma sura ya tisa (Ahadi ni Deni) Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya tisa. Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya tisa. |
Kusoma
Kujadili Kuandika Kutafiti zaidi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
Kitabu teule
|
|
5 | 1 |
Kusoma kwa mapana
|
Historia ya lugha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kusoma taarifa ‘Historia ya lugha’ Kueleza mikakati iliyojadiliwa katika taarifa ya kukiimarisha Kiswahili. Kutambua hali ya Kiswahili nchini Kenya huku akirejelea taarifa aliyoisoma. |
Kuandika
Kuuliza maswali Kujibu maswali Kuigiza Majadiliano. |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 158-160
|
|
5 | 2-3 |
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza Ufahamu |
Hotuba
Isimujamii: Sajili ya viwandani Mawasiliano katika tarakilishi na utandawazi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya hotuba. Kutambua umuhimu wa hotuba. Kufafanua muundo wa hotuba. Kuandika hotuba. somo, ; Kusoma kwa sauti na kimya. Kujibu maswali. Kutaja sifa zinazodhihirisha mchakato wa mawasiliano kupitia tarakilishi. |
Usomaji.
Maelezo. Maswali na majibu. Utafiti. Maelezo Ufafanuzi. Majadiliano. Uchunguzi. Kazi ya vikundi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 160-161
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 163-165 |
|
5 | 4 |
Kusoma (fasihi)
|
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kusoma sura ya kumi (Toba ya Kalia) Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya kumi. Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya kumi. |
Kusoma
Kujadili Kuandika Kutafiti zaidi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
Kitabu teule
|
|
5 | 5 |
Sarufi
|
Ukanushaji wa hali II
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kufafanua matumizi ya –a-, -po-, -nge-, -ngali- na –ngeli- Kubainisha kanuni za ukanushaji wa hali hizo Kukanusha sentensi hali hizo tatu |
Maelezo
Ufafanuzi. Mifano. |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 165-167
|
|
5 | 6 |
Kusoma kwa kina
Kuandika |
Kamliwaze
Insha ya mawazo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kusoma shairi, ‘Kamliwaze’ Kuchambua shairi hili, ‘Kamliwaze’ Kujibu maswali. |
Ufaraguzi
Utafiti Maelezo Ufanunuzi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 168
|
|
6 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Mawaidha katika fasihi simulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya mawaidha katika fasihi simulizi. Kufafanua sifa za mawaidha. Kutaja dhima ya mawaidha. |
Usomaji.
Utafiti. Utatuzi wa mambo. Uchunguzi kifani |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 170-171
|
|
6 | 2-3 |
Kusoma (fasihi)
Ufahamu |
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Ufahamu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kusoma sura ya kumi na moja (Nipe nafasi) Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya kumi na moja. Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya kumi na moja. somo, ; Kufafanua mawazo makuu katika kifungu Kueleza msamiati na kuutungia sentensi kwa usahihi Kujibu maswali ya ufahamu kiukamilifu |
Kusoma
Kujadili Kuandika Kutafiti zaidi Maelezo. Mifano. Mazoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Kitabu teule
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 171-172 |
|
6 | 4 |
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma kwa kina |
Uakifishaji
Idhini ya kishairi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kusoma kifungu kisha kutoa mifano ya matumizi ya lugha na alama za uakifishaji. Kutaja alama za uakifishaji zilizotumiwa katika kifungu. Kugeuza sentensi ziwe katika usemi halisi. Kuandika sentensi katika usemi taarifa. |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha mbele ya darasa Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 173-175
|
|
6 | 5 |
Kuandika
|
Insha ya wasifu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya wasifu Kutambua sifa za wasifu na umuhimu wake. Kuandika wasifu yake kwa muundo sahihi. |
Maelezo
Ufafanuzi. Maswali na majibu. Majadiliano. Tajriba |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 176
|
|
6 | 6 |
Kusoma (fasihi)
|
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kusoma sura ya kumi na mbili (Nilitamani) Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya kumi na mbili. Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya kumi na mbili. |
Kusoma
Kujadili Kuandika Kutafiti zaidi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
Kitabu teule
|
|
7 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Ngomezi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya Ngomezi. Kutaja sifa za ngomezi Kufafanua umuhimu wa ngomezi Kutaja ngomezi za kisasa |
Kueleza
Kujadiliana Kuandika Kuigiza Utafiti |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya fasihi simulizi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 177-178
|
|
7 | 2-3 |
Sarufi na matumizi ya lugha
Kuandika Kusikiliza na kuzungumza |
Muundo wa sentensi
Tawasifu Isimu jamii: Sajili ya michezoni |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kutaja vikundi vya nomino. Kueleza kikundi nomino(KN) na kikundi tenzi (KT) Kutunga sentensi kubainisha vikundi nomino. somo ; Kufafanua sifa za sajili ya michezoni. Kueleza umuhimu wa sajili ya michezoni Kutaja wanaohusika katika kutumia lugha ya michezoni. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 180-183
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 187 |
|
7 | 4 |
Kusoma
Kusoma (fasihi) |
Kusoma kwa kina;
Kigogo
Chozi la heri
Tumbo lisiloshiba
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kutaja vipengele vya kutumia kupata maadili ya kitabu teule. Kueleza maana ya anwani na umuhimu wake. Kufafanua wahusika na jinsi wanavyojenga maadili. |
Kusoma.
Kusikiliza. Kuandika. Kujadiliana. Uchambuzi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu |
Kitabu teule
|
|
7 | 5 |
Sarufi na matumizi ya lugha
|
Yambwa na chagizo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya yambwa na chagizo. Kubainisha chagizo katika sentensi. Kutunga sentensi zilizo na yambwa na chagizo |
Kueleza
Kusoma Kujibu maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 190-191
|
|
7 | 6 |
Kuandika
Sarufi na matumizi ya lugha |
Maagizo na maelekezo
Virai |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya maagizo ya maelekezo. Kufafanua muundo wa kuandika maagizo/maelekezo. Kueleza vipengele vya kuandika maagizo/maelekezo |
Maelezo.
Majadiliano. Tajriba. Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 193
|
|
8 | 1 |
Kuandika
|
Dayalojia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kusoma na kuigiza dayalojia kwa ufasaha. Kujibu maswali kutokana na dayalojia. Kuandika dayalojia. |
Uigizaji
Maelezo Ufafanuzi. Maswali na majibu Kazi mradi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 200 |
|
8 | 2-3 |
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza na kuzungumza |
Kusoma kwa kina;
Kigogo
Chozi la heri
Tumbo lisiloshiba
Nyimbo na maghani |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kutambua mbinu za sanaa katika hadithi fupi Kufafanua mbinu za sanaa na dhima yake katika hadithi Kupanua kitembo chake cha msamiati na fani za lugha. somo, ; Kueleza maana ya nyimbo na maghani. Kutaja sifa za nyimbo na maghani. Kutaja na kueleza aina za nyimbo Kufafanua umuhimu wa nyimbo na maghani. |
Kusoma.
Kusikiliza Kuandika Kujadiliana Uchambuzi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Kitabu teule
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 209-212 |
|
8 | 4 |
Sarufi na matumizi ya lugha
Kuandika |
Vishazi
Ratiba |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya kishazi Kubainisha aina za vishazi Kutunga sentensi zenye vishazi Kutambua vishazi katika tungo |
Kueleza
Kusoma Kujibu maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 214-216 |
|
8 | 5 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi) |
Ulumbi
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya ulumbi. Kueleza majukumu ya walumbi. Kufafanua umuhimu wa ulumbi Kutoa mifano ya walumbi. |
Maelezo
Uchunguzi kifani Utazamaji Kutoa mifano |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 218-219
|
|
8 | 6 |
Kusoma (fasihi)
|
Kusoma kwa kina;
Kigogo
Chozi la heri
Tumbo lisiloshiba
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza muktadha wa vitabu Kuchambua vipengele vya fasihi-maudhui, wahusika na lugha |
Kusoma.
Kusikiliza Kuandika Kujadiliana Uchambuzi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Kitabu teule
|
|
9 |
Midterm break |
|||||||
10 |
Midterm exams |
|||||||
11 | 1 |
Kuandika
Sarufi na matumizi ya lugha |
Barua kwa mhariri
Uchanganuzi wa sentensi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza muundo wa barua kwa mhariri. Kutaja sifa za barua kwa mhariri. Kuandika barua kwa mhariri. |
Mifano.
Majadiliano Maelezo Ufafanuzi Tajriba Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 227-228
|
|
11 | 2-3 |
Kusoma kwa kina
Kuandika Kusoma (fasihi) |
Wahusika na uhusika katika fasihi andishi
Barua kwa mhariri wa gazeti Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya wahusika katika fasihi andishi. Kufafanua umuhimu wa wahusika katika fasihi andishi. Kutaja aina za wahusika katika fasihi andishi. somo, ; Kueleza muundo wa barua kwa mhariri wa gazeti. Kutaja sifa za barua kwa mhariri wa gazeti. Kuandika barua kwa mhariri wa gazeti. |
Utafiti.
Mifano. Uchunguzi. Kazi mradi Mashindano Majadiliano Maelezo Ufafanuzi Maswali na majibu |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 233-234
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 234-235 |
|
11 | 4 |
Kusoma (fasihi)
|
Kusoma kwa kina;
Kigogo
Chozi la heri
Tumbo lisiloshiba
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza mtiririko wa kitabu teule Kuchambua vipengele tofauti za fasihi – lugha, wahusika na maudhui. Kujibu maswali |
Kusoma
Kujadili Kusikiliza Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Kitabu teule
|
|
11 | 5 |
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi na matumizi ya lugha |
Isimu jamii: Sajili ya mahakamani
Uchanganuzi wa fungu tenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kufafanua sifa za sajili ya mahakamani Kueleza umuhimu wa sajili ya mahakamani Kutaja wanaohusika katika kutumia lugha ya mahakamani |
Usomaji.
Maelezo. Maswali na majibu. Utafiti |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 236
|
|
11 | 6 |
Kuandika
|
Insha ya mazungumzo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza muundo wa insha ya mazungumzo Kutaja sifa za insha ya mazungumzo. Kuandika insha ya mazungumzo. |
Kudadisi
Uchunguzi Ufafanuzi Uhakiki |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 241
|
|
12 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi) |
Changamoto za fasihi simulizi
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza sifa za fasihi simulizi. Kutaja aina za fasihi simulizi. Kufafanua changamoto za fasihi simulizi. |
Masimulizi
Uchunguzi Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 242
|
|
12 | 2-3 |
Kusoma (fasihi)
Sarufi na matumizi ya lugha Kusoma kwa mapana |
Kusoma kwa kina;
Kigogo
Chozi la heri
Tumbo lisiloshiba
Viambishi maalumu Tahariri kutoka magazetini |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, Kutaja wahusika katika hadithi fupi Kutambua sifa za wahusika wa hadithi fupi. somo, ; Kueleza maana ya viambishi maalumu. Kutaja aina za viambishi maalumu. Kutunga sentensi kubainisha matumizi ya kiambishi –ku-, -ndi-, -ji- |
Kusoma
Kujadili Kuandika Kuigiza Kuandika Kuuliza maswali Kujibu maswali Kuigiza Majadiliano. |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Kitabu teule
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 244-247 |
|
12 | 4 |
Kuandika
|
Mjadala
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya mjadala. Kufafanua kanuni za kutendesha mjadala. Kutaja umuhimu wa mjadala. |
Maelezo
Ufafanuzi. Utafiti. Kutoa mifano Kuigiza |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 250
|
|
12 | 5 |
Kusoma kwa kina
Kusoma (fasihi) |
Matangazo
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya Matangazo. Kufafanua umuhimu wa Matangazo. Kutaja aina za Matangazo. Kueleza sifa za Matangazo Kuandika Matangazo. |
Maelezo
Ufafanuzi. Majadiliano. Uchunguzi. Kazi ya vikundi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 256-258
|
|
12 | 6 |
Kusoma (fasihi)
|
Kusoma kwa kina;
Kigogo
Chozi la heri
Tumbo lisiloshiba
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza umuhimu wa lugha katika kitabu teule. Kuchambua tamathali na matumizi ya lugha katika kitabu teule. Kueleza sajili na muktadha wa lugha mbalimbali. |
Kusoma
Kuadili Kudodoso fani za lugha Kuandika Kuwasilisha mbele ya darasa |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Kitabu teule
|
|
13 |
End term exams |
Your Name Comes Here