Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA NNE
MWAKA WA 2025
MUHULA WA II

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
1

OPENING OF SCHOOL

2 1
Kusoma
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kutaja na kugusia yaliyomo katika Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi cha fasihi.
-Kueleza mtiririko wa kitabu kwa muhtasari.
-Kueleza dhamira ya riwaya teule.
Kusoma.
Kusikiliza.
Kuandika.
Kujadiliana.
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
2 2
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kutaja na kugusia yaliyomo katika Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi cha fasihi.
-Kueleza mtiririko wa kitabu kwa muhtasari.
-Kueleza dhamira ya riwaya teule.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
2 3
Kuandika
Barua ya kirafiki
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza maana na muundo wa barua za kirafiki
-Kutaja sifa za barua za kirafiki
-Kueleza umuhimu wa barua za kirafiki
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 9
2 4
Kuandika
Barua ya kirafiki
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza maana na muundo wa barua za kirafiki
-Kutaja sifa za barua za kirafiki
-Kueleza umuhimu wa barua za kirafiki
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 9
2 5
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kusoma Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi.
-Kueleza muktadha.
-Kuchambua vipengele vya fasihi- lugha, maudhui, na fani.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
2 6
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kusoma Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi.
-Kueleza muktadha.
-Kuchambua vipengele vya fasihi- lugha, maudhui, na fani.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
3 1
Kusoma kwa kina
Fasihi andishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza asili na maendeleo ya fasihi andishi.
-Kufafanua sifa zinazobainisha fasihi andishi.
-Kutaja tanzu za fasihi andishi.
Mjadala
Maswali na majibu.
Uvumbuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 17-19
3 2
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kufafanua maudhui kwa kutoa mifano katika Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi.
-Kueleza mtiririko wa kisa
-Kuchambua vipengele vya fasihi- maudhui, wahusika na mbinu
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
3 3
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kufafanua maudhui kwa kutoa mifano katika Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi.
-Kueleza mtiririko wa kisa
-Kuchambua vipengele vya fasihi- maudhui, wahusika na mbinu
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
3 4
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kufafanua maudhui kwa kutoa mifano katika Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi.
-Kueleza mtiririko wa kisa
-Kuchambua vipengele vya fasihi- maudhui, wahusika na mbinu
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
3 5
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza umuhimu wa lugha katika Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi.
-Kuchambua tamathali na matumizi ya lugha katika Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi.
-Kueleza sajili na muktadha wa lugha mbalimbali.
Kusoma
Kuadili
Kudodoso fani za lugha
Kuandika
Kuwasilisha mbele ya darasa
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
3 6
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza umuhimu wa lugha katika Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi.
-Kuchambua tamathali na matumizi ya lugha katika Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi.
-Kueleza sajili na muktadha wa lugha mbalimbali.
Kusoma
Kuadili
Kudodoso fani za lugha
Kuandika
Kuwasilisha mbele ya darasa
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
4 1
Kusikiliza na kuzungumza
Isimu jamii: Sajili ya bunge
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza maana ya sajili katika lugha.
-Kufafanua sifa za lugha ya sajili ya bunge.
-Kuigiza mazungumzo na kutoa idhibati kuwa ni lugha ya bungeni.
Kuandika
Kuuliza maswali
Kujibu maswali
Kuigiza
Majadiliano.
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 47-48
4 2
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kutaja vipengele vya kutumia kupata maadili ya Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi.
-Kueleza maana ya anwani na umuhimu wake.
-Kufafanua wahusika na jinsi wanavyojenga maadili.
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha mbele ya darasa
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
4 3
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kutaja vipengele vya kutumia kupata maadili ya Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi.
-Kueleza maana ya anwani na umuhimu wake.
-Kufafanua wahusika na jinsi wanavyojenga maadili.
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha mbele ya darasa
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
4 4
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kutaja vipengele vya kutumia kupata maadili ya Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi.
-Kueleza maana ya anwani na umuhimu wake.
-Kufafanua wahusika na jinsi wanavyojenga maadili.
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha mbele ya darasa
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
4 5
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kupambanua falsafa na itihadi ya mwandishi wa riwaya.
-Kutaja maadili katika riwaya.
-Kuchambua vipengele tofauti za fasihi.
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha mbele ya darasa
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
4 6
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kupambanua falsafa na itihadi ya mwandishi wa riwaya.
-Kutaja maadili katika riwaya.
-Kuchambua vipengele tofauti za fasihi.
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha mbele ya darasa
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
5 1
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kutaja wahusika wote kutoka Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
-Kutaja hulka (sifa) za wahusika katika Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
-Kufafanua sifa za wahusika kwa kutoa mifano katika Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
5 2
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina ;Nguu za jadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kutaja wahusika wote kutoka Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
-Kutaja hulka (sifa) za wahusika katika Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
-Kufafanua sifa za wahusika kwa kutoa mifano katika Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Nguu za jadi By Prof.Clara Momanyi
5 3
Kuandika
Uandishi wa tahariri
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza maana ya tahariri
-Kujadili jinsi ya kuandika tahariri.
-Kuandika tahariri.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 95
5 4
Kuandika
Uandishi wa tahariri
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-Kueleza maana ya tahariri
-Kujadili jinsi ya kuandika tahariri.
-Kuandika tahariri.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 95
5 5
Kusikiliza na kuzungumza
Ufahamu wa kusikiliza
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma kwa sauti na kimya.
Kujibu maswali.
Kueleza ni funzo gani unalolipata kutokana na kisa ulichokisoma
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuuliza maswali
Kuigiza
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya fasihi simulizi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 96-97
5 6
Kusikiliza na kuzungumza
Ufahamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma ufahamu.
Kutoa maelezo kuhusu jinsi Kiswahili kinavyotumika katika vyombo vya habari Duniani.
Kufafanua na kutunga sentensi semi na msamiati.
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuuliza maswali
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 97-98
6 1
Sarufi na matumizi ya lugha
Mnyambuliko vitenzi II
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza mnyambuliko wa vitenzi.
Kuainisha kauli mbalimbali za vitenzi.
Kufafanua maana ya vitenzi katika kauli mbalimbali.
Ufafanuzi.
Maelezo.
Mifano
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 98-100
6 2
Sarufi na matumizi ya lugha
Mnyambuliko vitenzi vya silabi ya konsonanti moja
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza mnyambuliko vitenzi vya silabi ya konsonanti moja.
Kubainisha kauli ya kutendea, kutendwa, kutendeka, kutendewa na kutendesha.
Kutunga sentensi akitumia vitenzi kudhihirisha maana za kauli husika.
Tajriba.
Maswali na majibu.
Mifano.
Mazoezi.
Marudio
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 100-102
6 3
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma sura ya kwanza ya hadithi fupi (Fadhili za punda)
Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya kwanza.
Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya kwanza.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
6 4
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma sura ya kwanza ya hadithi fupi (Fadhili za punda)
Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya kwanza.
Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya kwanza.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
6 5
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma na kueleza maudhui katika sura ya kwanza
Kupambanua sifa za wahusika katika sura ya kwanza
Kujibu maswali
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
6 6
Kusoma kwa kina
Muundo na mtindo katika fasihi andishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kufafanua tofauti zilizopo kati ya dhana za muundo na mtindo wa kazi za fasihi andishi.
Kueleza vipengele vya kimsingi vya kuzingatia katika fasihi andishi.
Kupambanua mtindo wa tamthilia au hadihi fupi teule unayoisoma darasani.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 102-105
7 1
Fasihi
Ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kukariri shairi.
Kuonyesha dhamira ya mshairi.
Kueleza uhuru wa kishairi alizozitumia mshairi.
Kueleza
Kusoma
Kuigiza
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 112-113
7 2
Kusikiliza na kuzungumza
Miviga
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kufafanua maana ya miviga katika jamii
Kubainisha umuhimu wa miviga katika jamii
Kubainisha miviga mizuri na kuendeleza na mibaya kupingwa vita
Kueleza
Kusikiliza
Kujadili
Kusoma makala kitabuni kwa sauti
kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 115-116
7 3
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma sura ya pili ya hadithi fupi (Fadhili za punda)
Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya pili.
Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya pili.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
7 4
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma sura ya pili ya hadithi fupi (Fadhili za punda)
Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya pili.
Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya pili.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
7 5
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma na kueleza maudhui katika sura ya pili.
Kupambanua sifa za wahusika katika sura ya pili.
Kujibu maswali.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
7 6
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma sura ya nne na ya tano ya hadithi fupi (Haru na Sabina)
Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya nne na ya tano.
Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya nne na ya tano.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
8

MID TERM EXAM

9

MID TERM BREAK

10 1
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma na kueleza maudhui katika sura ya nne na ya tano
Kupambanua sifa za wahusika katika sura ya nne na ya tano
Kujibu maswali.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
10 2
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma sura ya sita (Mzimu wa Kipwerere)
Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya sita.
Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya sita.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
10 3
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma na kueleza maudhui katika sura ya sita
Kupambanua sifa za wahusika katika sita
Kujibu maswali.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
10 4
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma na kueleza maudhui katika sura ya sita
Kupambanua sifa za wahusika katika sita
Kujibu maswali.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
10 5
Kuandika
Ujumbe wa rununu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza umuhimu wa rununu
Kueleza muundo wa ujumbe wa rununu
Kuandika ujumbe wa rununu
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford;
Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 130
10 6
Kusikiliza na kuzungumza
Ngano
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya ngano.
Kueleza umuhimu wa ngano.
Kufafanua sifa za ngano kwa ujumla.
Kusoma
Majadiliano
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 131-134
11 1
Kusikiliza na kuzungumza
Ngano
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutaja aina za ngano
Kutoa mifano ya ngano, mfano mifano za ngano za mtanziko.
Teua aina za wahusika wanaotumika katika ngano na ufafanue matumizi yao.
Kusoma
Majadiliano
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 133-134
11 2
Sarufi na matumizi ya lugha
Uundaji wa maneno
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kuunda nomino kutoka na vitenzi.
Kutunga nomino kutokana na aina nyingine za maneno.
Kubainisha vivumishi kutokana na aina nyingine za maneno.
Kueleza
Kujadili
Kujibu maswali
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 137-139
11 3
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma sura ya saba (Kila Mchezea Wembe)
Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya saba.
Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya saba.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
11 4
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma sura ya saba (Kila Mchezea Wembe)
Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya saba.
Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya saba.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
11 5
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma na kueleza maudhui katika sura ya saba
Kupambanua sifa za wahusika katika sura ya saba.
Kujibu maswali.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
11 6
Sarufi na matumizi ya lugha
Nyakati, hali na ukanushaji wake
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kufafanua matumizi ya si-, -me- na –ki-
Kubainisha kanuni za ukanushaji wa hali hizo
Kukanusha sentensi hali hizo tatu
Masimulizi
Uchunguzi
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 156-158
12 1
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma sura ya kumi na moja (Nipe nafasi)
Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya kumi na moja.
Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya kumi na moja.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
12 2
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma na kueleza maudhui katika sura ya kumi na moja.
Kupambanua sifa za wahusika katika sura ya kumi na moja.
Kujibu maswali.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
12 3
Sarufi na matumizi ya lugha
Uakifishaji
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma kifungu kisha kutoa mifano ya matumizi ya lugha na alama za uakifishaji.
Kutaja alama za uakifishaji zilizotumiwa katika kifungu.
Kugeuza sentensi ziwe katika usemi halisi.
Kuandika sentensi katika usemi taarifa.
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha mbele ya darasa
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 173-175
12 4
Sarufi na matumizi ya lugha
Uakifishaji
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma kifungu kisha kutoa mifano ya matumizi ya lugha na alama za uakifishaji.
Kutaja alama za uakifishaji zilizotumiwa katika kifungu.
Kugeuza sentensi ziwe katika usemi halisi.
Kuandika sentensi katika usemi taarifa.
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha mbele ya darasa
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 173-175
12 5
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma sura ya kumi na mbili (Nilitamani)
Kueleza mtindo na vipengele katika sura ya kumi na mbili.
Kutoa muhtasari wa hadithi ya sura ya kumi na mbili.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
12 6
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi (Mapambazuko ya machweo)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma na kueleza maudhui katika sura ya kumi na mbili.
Kupambanua sifa za wahusika katika sura ya kumi na mbili.
Kujibu maswali.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu teule
13

END TERM EXAM

14

CLOSING .


Your Name Comes Here


Download

Feedback